Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Huele
Funga ya waislam ni kutokula mchana,kwa hiyo wamechagua mchana ili kukabiliana na vishawishi sasa inakuwaje tena hawataki vishawishi?maana usiku ni kujiachia tu.
Hivi ndugu yangu ndivyo unavyofahamu maana ya funga ya ramadhani? Unadhani ni kutokula mchana tu na usiku watu wako huru kufanya maasi? Hatukuchagua na wala hatufungi kwa kukabiliana na vishawishi bali ni kujikaribisha zaidi kwa mola wetu. Kuna mambo mengi yanayobatilisha saumu na ambayo tunatakiwa kuyaepuka ikiwa pamoja na hivyo vishawishi unavyovifikiria wewe.
 
Back
Top Bottom