Kampuni ya China yasema Bomba la Mafuta (EACOP) litajengwa kwa namna yoyote ile

Kampuni ya China yasema Bomba la Mafuta (EACOP) litajengwa kwa namna yoyote ile

Mkuu
Bomba la kupeleka mafuta Zambia halitobolewi na wezi. Yanachimbiwa chini ya kutosha. Pia inafahamika na wezi kwamba pressure yake inaweza kukuua ukijaribu kutoboa kienyeji.

Nigeria mbona wanafanya?

 
Wew mzee umeishia darasa langapi .

Kwa tarifa yako mafuta yanayosafirishwa Ni crude oil ambayo Bado haijawa mafuta ,mafuta yanasafirishwa kwenda kuchujwa Kisha kupatikana mafuta ya petroli,disel ,na malighafi singine so usifikiri Ni mafuta og yatasafri

Wazungu wametupiga parefu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Wewe hujui crude zinasafishwa zikiibiwa?

 
Umeisoma hiyo taarifa au umekurupuka [emoji1][emoji1][emoji1]


Total Energies anamiliki alimia 60 ya huo mradi , Tanzania 15 na Uganda 15. Huyo Mchina ndio kabaki na vi asilimia less than 10 halafu unakuja kusema atajenga.

[emoji1][emoji1][emoji1]

Akili zako ziko tumboni

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nafikiri hiyo kampuni wewe huijui CNOOC ipo kwenye top 20 ya makampuni makubwa duniañi katika sekta ya mafuta.

Na wameshafanya miradi mikubwa kwa mbali sana zaidi ya huu wa Uganda/Tanzania (EACOP)

Total energies akijitoa CNOOC anaweza kuchukua hizo asilimia 60 mtaji wanao
 
Tazama Pipeline iko hapa tokea kitambo na mazingira yako poa tu.

Likijengwa ni Win Win kila pipa litalipiwa kupitishwa hapa, na Mji wetu wa Tanga uliodorora utapata ajira. maana Super Tankers zitakuwa zinapishana kupakia na kupeleka huko masokoni.
Bomba hili zuri kwa Uchumi.
 
Bila ya Diaspora Tanzania aitoboi miaka 800.

Ndio ukweli, hivi kwa mtu mwenye uelewa wa conglomerates wa Oil and Gas players na ukubwa wa Total and CNOOC ni watu kutishiwa nyau kweli kirahisi.

Issue hapo ya kubwana kwa hao watu achilia mbali kelele za wanaharati zipo kwenye sheria za EU na commitment zao za carbon emission reduction za kampuni zilizosajiliwa (EU ni story ndefu to explain how TOTAL would justify that investment) in line with environmental agreements.

Hayo ya Museveni kuongea kuhusu africa kuwa na little pollution kimataifa yanaeleweka and since the ‘Kyoto Protocol’ kwa uelewa huo wazungu wamezuia kuchafua na sisi kuruhusiwa lakini kuna kanuni zake.

Moreover either umeruhusiwa kuchafua or not uwekezaji wa mazingira dunia ya leo una vigezo inavyotaka ku asses environmental costs and mitigation strategies.

Environmental costs ina sehemu kadhaa.
  1. Private environmental costs
  2. Social environmental costs
  3. Visible environmental cost
  4. Hidden environmental costs
Hivyo vipengele vina sub sections zake, sio shughuli nyepesi kama tunavyodhani and financial quantified with a report.

Ujazungumzia bado eco-efficiency report ya mradi.

Hilo ni bomba la mafuta tu, kwa mradi wetu wa gas rufiji utaki kujua hayo matakwa ya mazingira ya EACOP cha mtoto.

Ndio ujue ukiona wazungu wanamkenulia meno Makamba ujue wanachekelea tumepewa jitu jinga kweli la kuturahasishia negotiations huko ni kwenye mazingira.

Finance god forbids sitaki ata kufikiria Makamba kama muongozaji wa negotiations; nyie watu mnaosifia hivi vitu hamjui tu mnacholazimisha huko Lindi.

Cest la Vie.
 
Basically hakuna cha EU wala mchina the bottom line is business and financial return.

Otherwise mchina au mzungu don’t care about your problems but their financial returns na hiyo ndio vita yao.

So quit with your nonsense ambazo kusoma zinachosha; ujinga mtupu.

Bwana we kuna watu wanakarika na lugha zangu. But then kusoma upuuzi wa watanzania kwa wengine tunachoka pia.

Unakuta mada unasoma ujinga mtupu. Mfano hii mijitu ailewi ata how the industry work just nonsense tupu ukisoma.
 
Mwamba alipowaita hao jamaa la ulaya kuwa ni mabeberu hakukosea. Huko kwao wanajenga mabomba ya kusafirisha gesi, iweje kwetu iwe ni uharibifu wa mazingira? Yani uharibifu wa mazingira uwe Africa tu?! Hao jamaa wajinga sana.
 
Wazungu mkiwachepuka kwenye hili bomba wakati wao hawalitaki watawafadhili Na, Mungiki, Alshabab, ama ISIS ili walilipue.
 
Back
Top Bottom