muda wa kulipa tusiseme tunanyonywaDuh biashara za watu zinaanza wekwa wasiwasii
Ila wachina mmetutoa sana waafrica kwa miradi yenu na bidhaa zenuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muda wa kulipa tusiseme tunanyonywaDuh biashara za watu zinaanza wekwa wasiwasii
Ila wachina mmetutoa sana waafrica kwa miradi yenu na bidhaa zenuu
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
kuna vieo Xi Jinping anasema wanaanza inunua afrika mdogo mdogo sasa naelewa ,unakuwa na daraja huna mamlaka naloHalafu anakuja mtu from nowhere eti ni heri ya mzungu kuliko mchina
Wachina mmbarikiwe sana,
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
kuna vieo Xi Jinping anasema wanaanza inunua afrika mdogo mdogo sasa naelewa ,unakuwa na daraja huna mamlaka nalo
Kwanza waanze kijiunganisha wenyewe Unguja na Pemba.Serikali imeanza mazungumzo na Kampuni ya China Overseas Engineering Group Company (COVEC) ambayo imeonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa daraja litakalo unganisha Tanzania Bara na Zanzibar.
Naibu Waziri wa Uchukuzi Godfrey Kasekenya amesema bungeni leo Aprili 28, 2023 kuwa Mazungumzo hayo yameanza Machi 11, 2023 na yalihusisha wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Sekta ya Ujenzi kwa upande wa Tanzania Bara na Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa upande wa Zanzibar.
Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mwantum Dau Haji aliyetaka kujua mpango wa serikali kujenga daraja hilo, Naibu Waziri Kasekenya amesema bado mazungumzo yanaendelea na serikali inakusudia kujiridhisha na teknolojia zinazotumika katika ujenzi wa madaraja makubwa kabla ya kuanza ujenzi.
“Daraja hili litajengwa kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa utaratibu wa PPP (Public-Private Partnership),” amesisitiza Kasekenya.
#HabarileoUPDATES
View attachment 2602214
Tawauzia pembe za ndovu na kuwapa migodi ya dhahabu wachimbemuda wa kulipa tusiseme tunanyonywa
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
kisiwa cha Uingereza kimeunganishwa kwa daraja la chini kwa chinj, meli hazitaingiliwa njia zake, wanaweza fika hapo wakaweka hata daraja refu zaidi km myo Themes huko LondonHilo daraja likijengwa meli kutoka nje itabidi zitume njia ndefu kupita nyuma ya kisiwa cha Unguja.na boti za Bakhres zitaishia kusini ya Unguja maeneo ya Kizimkazi.
Waache kuliita Samia suluhu bridge? Sidhan😂😂I bet litapewa jina la "Daraja la Muungano".
Hii Nchi Ina matatizo sana ya Vipaombele,mambo yasiyo na msingi ndio Wanasiasa wanapenda Ili wapigeYaani tunaweza kujenga Daraja la Matrilioni lakini tunashindwa kujenga japo IRRIGATION SCHEME japo moja kwa kila KATA ya nchi hii na tunadai KILIMO cha UTI WA MGONGO...
Viongozi hawana mpango wa kuinua Uchumi wa Wananchi.... Madaraja hata yajae nchi nzima kama Wananchi hawana hela ni kazi bure...
Kama wanatujengea BURE naungana nawe. WACHINA MMBARIKIWE SANA.
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Daraja la Crimea lina Km 19 wakati hapa Zanzibar Km 90+Crimea Ukraine Russia
Waliowahi kwenda .Jee huko kwao wameshajenga daraja la kupita mkondo mkali kama wa magogoni au Nungwi.Hizi ndo hoja muhimu kwa nchi.
Tumezoeshana hoja za nani anataka urais, mara huyu kachepuka, mara fulani pisi kali......
Turudi hapa tujadili maendeleo ya nchi yetu.
Daraja lijengwe nitaomba nifanye jogging ya kwenda zenji na kurud
Crimea maji kama ya mto haina shida.Hili Dar/ZANZIBAR sijui kam litakuwa na usalamaDaraja la Crimea lina Km 19 wakati hapa Zanzibar Km 90+
Swali zuriWaliowahi kwenda .Jee huko kwao wameshajenga daraja la kupita mkondo mkali kama wa magogoni au Nungwi.