Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Huko Chato naona Betri inaweza kupiga shoti
Yaani ule mradi ambao ndio ilikuwa karata ya kampeni nao ndio huo Corona nayo inatafuna uchumi kila kukicha

Mbuga za wanyama hazina mtalii hata wa dawa

Mahoteli yamefungwa huku TRA bado wanagonga milango ili wapewe chao

Majirani wametususa na kutufungia mipaka

Wauguzi huko hospitali wanapukutika kwa ukosefu wa PPE

Halafu guess what!...order inatoka kwamba Mrema aende kuchukua mabulungutu ya fedha za walipakodi ili akafanye mkutano wa kumsifu Tausi
Dah...niliandika maneno...nikajiuliza sana....nikafuta...kwa sababu ni jukwaa la siasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Hv hii subra mbna haipo kwa wanasiasa?
Brother tuwe wazalendo kidogo! Pengine ni kweli isingeleta tija kwa ambao wana ajira, ila ambao hawana ajira ingekuwa na tija... Tusiwe wabinafsi kuna raia kibao wanasubiri izo ajira bro... Na watumishi wachape kazi kama mkuu anavyosema!!! Masilai mazuri ni pamoja na izo project kukamilika! Me naamini Raisi anawafikiria watumishi na anajua changamoto walizonazo tuwe na subira

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nchi iliyoendelea kupitia misaada
Hii imenikumbusha kipindi Moto unawaka kwenye misitu ya Amazon, Wafaransa wakatoa fungu kwa nchi ya Brazil iwasaidie kuuzima, jamaa walikataa msaada wakawaambia Mabeberu wa Kifaransa izo hela ziwasaidie wao wenyewe kuotesha miti nchini kwao. Mabeberu wana double standards sana.
Ukiwasikiliza utaishia kutegemea misaada milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It also barred Egypt’s Elsewedy Electric due to its participation in a hydropower project in Tanzania that it classed as “severe environmental damage” and Brazil’s Eletrobras for “systematic human rights violations” due to the construction of a power plant. These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.
These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.

Jr[emoji769]
 
Hii nchi kivyovyote vile tunahitaji Umeme wa uhakika hilo Bwawa tayari lilikuwa hope sana kwetu mana peke yake tu lingekamilika lingefua umeme Zaidi ya tulio nao kwenye Grid sasa kwahiyo kufurahia mkwamo wa hio project ni zaidi ya Ujinga mana viwanda haviwezi kujengwa bila uhakika wa nishati lakini lazima tupambane kuondoa huu mkwamo hakuna mzungu atafurahi kuona unajenga dam ya kufua MW 2100 kwa sasa totol Power tuliyonayo ni 1400MW nationwide
 
Mkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.
Kweli Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na yale mafito ya chuma pale mtaa wa gerezani ujenzi wa es ji ara yanatoka au ndo tubinjuke na chuma chakavu?
 
Majanga juu ya majanga juu ya majanga....
 
Wale Jamaa wa gesi mtwara kule wameweka ela zao nyngi tu, leo hii wasikie eti unalalamika umeme wao ni ghali alafu unataka kutumia wa maji???

Hizi ni figisu zao, achana na Bepari bhana
 
Back
Top Bottom