Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kila wakati ninawakumbusha tumieni meridian, sportpesa, sportybet na premierbet. Huko hakuna longolongo.

Hata ukila kiasi kikubwa ndani ya saa 24 muamala unakuwa umeshatumika kumwagilia moyo. Hizi milioni chini ya 10 ukila muamala unaingia kwako sekunde hiyohiyo
Mkiendelea kulialia mnazingua msijesema sijawaambia mapema.
 
Unaposema umeibiwa inaweza ikawa kweli umeibiwa au unaweza ukawa ni Mmiliki wa Sportspesa au any other betting firm unaleta mambo ya kuchafuana...

Hawa jamaa wanakula pesa zako legally bila jasho kwao kumdhulumu mteja huenda ikawa ni hasara kuliko wangetangaza wamemlipa kila mtu ajue ili waendelee kuvuna wateja
 
Tumekwisha jamani wa tz Kwa Sasa vina bet Hadi vibabu na mikongojo yao SI hatari hii.
 
hakuna wezi kama hawa
Mimi niliweka 80,000 nikabeti mikeka mingine ikachanika mingine ikashinda, mpaka usiku nikwa na 120,000 Sasa nikasema nipunguze hapo hata 30,000 TU alafu nyingine niache. chakushangaza pesa haitoki, nikawatafuta kwenye chat live wakaniambia wanashughulikia nikawatafuta kwenye Instagram bado sound ni zile zile . siku moja wakaniambia niongeze (deposit) kiasi chochote alafu ni kibetia ndipo hiyo pesa itatoka lakini wapi, mwingine akaniambia mara nitume tarifa zangu binafsi za miamala ya mpesa nikatuma pamoja na kitambulisho lakini wapi. nikawa nawauliza Sasa mbona wakati na_deposit hamkuniuliza kuhusu vitambulisho Sasa hivi ndio mnauliza? majibu eti ni utaribu wa betway.
Mimi nishaachana nao hao kitambo saiv nipo sportybet
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Duh! Pole sana. Lakini si tayari umeshawajulisha ID yako ya JF?
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
I wonder if wakifanya hivyo hawakwepi kodi. TRA Tanzania waje watujuze. Sifahamu utaratibu uliopo, lakini pesa mfano kushinda pesa ya bahati nasibu, kodi hukatwa kama sikosei.
 
Hii kampuni nahisi wanataka kufanya utapeli kama Qnet.

Siku ya Jumatatu nilibet na kushinda Tsh 100,000 baada ya kuweka 10,000. Baada ya kufanya withdrawal, ikaandka kuwa nimetoa kiasi cha pesa na ilipaswa ionyeshe kwe airtel money yangu. Cha ajabu pesa haikuingia Airtelmoney na toka ni kama vile site yao ipo down.

Kama wahusika wamo humu, ni bora kutoa taarifa kama kuna hitilafu tofauti na hapo tutakuchukulieni matapeli tu.
 
Hii kampuni nahisi wanataka kufanya utapeli kama Qnet.

Siku ya Jumatatu nilibet na kushinda Tsh 100,000 baada ya kuweka 10,000. Baada ya kufanya withdrawal, ikaandka kuwa nimetoa kiasi ch....
Mimi hao niliachana nao sasa hivi ni sportybet.. uko betway nilifanyaga cash out na ikaonesha kabisa cashout successfully cha kushangaza salio kwenye akaunti halijaongezeka na mkeka niliocashout haupo kwenye list ya open bets wala settled nikawataarifu wakanipiga blah blah tu mpaka leo hela yangu hawajanipa
 
Back
Top Bottom