slander kivipi?Wapi Receipts hii isije kuwa ni Slander
Ongeza na BetwayKAMPUNI ZA KUBETI ZENYE UAMINIFU NI MBILI TU NCHI HII.
1.SPORTPESA
2.MERIDIANBET
Mimi nishaachana nao hao kitambo saiv nipo sportybethakuna wezi kama hawa
Mimi niliweka 80,000 nikabeti mikeka mingine ikachanika mingine ikashinda, mpaka usiku nikwa na 120,000 Sasa nikasema nipunguze hapo hata 30,000 TU alafu nyingine niache. chakushangaza pesa haitoki, nikawatafuta kwenye chat live wakaniambia wanashughulikia nikawatafuta kwenye Instagram bado sound ni zile zile . siku moja wakaniambia niongeze (deposit) kiasi chochote alafu ni kibetia ndipo hiyo pesa itatoka lakini wapi, mwingine akaniambia mara nitume tarifa zangu binafsi za miamala ya mpesa nikatuma pamoja na kitambulisho lakini wapi. nikawa nawauliza Sasa mbona wakati na_deposit hamkuniuliza kuhusu vitambulisho Sasa hivi ndio mnauliza? majibu eti ni utaribu wa betway.
Duh! Pole sana. Lakini si tayari umeshawajulisha ID yako ya JF?Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
I wonder if wakifanya hivyo hawakwepi kodi. TRA Tanzania waje watujuze. Sifahamu utaratibu uliopo, lakini pesa mfano kushinda pesa ya bahati nasibu, kodi hukatwa kama sikosei.Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;
Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.
#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.
Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.
Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?
wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Umeshawahi kupunguza upepo kwenye mpira wa miguu uliojaa hewa, safety valve?Hivi betting huwa ni hobby au njia ya uhakika ya kupata kipato?
Duh kumbe watu wanapata hela nyingi. Kuna haja nianze kucheza kamari na mimi. Tatizo huwa naona manamba namba hata sijui pa kuanzia.
Wamekuhifadhia usitumie vibaya.Nimewahi kushinda millioni mia nane kwenye hiyo Pigabet, cha ajabu kwenye akaunti wakaniwekea shilingi themanini. Yaani kumi mara nane.
Mimi hao niliachana nao sasa hivi ni sportybet.. uko betway nilifanyaga cash out na ikaonesha kabisa cashout successfully cha kushangaza salio kwenye akaunti halijaongezeka na mkeka niliocashout haupo kwenye list ya open bets wala settled nikawataarifu wakanipiga blah blah tu mpaka leo hela yangu hawajanipaHii kampuni nahisi wanataka kufanya utapeli kama Qnet.
Siku ya Jumatatu nilibet na kushinda Tsh 100,000 baada ya kuweka 10,000. Baada ya kufanya withdrawal, ikaandka kuwa nimetoa kiasi ch....