Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

Wameshirikisha washika dau lakini kwenye huo mpango?

Kuna watu wamenunua Boti mpya na za kisasa zinatoa huduma huko, usije mradi kuanzishwa lakini ukashindwa kukamilika.

I'm just thinking loud [emoji848]
Kwani lazima watu wapande boti
Boti watapanda watalii tu

Ova
 
Naunga mkono serikali kujenga hiyo daraja.

ila kulivuka waweke tozo ili mtu aamue either boti au barabara
NA KUNA SEHEMU UKINGILIA SAADANI KWENDA LAZABA, HAPO NI KARIBU SANA NA ZENJI NA UKIKAA FUKWENI KAMA HALI YA HEWA IMETULIA UNAWEZA SIKIAA SAUTI IKITOKEA ZANZIBAR,
NA HIYO SEHEMU YA LAZABA UPANDE WA BAGAMOYO WALIPEWA WAZANZIBARI

ova
 
Yaani tunaweza kujenga Daraja la Matrilioni lakini tunashindwa kujenga japo IRRIGATION SCHEME japo moja kwa kila KATA ya nchi hii na tunadai KILIMO cha UTI WA MGONGO...

Viongozi hawana mpango wa kuinua Uchumi wa Wananchi.... Madaraja hata yajae nchi nzima kama Wananchi hawana hela ni kazi bure...

No one care about you wabara. It’s all about Zanzibar yeah mama anatukusanyia pesa za kutosha kutoka bara in order to create the future Zanzibar. Kuhusu nyie wabara we don’t care wat you do we only want your money and wealth only for the well-being of Zanzibarian over. https://jamii.app/JFUserGuide about sgr https://jamii.app/JFUserGuide about sijui bwawa liishe lisiishe sisi haituhusu we only want your money [emoji383] only [emoji16]
 
Hata mkeshe uchi, haitatokea At least kwa miaka 100 ijayo.
 
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..

My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.

Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?



Wazo zuri sana. Wengine tuna ndugu wa Kinyamwezi na Kisukuma kule...
Ila eti wanadai...

Tanzania: Zanzibar And Mafia to Disappear in 100 Years?​

Wajuvi waje kutuelimisha...
 
wewe wacha utani hapa! Hivi kwa miaka yote Magufuli alipokuwa rais wa tanzania alipeleka mradi gani Zanzibar? Mnasema kajenga hili na kile huku na kule barabara, maji nk hebu niambie ni mradi gani alioupeleka Zanzibar ikiwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania? Hakuna hata mradi mmoja uliofanywa na serikali ya Tanzania katika kisiwa cha unguja au pemba wakati wa uhai wa magufuli. Magufuli asingeliruhusu kabisa idea ya kujenga daraja kuwa reality hata siku moja. Magufuli hakuwa hakuwa akiitakia mema zanzibar. Kumbuka kuwa project zake nyingi alikuwa akizielekeza katika sehemu ambazo CCM strong hold tu!
Uwanja wa ndege wa Unguja unaoiunganisha na dunia nzima ni kazi ya JPM.
 
Si afadhali cable kwenye MT. kilimanjaro gharama na faida vitarudi haraka sababu pesa ya utalii.
Hilo daraja la Zanzibar naona itakuwa biashra ya watu tu na upigaji pesa za umma.
Na ndio litajengwa sasa ili watu wapige pesa kupitia mradi huo.
 
Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..

My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.

Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?


Wajenge daraja Tanzania, ziwa Tanganyika (mahale) hadi Bandari ya Kalemie Kongo. Magari hayatapita zambia to Lubumbashi Kongo, wala hayatapita tena Kigari Rwanda, kivu Kongo. Itakua bonge la project katika Africa katika Nchi 2 zenye idadi za watu milioni 100(Kongo) na Milioni 60(Tz). Zanzibar ina idadi ya watu milion 1.9 hilo daraja ni ujinga.
 
Wajenge daraja Tanzania, ziwa Tanganyika (mahale) hadi Bandari ya Kalemie Kongo. Magari hayatapita zambia to Lubumbashi Kongo, wala hayatapita tena Kigari Rwanda, kivu Kongo. Itakua bonge la project katika Africa katika Nchi 2 zenye idadi za watu milioni 100(Kongo) na Milioni 60(Tz). Zanzibar ina idadi ya watu milion 1.9 hilo daraja ni ujinga.
Hii ya daraja kukatisha Ziwa naweza sapoti
 
Km ujenzi wa daraja hilo ni kwa utaratibu wa PPP basi hapo wasimsahau Bakhresa na wawekezaji wengine nje i.e Oman. Kisha daraja lilipiwe pesa ili wawekezaji warudishe hela zao it is possible.
 
hahahaha, ni kipaumbele chetu kwasasa?.

hakuna maeneo mengine yanayohitaji quick investment na short time return kwasasa?

Kwanini asitafutwe muwekezaji na kuingia parnership na serikali tuchimbe chuma cha Liganga na Mchuchuma kwa haraka ili bei ya chuma ipungue, then tutafute kampuni with partner na watanzania wakajenga plant kwaajili ya kutengeneza electric cars na huku tunaweka nguvu kubwa ya kuchimba graphite pale Lindi vs mass production batteries plant kule kusini?
Responsiveness at lowest best level,au kwanini asitafutwe mwekezaj akawekeza kwenye kiwanda cha mbolea,il bei ya mbolea ishuke na serikali iepukane na kuweka ruzuku. Kisha hela ya ruzuku ikafanye mambo mengne.
 
hahahaha, ni kipaumbele chetu kwasasa?.

hakuna maeneo mengine yanayohitaji quick investment na short time return kwasasa?

Kwanini asitafutwe muwekezaji na kuingia parnership na serikali tuchimbe chuma cha Liganga na Mchuchuma kwa haraka ili bei ya chuma ipungue, then tutafute kampuni with partner na watanzania wakajenga plant kwaajili ya kutengeneza electric cars na huku tunaweka nguvu kubwa ya kuchimba graphite pale Lindi vs mass production batteries plant kule kusini?
Nchi ya wajinga hii mkuu hiyo graphite si wameshasaini mikataba sio yetu tena
 
hahahaha, ni kipaumbele chetu kwasasa?.

hakuna maeneo mengine yanayohitaji quick investment na short time return kwasasa?

Kwanini asitafutwe muwekezaji na kuingia parnership na serikali tuchimbe chuma cha Liganga na Mchuchuma kwa haraka ili bei ya chuma ipungue, then tutafute kampuni with partner na watanzania wakajenga plant kwaajili ya kutengeneza electric cars na huku tunaweka nguvu kubwa ya kuchimba graphite pale Lindi vs mass production batteries plant kule kusini?
natamani ww ndo unge kuwa naibu waziri wa uchukuzi, sema mkisha unjeshwa asali mnabadilika
 
wewe wacha utani hapa! Hivi kwa miaka yote Magufuli alipokuwa rais wa tanzania alipeleka mradi gani Zanzibar? Mnasema kajenga hili na kile huku na kule barabara, maji nk hebu niambie ni mradi gani alioupeleka Zanzibar ikiwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania? Hakuna hata mradi mmoja uliofanywa na serikali ya Tanzania katika kisiwa cha unguja au pemba wakati wa uhai wa magufuli. Magufuli asingeliruhusu kabisa idea ya kujenga daraja kuwa reality hata siku moja. Magufuli hakuwa hakuwa akiitakia mema zanzibar. Kumbuka kuwa project zake nyingi alikuwa akizielekeza katika sehemu ambazo CCM strong hold tu!
Natumaini hujaelewa nilichoandika!
 
Back
Top Bottom