Hata kusoma na kujua tu kinajadiliwa nini hujagundua kitu hapo mkuu duhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah tumekwisha Ndege ndio hizo zimedorora Stiglers nayo ndio hiyo kilichobakia ni Sgr hii ni mikosi ya kujitakia ya kumpiga Tundu Lissu risasi
Dah...niliandika maneno...nikajiuliza sana....nikafuta...kwa sababu ni jukwaa la siasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huko Chato naona Betri inaweza kupiga shoti
Yaani ule mradi ambao ndio ilikuwa karata ya kampeni nao ndio huo Corona nayo inatafuna uchumi kila kukicha
Mbuga za wanyama hazina mtalii hata wa dawa
Mahoteli yamefungwa huku TRA bado wanagonga milango ili wapewe chao
Majirani wametususa na kutufungia mipaka
Wauguzi huko hospitali wanapukutika kwa ukosefu wa PPE
Halafu guess what!...order inatoka kwamba Mrema aende kuchukua mabulungutu ya fedha za walipakodi ili akafanye mkutano wa kumsifu Tausi
Halafu kwanini wanang'ang'ania Tanzania ndo kuwe na urithi wa dunia? Waweke kwao huo urithi wanashindwa Nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watoto wetu waje kusifia kuhamia Dodoma. Kwani kuna faida gani kuhamia Dodoma?
How?Huu mradi utaenda mpaka mwisho hakuna namna , vikwazo ni sehemu ya maisha , hata utajiri hauji umenyooka ,maana hakuna fedha rahisi Munguatatubariki natutafika kwenye maisha mema na matamu.
Brother tuwe wazalendo kidogo! Pengine ni kweli isingeleta tija kwa ambao wana ajira, ila ambao hawana ajira ingekuwa na tija... Tusiwe wabinafsi kuna raia kibao wanasubiri izo ajira bro... Na watumishi wachape kazi kama mkuu anavyosema!!! Masilai mazuri ni pamoja na izo project kukamilika! Me naamini Raisi anawafikiria watumishi na anajua changamoto walizonazo tuwe na subira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu alisema habari ya kuhamia dodoma akashindwa,huyu ameweza
yapo mengi yanayoonyesha jamaa amefanya kazi,ila tuendelee
kuvaa miwani ya mbao,atasifiwa na watoto wetu baada ya sisi kufa.
Hii imenikumbusha kipindi Moto unawaka kwenye misitu ya Amazon, Wafaransa wakatoa fungu kwa nchi ya Brazil iwasaidie kuuzima, jamaa walikataa msaada wakawaambia Mabeberu wa Kifaransa izo hela ziwasaidie wao wenyewe kuotesha miti nchini kwao. Mabeberu wana double standards sana.
Ukiwasikiliza utaishia kutegemea misaada milele.
Kama ukike ni kitu kibaya mama yako hana ukike? Ubaya wa ukike ni nini? Wewe huna mpenzi wa kike? Au wewe ni mwanamke kwa ivo unajua ubaya wa ukike?
These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.It also barred Egypt’s Elsewedy Electric due to its participation in a hydropower project in Tanzania that it classed as “severe environmental damage” and Brazil’s Eletrobras for “systematic human rights violations” due to the construction of a power plant. These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.
Kweli MkuuMkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.
kama ya mama yako. acha matusi hakuna aliyetukana, matusi ya nini?Rubbish brain!
Mnashindwa kununua PPE hadi mtembeze mchango kama wa harusi ndio mjenge bwawa la umeme?Tutajenga kwa fedha zetu hamna shida