Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

Jangwani Hali tete, commitment zero, harafu mna fungua vitabu vya dar znz, Anyway acha tuu kamba ziwe ndefu kupindukia. Hawa wacheza karate Sasa watatukomesha kwa madeni
 
Daraja la nini wakati huu muungano wenyewe upo kimchongo mchongo tu? Chao chao na chetu chao,huko.tuendako lazima huu muungano utavunjika tu hakuna jinsi nyingine.
 
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..

My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.

Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?

Crimea Russia bridge
 
Akiinject hela kule Bungeni hakuna mradi utajengwa hapo [emoji119]

Ila hilo daraja kwa mtazamo wangu ni kama limechelewa kujengwa, lilitakiwa lijengwe sambamba na daraja la Mkapa kule kusini
Shida sio kujengwa, shida gharama zake. Ni mradi ambao unakaribia trilioni 70 hadi 80
 
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..

My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.

Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Basi mimi nikajua ni mradi wa gharama kubwa sana,nikawa najiuliza kwa nini iwe hivyo wakati huku vijijini kwetu hatuna maji wala umeme, barabara mbovu.

Pia aomba kuelimishwa kuhusu faida ambazo Watanganyika watazipata kupitia daraja hilo?
 
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..

My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.

Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Huijui bongo hilo haliwezekani bakhresa ameshusha kitu kipya juzi tu kuna watu hii nchi wanafanya wanavyotaka kwa maslahi yao binafsi watapiga vita hyo kitu
 
Back
Top Bottom