Wanachotakiwa kifanya ni kutafuta wanasheria wa Marekani watakao guarantee mambo yafuatayo.Yeah I was suspecting something like this.
Well saidWanachotakiwa kifanya ni kutafuta wanasheria wa Marekani watakao guarantee mambo yafuatayo.
1. Kesi ifunguliwe upya Marekani ili kuipa nguvu hukumu ya Tanzania iwe enforced Marekani.
2. Wanasheria wa Marekani wasilipwe kama kesi haitafanikiwa, walipwe tu baada ya kwsi kufanikiwa Marekani.
Hao wanasheria wanaotafuta lawsuits Marekani wapo wengi sana, na kwa sababu wameshashinda kesi Tanzania, kuna msingi mzuri wa kuanzisha kesi Marekani na kushinda. Ila wajiandae tu wakishinda kuwapa asilimia fulani ya malipo yao wanasheria wa Marekani.
Marekani haitambui hukumu za mahakama za kigeni na haijasaini mkataba wowote wa kutambua hukumu hizo.Mbona unaashumu kushindikana tu? Kwanini usiashumu kulipwa haraka bila mkwamo? Wale sio waswahili they have got reputation to protect, payment is swift and instant after exhausting all possible legal avenues.
Mkuu umemaliza kila kitu apa mjadala ufungwe huuNakwambia hivii, hapo Tanzania tu watu wanashinda kesi za madai na hawapewi haki zao, itakuwa huko nje ambako hata hiyo recognition of foreign judgement uliyoitaja hujui kama ipo na kama ipo ipo vipi?
Wamarekani wana visa sana kwenye sheria, wanajiona mfumo wao tu ndio unatoa haki huko kwingine kote takataka, wanakataa hata sheria za kimataifa kuwahusu askari wao wanaofanya vibaya vitani, itakuwa hizo sheria za Tanzania ambazo wao wanaona zinatoka kwenye mahakama za kufuata amri kutoka juu?
Hiyo kampuni ingeshitakiwa kwenye mahakama ya Marekani kungekuwa na uwezekano mkubwa wa kulipa.
Hizi mahakama za Tanzania Mmarekani akisema tu nimeonewa kwa sababu wamemtetea mtu wao kwao kinyume na haki hukumu haina nguvu Marekani hiyo.
Mpaka hapa kila kitu nimeandika kutoka kichwani kwa uzoefu wangu wa kufuatilia mambo tu.
Sasa naweka references za kisheria, yafuatayo si yangu tu, ni sheria.
Uzuri wa Marekani kila kitu kipo mtandaoni. Nimeona nisiandike kutoka kichwani tu, nikupe sheria ya Marekani inavyosema.
Wanasema hivii.
"Under U.S. law, an individual seeking to enforce a foreign judgment, decree or order in this country must file suit before a competent court."
"The United States is not party to any treaty on the recognition and enforcement of foreign judgments, nor are there federal laws governing foreign judgments."
Enforcement of Judgments
In many foreign countries, as in most jurisdictions in the United States, the recognition and enforcement of foreign judgments is governed by local domestic law and the principles of comity, reciprocity and res judicata (that is, that the issues in question have been decided already).travel.state.gov
Enforcement of Foreign Judgments Laws and Regulations Report 2024-2025 United States
Enforcement of Foreign Judgments Laws and Regulations covering issues in United States of Country Finder, General Regime, Enforcement, Other Mattersiclg.com
Maana yake ukitaka ku enforce judgement, decree au order ya mahakama ya nje nchini Marekani, inabidi u file suit upya Marekani.
Hili swali ungeuliza wakati kesi inaanza....Duuh wangeenda kufungua kesi US kwenyewe ,wawasafirishe wanasheria huko huko! Je wana copyright wa huo wimbo kutoka COSOTA/RIAA?
Watu wengi hawajui kuwa mtu anaweza kuwa ni msanii aliyeimba wimbo fulani, lakini akawa hana publishing rights za huo wimbo.Duuh wangeenda kufungua kesi US kwenyewe ,wawasafirishe wanasheria huko huko! Je wana copyright wa huo wimbo kutoka COSOTA/RIAA?
Kwakweli hawakuamini kama huu wimbo ungewaingizia hela kwenye MAZINGIRA kama haya. Mungu akipanga jambo. Litakuwa tu kwa namna yoyote ile...huu wimbo Wala haukuwa maarufuKupewa ushindi mahakamani na kupata hela ni mambo mawili tofauti.
View: https://youtu.be/ZlwoIIpVVlk?si=sp_HxXDOKNKu4gst
Watu wengi hawajui kuwa mtu anaweza kuwa ni msanii aliyeimba wimbo fulani, lakini akawa hana publishing rights za huo wimbo.
Na msanii wa Tanzania anaweza kuwa kaimba wimbo ambao hana ownership ya masters zake, na hana publishing rights, katapeliwa/ kasainishwa mikataba mibaya na wajanja wa Tanzania tu ambao wamechukua hizo masters, wana copyright na publishing rights.
Inawezekana Ukakuta HBO washamlipa mtu mwenye publishing rights kwao Marekani huko, na matatizo ni kuwa msanii katapeliwa huko kwenu Tanzania na watu waliochukua publishing rights zake kwa kumsainisha mikataba ya kinyonyaji ya kumpa pesa ndogo sana.
Wasanii kama lina Soggy wengine walikuwa wanasaini mikataba na wahindi wanapewa milioni mbili, tatu, wanamuacjia masters na publishing rights muhindi.
Hili swali ungeuliza wakati kesi inaanza....
Hili jambo ni kubwa sana, si Tanzania tu, kimataifa.Kabisa Kiranga ,inabidi kina soggy kabla ya kufungua kesi US waangalie hivyo vitu ,huenda mtu kati mwenye copyright/publishing rights kashakula chake kwa HBO ,wasanii wengi hawajitambui/hawana elimu ya copyright/publishing rights wao wanachowaza tu aingie studio kurekodi kisha apeleke record radio ichezwe apate show aingize maokoto ,hawapati hata royalty/dididend kwa kazi zao walizotapeliwa na ma producers au mtu kati....Pfunk Majani nyimbo nyingi za wasanii waliokuwa bongo records ni mali zake...usikute producer wa huo wimbo kashachukua chake HBO.
Marekani haitambui hukumu za mahakama za kigeni na haijasaini mkataba wowote wa kutambua hukumu hizo.
Njia pekee ya ku enforce hukumu hizo ni kuanzisha kesi mpya katika mahakama husika za Marekani.
HBO hawataki kuonekana hawajali, na pia wanataka kesi ikienda mahakama ya Marekani wawe na msemonkwamba kesi ya Tanzania ikienda vipi, ina mapungufu gani, etc, lakini wanajua hilo.
Nani kala bingo? Kala bingo kivipi wakati judgement bado haiko enforceable Marekani?Shauri lilianzia kwenye arbitration HBO walikuwa wanataka kulimaliza ila hawakukubaliana kiasi cha malipo wakaenda mbele sasa kwa mh jaji. Hiyo inakupa mwanga kuwa Jamaa wamekula bingo.
Mbona wameshinda kesiWatu wengi hawajui kuwa mtu anaweza kuwa ni msanii aliyeimba wimbo fulani, lakini akawa hana publishing rights za huo wimbo.
Na msanii wa Tanzania anaweza kuwa kaimba wimbo ambao hana ownership ya masters zake, na hana publishing rights, katapeliwa/ kasainishwa mikataba mibaya na wajanja wa Tanzania tu ambao wamechukua hizo masters, wana copyright na publishing rights.
Inawezekana Ukakuta HBO washamlipa mtu mwenye publishing rights kwao Marekani huko, na matatizo ni kuwa msanii katapeliwa huko kwenu Tanzania na watu waliochukua publishing rights zake kwa kumsainisha mikataba ya kinyonyaji ya kumpa pesa ndogo sana.
Wasanii kama kina Soggy wengine walikuwa wanasaini mikataba na wahindi wanapewa milioni mbili, tatu, wanamuacjia masters na publishing rights muhindi.
Kushinda kesi Tanzania hakuna bearing katika kampuni ya Kimarekani.Mbona wameshinda kesi