Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

kwa nini hawajakamata Watalii?
 
Wanakula usiku wa manane, asubuhi wanasikia njaa😂
 
Kwa hiyo kula chakula polisi ziwani mchana kweupe , pale,magereza mchana kweupe na nyuki mchana kweupe nk eneo la wazi ni kula sirini mwezi wa Ramadhani?
Watu wanakula na kunywa maeneo hayo ila huwez kuona mtu kakamatwa humo ndani.
 
Watu wanakula na kunywa maeneo hayo ila huwez kuona mtu kakamatwa humo ndani.
Kula nyumbani kwako huguswi. Wakiristo wa Zanzibar wanajifanya kama siasa za Chama tawala na upinzani kwamba nitafanya maandamano hufanyi. Dawa yao ni hiyo tu ukila hadharani
 
Inamaana ZNZ ni nchi kamili? masuala ya union matter inaanzaje kuyatolea matamko zuio na adhabu,au kampuni na watalii wote ni wa ndani?
 
Umenena vyema ndugu katika imani.
 
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Jirani kaamua kushinda na njaa kwa hiari yake,ila anataka na majirani tusile,hizi dini kuna namna tunapaswa kuwa nazo makini.HAWA DINI YAO hata wakibaki wao duniani bado watajitoa muhanga.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Wewe ni mjinga sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Imesimama njoo ukalie
 
Wewe wacha porojo znz wana sheria zao wana serikali yao wana katiba yao kula hadharani mchana wa Ramadhani znz ni kosa la jinai tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Mjinga ni wewe sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Hizo sheria ni kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar au kuruani?

Kama ni katiba nielimishe...

Kama mumezitoa kitabu kitakatifu nahitaji elimu pia...

Kama hamkuzitoa huko nataka kujua nyinyi ni waislam safi kuliko Saudia au Dubai?
 
Paragraph ya mwisho imemaliza mzizi wa fitna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…