Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Wajuaji wanajitokeza mwishoni baada ya hukumu ushauri huo si wangeutoa miaka minne kabla wakati kesi inafunguliwa.Uliza wana sheria!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajuaji wanajitokeza mwishoni baada ya hukumu ushauri huo si wangeutoa miaka minne kabla wakati kesi inafunguliwa.Uliza wana sheria!
KWANN WASIPATE? DUNIA SIKU HIZI NI KIJIJI NA NDIO MAANA WAMESHIRIKI KWENYE KESI KWA MIAKA 4. UBALOZI SI UPO?Hawapati hiyo hela, ingekuwa kampuni ya kibongo sawa
Hata mimi ndio nashangaa kampuni iko marekani unaishtaki kwenye mahakama ya Tanzania hapo kuna muingiliano gani.Kwanza kabisa hukumu imetolewa mahakama ya Tanzania, kampuni ya Kimarekani.
Una enforce vipi hukumu ya madai iliyopitishwa na mahakama ya Tanzania kwenye kampuni ya Kimarekani ambayo haina biashara Tanzania?
Court broker tutaenda ata uko marekani kukamata Mali zaoKwanza kabisa hukumu imetolewa mahakama ya Tanzania, kampuni ya Kimarekani.
Una enforce vipi hukumu ya madai iliyopitishwa na mahakama ya Tanzania kwenye kampuni ya Kimarekani ambayo haina biashara Tanzania?
Kama kesi imeendeshwa miaka minne lazima jamaa itakuwa walikua wanakuja.Sasa hapo atalipwa vipi na hiyo ofc ilikuwa inawakilishwa na nani huku kwenye mahakama zetu.
Hata mimi ndio nashangaa kampuni iko marekani unaishtaki kwenye mahakama ya Tanzania hapo kuna muingiliano gani.
Sasa assume kesi imeisha na mahakama imeamuru hiyo kampuni ilipe halafu kwa mfano wakashindwa kulipa mtawafanya nini?maana hawana assets zozote TanzaniaWewe wakati waendelea kushangaa wenzako HBO wako serious walihudhuria kesi, mawakili wake walikuja.
Sasa assume kesi imeisha na mahakama imeamuru hiyo kampuni ilipe halafu kwa mfano wakashindwa kulipa mtawafanya nini?maana hawana assets zozote Tanzania
Let us hope that.Mbona unaashumu kushindikana tu? Kwanini usiashumu kulipwa haraka bila mkwamo? Wale sio waswahili they have got reputation to protect, payment is swift and instant after exhausting all possible legal avenues.
Nakwambia hivii, hapo Tanzania tu watu wanashinda kesi za madai na hawapewi haki zao, itakuwa huko nje ambako hata hiyo recognition of foreign judgement uliyoitaja hujui kama ipo na kama ipo ipo vipi?Ungeelewa hili ila mnasemaga sheria ngumu ukisoma sheria kuna course inaitwa private international law specifically kwenye recognition and enforcement of foreign judgement kama hizi nchi mbili wana makubaliano ya kurecognise na kuenforce simple tu watapata haki yao
Nimemaliza mwenyewe kwa reference za sheria za Marekani post #34.Uliza wana sheria!
Marekani haitambui hukumu za mahakama za nchi nyingine mpaka mdai afungue kesi upya katika mahakama competent ya Marekani na kushinda tena huko.Hata mimi ndio nashangaa kampuni iko marekani unaishtaki kwenye mahakama ya Tanzania hapo kuna muingiliano gani.
Marekani haitambui hukumu za mahakama za kigeni, haijasaini mkataba wa kutambua hukumu hizo.Court broker tutaenda ata uko marekani kukamata Mali zao
Hatari,kweli uko ndio duniani,uku kwetu court broker wanadaka ata ndege za serikaliMarekani haitambui hukumu za mahakama za kigeni, haijasaini mkataba wa kutambua hukumu hizo.
Ili hukumu hizo ziwe valid, kesi mpya inatakiwa kuanzishwa nchini Marekani kwenye mahakama yenye nguvu stahiki za kuisikiliza.
Ukipeleka court brokers wako wa Tanzania washike mali bila kufungua kesi upya Marekani utaonekana mwizi tu na hata shaba wanaweza kupigwa kama wezi tu.
Yeah I was suspecting something like this.Marekani haitambui hukumu za mahakama za nchi nyingine mpaka mdai afungue kesi upya katika mahakama competent ya Marekani na kushinda tena huko.
Haijasaini mkataba wowote wa kutambua hukumu za mahakama za nchi za kigeni.
Reciprocal enforcement of foreigh judgmentsHata mimi ndio nashangaa kampuni iko marekani unaishtaki kwenye mahakama ya Tanzania hapo kuna muingiliano gani.