Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Duh...!. Could it be
Or sababu hizi

P
Mkuu hadi leo hujapata uteuzi bado naona, kwenye ukuu wa wilaya huko pameshajaa, kwa upande wa ubunge wa kuteuliwa ngoja tuone
 
Duh...!. Could it be
Or sababu hizi

P
Endelea kusifu, kutukuza na kupamba ila mwisho wa siku wote tutakuwa wahanga kwa namna moja au nyingine.
 
Uzalendo ni pamoja na kumhurumia mtanzania mwenzio akiwa na changamoto.
Kama unafurahia dangote kufunga kiwanda na new habari kusitisha uzalishaji, maana yake unafurahia maelfu ya watanzania wenzio wanaoenda kukosa ajira kwasababu ya kufungwa kwa makampuni hayo mawili. Huu uzalendo wako ni wa kutilia shaka. huenda si uzalendo, ni kujipendekeza ndiko kuliko kujaa.
mkuu labda umenielewa vibaya mimi kama uvccm taifa 🤔
 
States ipi hiyo unayozungumzia?! Acha ujinga wewe

The united states wanalipa 40% as tax, if your revenues are above lets say 400K, you pay even much higher! tanzania its only 18% lakini izo kelele mnapiga
 
Wewe ndio unaweka siasa!! Kwani hujui biashara karibia zote nchini ktk awamu hii zimekuwa ngumu kutokana na mipango ya uchumi isiyoeleweka!! Jana ulimsikiliza dangote!! Alichokisema!! Kwenye sekta ya habari, inakufa kutokana na sheria/ubabe unaovilazimisha kutangaza habari zinazowafurahisha watawala tu!! Hapo nani atanunua gazeti!! Kipindi cha gazeti la mawio/mwana halisi mbona ilikuwa ukichelewa tu unakuta yamekwisha?!! Na bado

vijana bana! watu wangap wanafanya biashara Tanzania na biashara ngap zmekufa? yaani unaelezea utadhan wengine hatufanyi biashara dogo! everything iko stable swala la magazeti wala ata wasipachike maneno ya uongo, magazeti yalikua yanaenda kufa toka blogging ianze ilikua ni swla la mda tu
 
Sio hilo tu hata gazeti la Kulikoni nalo limefirisika
 
Back
Top Bottom