Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiinject hela kule Bungeni hakuna mradi utajengwa hapo 🙌Ok wajipange watakuwa wanaenda Pemba
Wa boti watapanda, wa mabasi watapanda, wa private cars nao watakuwepo!Kwa kumuharibia biashata Azam?
Utakuwa wa PPP Hauliumizi taifa.Ujenzi huo hauna tija waache tu
Kichaa kalamba vumbiMwambie bi mkubwa wako ajiandae niende naye lindo, atakuwa ananipa morali.
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Shida sio kujengwa, shida gharama zake. Ni mradi ambao unakaribia trilioni 70 hadi 80Akiinject hela kule Bungeni hakuna mradi utajengwa hapo [emoji119]
Ila hilo daraja kwa mtazamo wangu ni kama limechelewa kujengwa, lilitakiwa lijengwe sambamba na daraja la Mkapa kule kusini
Km 40? Sio 90?Km 40 sio mchezo.....GIA za kutosha...
Pale Mombasa mita chache huenda ni 100 tu wameshindwa kujenga.Kila siku ni hadithi tu.Mwishowe wameamua wakajenge kule Mtongwe ambako ni kando kando ya bahari.Kilomita 40 kwenye mkondo wa bahari Tanzania hatujafika hukoKm 40 sio mchezo.....GIA za kutosha...
Basi mimi nikajua ni mradi wa gharama kubwa sana,nikawa najiuliza kwa nini iwe hivyo wakati huku vijijini kwetu hatuna maji wala umeme, barabara mbovu.Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Huijui bongo hilo haliwezekani bakhresa ameshusha kitu kipya juzi tu kuna watu hii nchi wanafanya wanavyotaka kwa maslahi yao binafsi watapiga vita hyo kituKampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Saguda de 47Na hela itakayotumika kukamilisha hiyo shughuli ni kutoka Tanganyika bara......ahhhh sorry Tanzania bara.