Dini ni Mfumo wa maisha ya binaadamu, dini yao inachangia sana mafanikio yao , akili ni uwezo wa kupambana na mazingira uliyopo siyo vyeti kama wengi mnavyoamini , its about priorities kama unataka kuajiriwa pambana sana na mfumo wa elimu na ufaulu ila wenye akili wengi hawapendi kuajiriwa na tangu mwanzo wa elimu huwa anajitahidi apate elimu ya kuweza kupambana ili amudu biashara zakeBila kuathiri mjadala wenu naomba kupinga hoja yako. Kuna waarabu ambao ndo matajiri unaowazungumzia. Utajiri wao hautokani na Imani yao. Na pia sio kipimo cha akili. Top ten za form four na form six zimejaa watu gani? Tuseme pia dini zao zinachangia? Form four Zanzibar matokeo hufananaje ikiwa dini zinachangia akili ya mtu?
Mwisho dini haina uhusiano unaotaka kutuaminisha.
Na mfumo wa maisha pia unaekekeza jinsi ya kufanya biashara na miiko ya biashara, jinsi ya kuoa, kurithisha na kadhalika ingawa binaadamu tuna tamaa zetu wale wanaoshika miiko ya biashara kama dini inavyotaka 99% wanafanikiwa
Ndio maana nimemwambia huyo aliyesema waislamu hawana akili nimemwambia wengi wana akili ndio maana wameweza kumudu mazingira yao vizuri kuliko yeye aliyekariri anasubiri kuajiriwa