Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

Labda ukikuwa mtoto Mdogo lakini Kama ulikuwa umeshapata akili ungefuatatilia siasa za mrema , mtikila, Lisu, Slaa Miaka ya 1994 mpaka 2010 ungepata majibu ya Maswali yako .
Mrema alikua na siasa gani za maana!?..slaa aliendeleza ya mrema,umbra na si sera
 
Hakuna kikwete kafanya kwenye sgr, mbona mnalazimusha king, nyie na kundi lenu la huyo mzee msiga ndio mlimuua JPM kwa wivu baada ya kuona anawafunika

Una bana pua hapa etu Kikwete ndio alianziasha sgr, hata mshipa wa aibu hamna?
Mungu wako alikua na matatizo ya moyo na aliidharau corona, circle yake waliugua na kufariki wengi,makamu wa Sasa alipona akamshukuru Sana Mungu,hakuna aliyesema kikwete alianzisha ujenzi wa sgr Bali Alianza kuhangaika nayo,akakubaliana na exim bank china,kwa riba nafuu,tulikua tukitupiana maneno na Kenya wao wakiajenga,Mungu wako akaachana na wachina akasaini na waturuki kwa riba kubwa zaidi,waturuki wakaenda kukopa kulekule china exim
 
Hapa kwa kuwa aliyepewa sio Mwarabu hutosikia Waraka wa Kanisa wala kelele za Padri Slaa na Mwambukuzi wake
 
Unaumia nini sasa? Watanzania ni wezi, wavivu na watu wa kuendekeza starehe.

Nyerere alianzisha mashirika 400 lakini yote yalkuwa dhoofu hali by 1995.

Wacha tubinafsishe kila kitu
 
Kwa jinsi ambavyo vyoo vya stendi na sokoni havioshwi ni bora viuzwe tu. Sijawahi kuona nchi ya walalamikaji kama Tanzania.

Uvivu nyinyi, uzembe nyinyi, wizi nyinyi, na bado mnataka raslimali zisiuzwe??? HAIWEZEKANI
Suluhisho la kukosekana kwa usimamizi/management thabiti ya sekta mbalimbali za nchi sio kuuza tu bali kuwaondoa hao wanaoshindwa kusimamia vyema.
 
Kwa jinsi ambavyo vyoo vya stendi na sokoni havioshwi ni bora viuzwe tu. Sijawahi kuona nchi ya walalamikaji kama Tanzania.

Uvivu nyinyi, uzembe nyinyi, wizi nyinyi, na bado mnataka raslimali zisiuzwe??? HAIWEZEKANI
Basi mama atuuze na sisi wananchi
 
Hata Wakorea wanampa PhD nyingine. Safari hii ni kwa ajili ya kuimarisha usafiri wa anga (kwa ndege za mwamba). PhD ya tano hiyo 👏👏👏👏

View attachment 3005306
PHD za shukrani kwa kuwauzia nchi, unauza bandari alafu unarudi kwa wananchi kuendelea kuwakamua zaidi tozo Kila sehemu nasikia Kuna tozo ya Kila lakini ya simu na vingamuzi inakuja.
 
Mnakumbuka hii mada hapa Kampuni ya APSEZ mbioni kupata tenda ya gati Bandari ya Dar es Salaam
 

Nazani amekuelewa:: ila kama akivuta atakurudia tena na hoja zingine[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…