Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Poleni sana wacheza kamali
Afadhali nifanye kazi ya kipato cha halali ila sio kubeti
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Wengine ni wahuni tu 😆🤣
 
Ukitaka kuanza Kubeti kwanza lazima
@) ujiandae kisaikolojia
b)Uwe na moyo wa chuma
,c)Usiwe mwepesi wa kukata tamaa
d) Usibetie hela Ada ikiwa wewe ni mwanafunzi
e) Usibetie Hela ya Bajeti ya msosi ikiwa wewe ni Baba au Mama wa nyumbani

vigezo na mashart zingatia
Usibetie hela ya Kodi
 
Kampuni ya kubet online ni sportpesa tu achaneni kampuni za vichochoroni, sportpesa hata mechi ikiisha tu na pesa zinaingia muda huo huo na unatoa..

Na pia jackpot yao mechi ya mwisho ikiisha tu kama umeishinda muda huo huo pesa inaingia
Na betpawa wako vizuri kwenye malipo
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Sportpesa nao ni wezi flani hivi wa kung'ata na kupuliza serikali liangalieni
 
Kampuni ya kubet online ni sportpesa tu achaneni kampuni za vichochoroni, sportpesa hata mechi ikiisha tu na pesa zinaingia muda huo huo na unatoa..

Na pia jackpot yao mechi ya mwisho ikiisha tu kama umeishinda muda huo huo pesa inaingia
usisifie kampuni ya kamari, hawana huruma hao.
 
Mimi nilibet betway sasa baada ya kuhisi mkeka unaenda kufa nikafanya cash out na ikakubali kabisa cha kushangaza mhamala haujaingia kwenye akaunti na mkeka wameuondoa kabisa haupo kwenye list ya open bets, settled bets wala transactions history nikawacheki wakaniambia notume namba ya simu nikawatumia baadae wakanirudishia notification ya mkeka ambao nilicash out siku nyingi tu na hakuna mhamala wowote ulioongezeka nikawacheki tena nikawaambia sio mkeka huo wakaniambia nitume namba ya mkeka nikawaambia mkeka wameuondoa kabisa haupo kabisa sasa iyo namba ya mkeka nitaijuaje nifanye kazi ya kukalili namba ya mikeka kila ninapobet? Wakaniambia nitume screenshot ya transaction history nikawatumia wakasema nisubiri ikapita siku nzima nikawacheki tena vipi wakaniambia niendelee kusubiri ndo mpaka leo hii hawajanipa pesa yangu
 
Mimi nilibet betway sasa baada ya kuhisi mkeka unaenda kufa nikafanya cash out na ikakubali kabisa cha kushangaza mhamala haujaingia kwenye akaunti na mkeka wameuondoa kabisa haupo kwenye list ya open bets, settled bets wala transactions history nikawacheki wakaniambia notume namba ya simu nikawatumia baadae wakanirudishia notification ya mkeka ambao nilicash out siku nyingi tu na hakuna mhamala wowote ulioongezeka nikawacheki tena nikawaambia sio mkeka huo wakaniambia nitume namba ya mkeka nikawaambia mkeka wameuondoa kabisa haupo kabisa sasa iyo namba ya mkeka nitaijuaje nifanye kazi ya kukalili namba ya mikeka kila ninapobet? Wakaniambia nitume screenshot ya transaction history nikawatumia wakasema nisubiri ikapita siku nzima nikawacheki tena vipi wakaniambia niendelee kusubiri ndo mpaka leo hii hawajanipa pesa yangu
Duuuuh
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Ndugu yangu rejea jina la kampuni Pigabet
Ndio maana umepigwa
😂😂😂😂😂
 
Sipati picha mwanaume mwenye mahusiano na binti anaye-bet!!

Mizinga ni mwendo mdundo.
 
Back
Top Bottom