kichoroba89
Senior Member
- Oct 3, 2019
- 197
- 57
Watahangaika sana walitaka waendelee kutunyonya na madini yetu sasa wanaona wanakuwa masikini wanatafta lingine,ila yote yatapita salama mbele ya jembe letu MAGUFULIKama unahitaji Urais umepata,tuone huko kulala majalalani vip,jalalani ulimuona vipi kama hamkuwa wote mnaokotaokota?
Hapo ndio unabugi,Serikali itabakia palepale hakuna cha huruma wala furaha,Jembe litapeta tu hata walete kesi gani,walitaka waendelee kutunyonya na kubeba madini burebure,wao wafungue tu kesiMimi nadhani kama nchi tumekwishaingia kichakani, lililopo ni kutafuta njia ya kutoka huko.
Tusipoweka tahadhari na kuelewa haya yanayoendelea, tutajikuta ndio tunaingia kwenye msitu wenyewe na sio kichaka tena.
Maana yangu hapa ni hii; hizi kesi zinazoibuka sasa hivi ndizo zinazoweza kuvuruga hata uongozi tutakaotaka tuwe nao baada ya uchaguzi mkuu ujao kwa pande zote mbili, kwa ubaya au kwa uzuri.
Ni rahisi sana kwa Magufuli kuzitumia kesi hizi na kuwahadaa wananchi aendelee kubaki madarakani, kwa huruma za wananchi, au kwa ujinga wao wa kutoelewa mambo yalivyo.
Sijui kama upinzani wanao uwezo wa kuzitumia kesi hizi kuonyesha ubovu alioufanya Magufuli, na wananchi hao wakawa na upeo wa kuelewa wanayoelezwa na kumwadhibu aliyevuruga mambo.
Swali ni je, wapinzani wakichukua uongozi wa nchi, watazifuta hizo sheria zinazolalamikiwa na hao wawekezaji? Watakuwa na ujasiri wa kuwaeleza wananchi juu ya hilo?
Pendekezo ambalo naweza kulitoa kuhusu kesi hizi - ili tusiendelee kuzongwazongwa na hawa wawekezaji, tukubali kwenda kwenye usuluhishi, na huko ndiko tutafute njia za kuwabana hawa.
Mengi ya makampuni haya hayajagundua chochote. Hayachimbi madini sehemu yoyote hapa nchini. Mikataba hii ina masharti yake na ukomo wake. Tuyaangalie masharti hayo na tujikite huko katika kuwabana wasituletee rabsha na kutupa sifa mbaya kama taifa zima.
Hawa wanadai vitalu kweli naona,walitaka kutuhujumu sasa tumeshtuka anaanza kufungua vikesi kesi watavimaliza wenyewe kwa wakati waoMKuu mbona unanikwepa?\kwani haw asi wanadai kupokonywa VITALU ?
Ndio hapoo ujiulize na kujijibu mwenyewe,wengine ni wakimbiziwanakujaje Zito na Tundu hapa?
Tukubalini ukweli,tunaendesha nchi kihoela
Una mihemuko ninayoisikia kwa akina Halima Mdee. Wewe ni halima, labda?
Sasa kama huwezi kuchimba mwenyewe hayo madini,utabaki nayo hadi mwaka gani ili unufaike nayo?Watahangaika sana walitaka waendelee kutunyonya na madini yetu sasa wanaona wanakuwa masikini wanatafta lingine,ila yote yatapita salama mbele ya jembe letu MAGUFULI
anatufaa sisi hakufai weweUmeapishwa kwa katiba na sheria hizo hizo, lakini baada ya kuapishwa unaanza kuzipuuza, hutufai kabisa
Of course, "kupeta kwa jembe" unakokusema kunafahamika kwa kuwatumia polisi na tume ya uchaguzi. Ni nani anahoji hilo kwa sasa?Hapo ndio unabugi,Serikali itabakia palepale hakuna cha huruma wala furaha,Jembe litapeta tu hata walete kesi gani,walitaka waendelee kutunyonya na kubeba madini burebure,wao wafungue tu kesi
Education is not for sale.Kweli mapenzi ni upofu, unalipwa?
Tundu Lisu alionya wakaishia kumnunulia bunduki na lisasi zaidi viungo vyake, wakamiminia lisasi lakini mungu alimkingia kifua akasema uatishi ungalie majibu ya maneno yake lisu.Nakumbuka Tundu Lissu alishauri njia sahihi za kuvunja mikataba zifuatwe; aliongelea sana hii kitu na akatahadharisha utaratibu sahihi usipozingatiwa nchi itashtakiwa. Naona yale yote aliyoongea yanaanza kutimia moja baada ya jingine. Kuna watu huko mbele ya safari watatakiwa kunyongwa ili iwe fundisho kwa wengine maana hasara waliyoliingiza taifa haina mfano. Yetu macho!
Hahaha yani wawakilishi wa makampuni ya nje, kule kwao ni omba omba, au wakimbizi au sijakuelewa?Hao wanaotaka kuitangaza Nchi yao vibaya wakiwa wakimbizi katika nchi za watu na ombaomba wataisoma namba,watafukuzwa hata uongozi wengine wamepewa huku ni wakimbizi
Mkuu zinapatikana mitandaoni. Kwenye websites za hayo makampuni au kwenye mahakama. Mahakama za huko hua zina websites na huweka kumbukumbu ya kila shitaka linalopelekwa huko kimtandao hivyo rahisi kupatikana na kusomwa.Hakimu Mfawidhi,
JAMANI HIZI CASES NINYI MNAZIPATA WAPI? MIE NIMEZITAFUTA ATA KWENYE GOOGLE LAKINI NAZIKOSA NAKUJA KUZIPATA BAADA YA YALE MADUBWASHA YAMESHAKAMATWA KULE CANADA
Last emperorPalamagamba alibadili Mikataba? Au alibadili Sheria?
-Kaveli-
Wizi wa rambirambi kibabe mchana kweupeeToa mfano mmoja tu wa dictatorship unayoiona
Sawa tu kwani Kesi Kitu Gani bwana. Tutapambana tu. Ni bora kesi kuliko madini yaliyokuwa yakiibiwa.Kampuni ziko nyingi tu zinafuata. Kuna mahala tulikosea, kubadili sheria na kufuta mikataba tuliyoingia huko nyuma bila kufuata utaratibu. Mikataba tuliingia wenyewe tena kwa kushangilia, wazee wa ndiyooo kila siku, sasa tumehsingia mkenge ndio tunashtuka kuivunja bila kufuata utaratibu.
Baadae tunaweza kuja kujikuta tuna mashitaka mengi sana kwenye mabaraza ya usuluhishi.
Mhhh, vikwazo kwa ajili ya nini. Kuinuka kiuchumi ni mapambanoNdio matokeo ya watu kutenda bila ya kufikiria. Tundu Lissu alisema haya lakini watu toka mtaa wa Lumumba wakamkejeli vilivyo. Ndio maana Mchungaji Peter Msigwa aliwaambia kuwa ccm wanachukua muda mrefu sana kuelewa vitu wanavyoambiwa kwa muda huo.
Asipobadilisha hizo sheria na akakaidi hukumu za arbitrators tusubiri vikwazo vya uchumi.