mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Jamani jamani msirukie mambo tu! Hakuambiwa mtu yeyote yule afunge! awe muislamu, mkristo, baniani, pagani au mtalii akitaka kula na ale. Kilichokatazwa ni kula HADHARANI tu! Au wenzetu hamfahamu maana ya neno HADHARANI?