Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Duh biashara za watu zinaanza wekwa wasiwasii
Ila wachina mmetutoa sana waafrica kwa miradi yenu na bidhaa zenuu
Awamu ya sita inajipanga kupiga hela ndefu sanaKampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Mama anakuja kuacha legacy yakeJemedari mkuu Magufuli angelikuwa hai ningeamini hilo jambo linawezekana bila upembuzi yakinifu lakini hawa waliopo ni michakato tu!
Siku zote kama mtu hajui aendako hawezi kupotea njia.hahahaha, ni kipaumbele chetu kwasasa?.
hakuna maeneo mengine yanayohitaji quick investment na short time return kwasasa?.
Kwanini asitafutwe muwekezaji na kuingia parnership na serikali tuchimbe chuma cha Liganga na Mchuchuma kwa haraka ili bei ya chuma ipungue, then tutafute kampuni with partner na watanzania wakajenga plant kwaajili ya kutengeneza electric cars na huku tunaweka nguvu kubwa ya kuchimba graphite pale Lindi vs mass production batteries plant kule kusini?..
Itakuwa bonge la legacyMama anakuja kuacha legacy yake
Umejuaje kama siyo wa MamaMiradi mingi mikubwa serikali ya sasa inayofanya ni ile iliyoachwa na Magufuli, ngoja tuone miradi mikubwa ya awamu hii itakuwa ni ipi au kama huu wa daraja la Dar Zanzibar utakuwa mmojawapo kama tulivyoona Kigongo Busisi uliaasisiwa na mwendazake.
Bill kwa TanganyikaSerikali imeanza mazungumzo na Kampuni ya China Overseas Engineering Group Company (COVEC) ambayo imeonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa daraja litakalo unganisha Tanzania Bara na Zanzibar.
Naibu Waziri wa Uchukuzi Godfrey Kasekenya amesema bungeni leo Aprili 28, 2023 kuwa Mazungumzo hayo yameanza Machi 11, 2023 na yalihusisha wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Sekta ya Ujenzi kwa upande wa Tanzania Bara na Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa upande wa Zanzibar.
Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mwantum Dau Haji aliyetaka kujua mpango wa serikali kujenga daraja hilo, Naibu Waziri Kasekenya amesema bado mazungumzo yanaendelea na serikali inakusudia kujiridhisha na teknolojia zinazotumika katika ujenzi wa madaraja makubwa kabla ya kuanza ujenzi.
“Daraja hili litajengwa kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa utaratibu wa PPP (Public-Private Partnership),” amesisitiza Kasekenya.
#HabarileoUPDATES
View attachment 2602214
Kwa kumuharibia biashata Azam?Mama anakuja kuacha legacy yake
Daaah upo serious na haya mawazo kweli kwa Taifa lenye viongozi wa mbeleko,wabinafsi na wajinga.hahahaha, ni kipaumbele chetu kwasasa?.
hakuna maeneo mengine yanayohitaji quick investment na short time return kwasasa?
Kwanini asitafutwe muwekezaji na kuingia parnership na serikali tuchimbe chuma cha Liganga na Mchuchuma kwa haraka ili bei ya chuma ipungue, then tutafute kampuni with partner na watanzania wakajenga plant kwaajili ya kutengeneza electric cars na huku tunaweka nguvu kubwa ya kuchimba graphite pale Lindi vs mass production batteries plant kule kusini?
Mwambie bi mkubwa wako ajiandae niende naye lindo, atakuwa ananipa morali.Wai chattle kalinde skeleton la kichaa
MUUNGANO BRIDGE ITAPENDEZAI bet litapewa jina la "Daraja la Muungano".