Kampuni ya GSM inapata Faida gani Kubwa kiasi kwamba kila mara inatoa Misaada ya Fedha na Kampuni zingine kama MeTL haziwezi na hazitoi Misaada?

Kampuni ya GSM inapata Faida gani Kubwa kiasi kwamba kila mara inatoa Misaada ya Fedha na Kampuni zingine kama MeTL haziwezi na hazitoi Misaada?

Kwenye kutoa(kutumia), Mwarabu yupo vizuri zaidi tofauti na Muhindi.

Muhindi ni bahili by nature.
 
Moja ya njia ya kisheria ya kukwepa kodi ni kupitia Foundations. All in all utajiri una mengi.
 
Je, Wazalendo wa Kweli wa Tanzania wakiongozwa nami GENTAMYCINE tukienda TRA kuona kama wanalipa Kodi tutajua?
Wanauza magodoro na maji ya kunywa
Ukichimba sana kesho saa tano asubuhi utakuta press conference ya wazee wa mwiko nyuma una chuki na klabu yao utasomewa duwa kali upate ukichaa
 
x.jpg
 
Ukitembelea maduka yao hayana watu, ila sasa matangazo ni hatari

GSM

Ana ICD nyingi kuliko Kampuni yoyote ile
 
Back
Top Bottom