Kampuni ya Tigo, kuhusu issue ya Lissu mnayo KESI ya kujibu: Someni hapa

Kampuni ya Tigo, kuhusu issue ya Lissu mnayo KESI ya kujibu: Someni hapa

Tigo chini ya utawala mpya HORONA, wafungue kesi ya kwa kuchafuliwa brand yao, na kupelekea hasara ya billion 80/-😁😁😁😁
Sahihi kabisa tena waende haraka sana kwenye mahakama zetu hizo Lisu anazidharau na kuziita za Profesa Ibrahim alipoongea kwenye hotuba yake kudharau kuwa zake atafungua ulaya

Wawahi kabla hata hiyo ya uingereza haijafika mbali

Wamburuze chapchap kwenye mahakama zetu

Hizi anazodharau kuwa hata majaji wengi hawajui kingereza
 
Sanaaaaaa kama unabisha Lisu na huyo mzungu wake wa uingereza waipeleke Tigo mahakamani iwe Tanzania au ulaya au popote
Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over 300,000 Tanzanians including an extended network of customer service representatives, mobile money merchants, sales agents and distributors
 
Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over 300,000 Tanzanians including an extended network of customer service representatives, mobile money merchants, sales agents and distributors
Tigo sio company nenda kwa msajili wa makampuni hakuna kampuni yenye jina hilo

Taarifa za mitandao hakiki kwanza kwenye mamlaka husika za usajili
 
Tigo sio company nenda kwa msajili wa makampuni hakuna kampuni yenye jina hilo

Taarifa za mitandao hakiki kwanza kwenye mamlaka husika za usajili
Nashukuru sana, "Millicom Ghana Limited (Tigo)
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 2
Tigo someni mifano mingi ya kesi zinazohusisha uhalifu, teknolojia, na uwajibikaji wa kampuni ambazo zilishughulikiwa kwa mafanikio.

Hapa kuna baadhi ya mifano maarufu:

1. Kesi ya "Blackberry:
Katika miaka ya 2010, kampuni ya Blackberry ilihusishwa na kesi kadhaa za uhalifu ambapo taarifa za ujumbe wa maandishi zilitumika kama ushahidi. Mamlaka zilifanikiwa kutumia data kutoka kwenye vifaa vya Blackberry ili kufichua ukweli na kuwakamata wahalifu.

2. Kesi ya "Ashley Madison:
Kesi hii ilihusisha uvunjaji wa data wa tovuti ya ushirikiano. Wateja walikabiliwa na hatari kutokana na taarifa zao kufichuliwa. Hata hivyo, kesi hiyo ilileta mabadiliko katika sheria za faragha na usalama wa mtandaoni, na kampuni ililazimika kuboresha mifumo yake ya usalama.

3. Kesi ya "Volkswagen Emissions Scandal:
Volkswagen ilikabiliwa na kesi kubwa baada ya kugundulika kuwa walikuwa wanapotosha matokeo ya majaribio ya hewa safi. Kampuni ililazimika kulipa fidia kubwa, na hii ilileta mabadiliko katika sheria za mazingira na uwajibikaji wa kampuni.

4. Kesi ya "Facebook Cambridge Analytica:
Facebook ilikabiliwa na mkanganyiko mkubwa kuhusu matumizi mabaya ya data za watumiaji. Kesi hii ilileta uhamasishaji wa sheria mpya za faragha na uwazi katika matumizi ya data.

Kila mojawapo ya kesi hizi ilionyesha jinsi teknolojia inaweza kutumika kama chombo cha ushahidi na jinsi kampuni zinavyoweza kuwajibika kwa vitendo vyao.

Hizi ni baadhi ya mifano ambayo inaweza kutoa mwanga juu ya jinsi kesi kama hiyo inaweza kushughulikiwa.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
nendeni mahakamani,
kumbwelambwela mitandaoni hakusaidii chochote 🐒
 
Nashukuru sana, "Millicom Ghana Limited (Tigo)
Millicom International Cellular has finalised the sale of its Tanzanian unit to finish off its multi-year divestment plan from Africa, a move to exclusively focus on Latin American markets.

Millicom announced the sale of Tigo Tanzania to pan-African group Axian in April last year for an undisclosed fee, however, the group has now revealed it will receive net cash of around $100m. Axian will take on Millicom's debts and other obligations in the unit.

Millicom chief executive Mauricio Ramos said: “With today’s announcement that we have completed the divestiture of our African businesses, we close a chapter in our history and open another solely focused on the Latin American region.”

The group also sold off shares in its Ghana joint venture with Bharti Airtel to the government last year, which has taken sole control of Airtel Tigo. It also previously had operations in Chad, the Democratic Republic of Congo, Mauritius, Rwanda and Senegal.

Millicom has ramped up its investments in Latin America, including the expansion of its fixed broadband network to over 20 million.

It will also spin off its fintech Tigo Money unit and portfolio of towers into separate companies. The company has earmarked financial technologies as a key growth driver with an estimated $14 billion in market opportunity in Latin America.

In Guatemala, Millicom assumed full control of a joint venture from a local partner for US$2.2 billion.

Huyo aliyeshtaki Millicom uingereza atajijua
 
Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over 300,000 Tanzanians including an extended network of customer service representatives, mobile money merchants, sales agents and distributors
Unapoteza nguvu za mikono,kubishana na kiraza!
 
Millicom International Cellular has finalised the sale of its Tanzanian unit to finish off its multi-year divestment plan from Africa, a move to exclusively focus on Latin American markets.

Millicom announced the sale of Tigo Tanzania to pan-African group Axian in April last year for an undisclosed fee, however, the group has now revealed it will receive net cash of around $100m. Axian will take on Millicom's debts and other obligations in the unit.

Millicom chief executive Mauricio Ramos said: “With today’s announcement that we have completed the divestiture of our African businesses, we close a chapter in our history and open another solely focused on the Latin American region.”

The group also sold off shares in its Ghana joint venture with Bharti Airtel to the government last year, which has taken sole control of Airtel Tigo. It also previously had operations in Chad, the Democratic Republic of Congo, Mauritius, Rwanda and Senegal.

Millicom has ramped up its investments in Latin America, including the expansion of its fixed broadband network to over 20 million.

It will also spin off its fintech Tigo Money unit and portfolio of towers into separate companies. The company has earmarked financial technologies as a key growth driver with an estimated $14 billion in market opportunity in Latin America.

In Guatemala, Millicom assumed full control of a joint venture from a local partner for US$2.2 billion.

Huyo aliyeshtaki uingereza atajijua
Unaonekana kiingereza hujui kumbe!Sasa hapo sio kampuni Tigo!
 
Unajua maana ya kuuza unit ya kampuni? Unit waliyouza ninya milicom Tanzania wapi wamesema wameuza unit ya tigo? Wewe ndie kingereza hujui
Kubishana na wewe mburula ni kupotezeana bando!Mimi nimefanya kwenye kampuni na ilibinafsishwa mwaka 1995 na kuchukuliwa na kampuni za nje,wafanyakazi tuliendelea na kazi na walikuwa wanadai madeni na wenye kesi ziliendelea chini ya mwajiri mpya,Nina uzoefu na Ninachosema we mburula!
 
Tigo someni mifano mingi ya kesi zinazohusisha uhalifu, teknolojia, na uwajibikaji wa kampuni ambazo zilishughulikiwa kwa mafanikio.

Hapa kuna baadhi ya mifano maarufu:

1. Kesi ya "Blackberry:
Katika miaka ya 2010, kampuni ya Blackberry ilihusishwa na kesi kadhaa za uhalifu ambapo taarifa za ujumbe wa maandishi zilitumika kama ushahidi. Mamlaka zilifanikiwa kutumia data kutoka kwenye vifaa vya Blackberry ili kufichua ukweli na kuwakamata wahalifu.

2. Kesi ya "Ashley Madison:
Kesi hii ilihusisha uvunjaji wa data wa tovuti ya ushirikiano. Wateja walikabiliwa na hatari kutokana na taarifa zao kufichuliwa. Hata hivyo, kesi hiyo ilileta mabadiliko katika sheria za faragha na usalama wa mtandaoni, na kampuni ililazimika kuboresha mifumo yake ya usalama.

3. Kesi ya "Volkswagen Emissions Scandal:
Volkswagen ilikabiliwa na kesi kubwa baada ya kugundulika kuwa walikuwa wanapotosha matokeo ya majaribio ya hewa safi. Kampuni ililazimika kulipa fidia kubwa, na hii ilileta mabadiliko katika sheria za mazingira na uwajibikaji wa kampuni.

4. Kesi ya "Facebook Cambridge Analytica:
Facebook ilikabiliwa na mkanganyiko mkubwa kuhusu matumizi mabaya ya data za watumiaji. Kesi hii ilileta uhamasishaji wa sheria mpya za faragha na uwazi katika matumizi ya data.

Kila mojawapo ya kesi hizi ilionyesha jinsi teknolojia inaweza kutumika kama chombo cha ushahidi na jinsi kampuni zinavyoweza kuwajibika kwa vitendo vyao.

Hizi ni baadhi ya mifano ambayo inaweza kutoa mwanga juu ya jinsi kesi kama hiyo inaweza kushughulikiwa.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Ni Milcom iliyoiuza Tigo au wamiliki wapya wanastahili kushitakiwa?
 
Tigo sio kampuni mifano yako ni hewa
Umetoa mifano ya makampuni wakati tigo siyo kampuni haijawahi sajiliwa popote duniani kwa msajili wa makampuni yeyote
Kwa hiyo hiki tunacho kiona kwenye simu na mabango ni kitu gani?na vocha tunazo jaza zimeandikwa tigo au milcom,basi watatuambia hiyo tigo inamilikiwq na nani maana hata line imeandikwa tigo sio milcom , kwa hiyo kama nje limeandikwa kanisa halafu kumbe ndani mi msikiti basi kanisa ndilo litatoa majibu ya huo msikiti ulioko ndani yake
 
Sanaaaaaa kama unabisha Lisu na huyo mzungu wake wa uingereza waipeleke Tigo mahakamani iwe Tanzania au ulaya au popote
Inayopelekwa ni millicom acha ubishi. Najua umeelewa just unaleta league. Mtu akisema tigo haimaanishi Lissu ataisue tigo bali ataisue millicom.
 
Back
Top Bottom