Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kampuni ya Home Box Office (HBO) ya Marekani kuwalipa wasanii, Soggy Doggy na Dataz, kiasi cha Tsh Milioni 700 kwa kutumia wimbo wao "Sikutaki Tena" katika filamu ya "Sometimes In April" bila makubaliano.
Hukumu hii imetolewa Julai 26, 2024, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kanda ya Dar es Salaam. Wasanii hao waliwakilishwa na kampuni ya Markel Advocates, na kesi hiyo imeendeshwa kwa miaka 4.
Wimbo wa "Sikutaki Tena" ulitolewa mwanzoni mwaka 2000 na kurekodiwa katika Studio za Soundcrafters chini ya utayarishaji wa Enrico.
Hukumu hii imetolewa Julai 26, 2024, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kanda ya Dar es Salaam. Wasanii hao waliwakilishwa na kampuni ya Markel Advocates, na kesi hiyo imeendeshwa kwa miaka 4.
Wimbo wa "Sikutaki Tena" ulitolewa mwanzoni mwaka 2000 na kurekodiwa katika Studio za Soundcrafters chini ya utayarishaji wa Enrico.