All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Wala usifikilie kabisa acha utafilisika kabisaaaWakuu nifundisheni jinsi ya kubet, Hali ni Ngumu Wallah [emoji30]. Ñafanyaje nijifunze kubet Wakuu. Sio utani namaanisha Wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usifikilie kabisa acha utafilisika kabisaaaWakuu nifundisheni jinsi ya kubet, Hali ni Ngumu Wallah [emoji30]. Ñafanyaje nijifunze kubet Wakuu. Sio utani namaanisha Wakuu
😀😀😀😀 Shem atoke wapi ndugu yanguNipo mwanawane....shem ajambo lakini
Itoshe kusema hakuna njia rahisi kujipatia helaMaisha rahisi? Kwani anatumia makaratasi kubet?
Poleni sana wacheza kamaliWale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Tatizo lako hujui kubeti ukijuwa hautaungumza hivyoPoleni sana wacheza kamali
Afadhali nifanye kazi ya kipato cha halali ila sio kubeti
Wengine ni wahuni tu 😆🤣Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Kama kwako ni ngumu sawa ila usijilinganishe na wengineItoshe kusema hakuna njia rahisi kujipatia hela
Usibetie hela ya KodiUkitaka kuanza Kubeti kwanza lazima
@) ujiandae kisaikolojia
b)Uwe na moyo wa chuma
,c)Usiwe mwepesi wa kukata tamaa
d) Usibetie hela Ada ikiwa wewe ni mwanafunzi
e) Usibetie Hela ya Bajeti ya msosi ikiwa wewe ni Baba au Mama wa nyumbani
vigezo na mashart zingatia
Na betpawa wako vizuri kwenye malipoKampuni ya kubet online ni sportpesa tu achaneni kampuni za vichochoroni, sportpesa hata mechi ikiisha tu na pesa zinaingia muda huo huo na unatoa..
Na pia jackpot yao mechi ya mwisho ikiisha tu kama umeishinda muda huo huo pesa inaingia
Sportpesa nao ni wezi flani hivi wa kung'ata na kupuliza serikali liangalieniWale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
usisifie kampuni ya kamari, hawana huruma hao.Kampuni ya kubet online ni sportpesa tu achaneni kampuni za vichochoroni, sportpesa hata mechi ikiisha tu na pesa zinaingia muda huo huo na unatoa..
Na pia jackpot yao mechi ya mwisho ikiisha tu kama umeishinda muda huo huo pesa inaingia
DuuuuhMimi nilibet betway sasa baada ya kuhisi mkeka unaenda kufa nikafanya cash out na ikakubali kabisa cha kushangaza mhamala haujaingia kwenye akaunti na mkeka wameuondoa kabisa haupo kwenye list ya open bets, settled bets wala transactions history nikawacheki wakaniambia notume namba ya simu nikawatumia baadae wakanirudishia notification ya mkeka ambao nilicash out siku nyingi tu na hakuna mhamala wowote ulioongezeka nikawacheki tena nikawaambia sio mkeka huo wakaniambia nitume namba ya mkeka nikawaambia mkeka wameuondoa kabisa haupo kabisa sasa iyo namba ya mkeka nitaijuaje nifanye kazi ya kukalili namba ya mikeka kila ninapobet? Wakaniambia nitume screenshot ya transaction history nikawatumia wakasema nisubiri ikapita siku nzima nikawacheki tena vipi wakaniambia niendelee kusubiri ndo mpaka leo hii hawajanipa pesa yangu
Ndugu yangu rejea jina la kampuni PigabetWale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
😆Ila sahivi maisha mchaka mchaka Hadi wakina khadija mnabeti.. walahi 2030 wanaume watatuoa hawa wadada..😂