Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Thubutu,
labda kama unataka kutolewa nje ya Bunge na kifungo juu!
kule kinachotakiwa ni mapambio tu!
Kama ni hivyo wabaki nyumbani, wanaingia kufanya nini? Tatizo lao wanataka Serikali itoe majibu yatakayowafurahisha wao kinyumbe chake wanasikia kichefuchefu.
 
Huo ni uchochezi, mbona zile ndege hauhoji zilivyonunuliwa? Hii ni vita ya kiuchumi usije ukawa upande wa adui. Marufuku kuhoji hoji kila kitu. Milion 50 kila kijiji/mtaa zitakuja kwa staili nyingine.
Hivi kumbe hakuna alie hoji ununuliwaji wa ndege!!!
 
kuna muda unaweza uhisi umekuwa mhusika kwenye riwaya za shaaban Robert!
 
Shukrani sana Mkuu inaonyesha dhahiri kwamba hapa dili takatifu limepigwa la kulamba pesa ndefu nyingine.

 
.... Makigo,,... Mbutu bakuwa peke yake ni Joint venture.... [emoji63]
 
Hilo la uzoefu, mi simo, PPRA wapo wachunguze vigezo vya AWARD ya hiyo contract, na wajitokeze alioshindana nao ambao walipewa nakala za INTENTION OF AWARD kwa hiyo kampuni na hawakulalamika ndani ya muda waliopewa...
 
Kwani John fomu foo alipata divisheni ngapi? Na je fomu siksi?
 

Nakupongeza kwa hoja yako nzuri.Sijui walitaka apate nani.Hii ndiyo njia nzuri ya kubakiza pesa eneo husika ili mzunguko ukue.
 

Aisee... Kama Uzalendo ndio basi tuna Safari ndefu kwakweli...
 
Hiyo ni MD. Wanahisa katika kampuni na akina nani? Hao ndiyo wanaweza kutoka fununu kuhusu mmiliki halisi. Hata hiyo MD inawezekana nikiini macho.
 
Aliyekuwa waziri mkuu wa Israël, Holmert alifungwa jela Kwa kupendelea jamaa zake kuwapa tenda akiwa Meya wa Jérusalem. Hali kadhalika Waziri mkuu wa sasa Netanyahu anafuatiliwa kama ana kashfa kama hiyo.Ndio maana nchi za wenzetu wanapiga hatua !
 
Mafisadi wamebaki wachache lakini wanapiga madau kuanzia milioni 100,kuna tofauti na wale wa Kikwete?
 
MAGUFULI PIGA KAZI

SISI WAPIKA KURA WAKO TUPO NA WWE

ACHANA NA HAWA WAPIKA KELELE TU

Uwanja wa ndege ni mhimu sana huku!! Miaka yote viwanja viko kwao tu!! Eti wanahoji economic viability ya uwanja!!! HUKU KWETU MMEONA NIMASIKINI SANA HATUWEZI PANDA HIZO NDEGE??

ACHENI DHARAUUUU

of all good years we hear KILIMANJARO Inter. Airport hatukuhoji haya au mlijua sisi ni vicha pazi!!!

Ni mimi mpiga kura mtiifuy

MWANZA ...MWANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…