Kampuni ya Tigo, kuhusu issue ya Lissu mnayo KESI ya kujibu: Someni hapa

Kampuni ya Tigo, kuhusu issue ya Lissu mnayo KESI ya kujibu: Someni hapa

Inayopelekwa ni millicom acha ubishi. Najua umeelewa just unaleta league. Mtu akisema tigo haimaanishi Lissu ataisue tigo bali ataisue millicom.
Sasa yeye Lisu aliongea kuwa ataishitaki tigo tena mahakama ya kimataifa akiitishia kachafua jina la Tigo .

Tigo wamburuze mahakamani kwa kuwaharibia biashara
 

Attachments

  • IMG-20240926-WA0035.jpg
    IMG-20240926-WA0035.jpg
    79.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom