Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Kamisheni ya Utalii Zanzibar imethibitisha kuipiga faini ya dola 500 kampuni ya utalii ya Organisateur Francophone Tours and Travel kwa kuruhusu watalii kula hadharani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan.

Katika taarifa Afisa wa Uhusiano wa Tume ya Utalii Zanzibar Mohamed Nassor Bajuni alisema kampuni hiyo ilikiuka miongozo na maagizo yaliyotolewa kwa wafanyabiashara wa utalii wakati huu wa mfungo wa Ramadhani.

''Toka kuanzishwa kwa kamisheni huo tunatoa notisi maalumu kwa kipindi cha mwezi wa Ramadhani kuhusiana na suala hili'' alisema Bw.

Muongoza watalii wa kampuni hiyo, Khamis M. Kahogo pia amezuiliwa kufanya shughuli zozote za utalii kwa muda wa miezi mitatu," aliongeza kusema.

Kamisheni hiyo imesisitiza umuhimu wa kufuata desturi na mila za visiwa vya Zanziba hasa wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.
RlP hell shujaa fake WA wanyonge...kwakujipatia 2015 mwenza kutoka Omani ili ujipatie Kula za wakina mama wajinga
 
Umelazimishwa kitu gani? Kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani na hiyo sheria ipo znz toka wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Na hii Sheria ipo tangu wakati wa ukoloni.
Ukikutwa na hatia jela mwaka moja.
Babayao Muingereza kama aliona hii ni sheria mbaya asingeiruhusu.
Lakini mpaka anakabidhi uhuru wa nchi ya Zanzibar hapo 10/12/1963 aliicha kama ilivyo.
 
Sio kweli mkuu jaribu kuweka utetezi na uhalali kwa yanayoendelea hapo znz .
Ni sawa kupiga mtu sababu amekula mchana ihali hajala usiku kama wewe
Kupiga watu hiyo sio sawa, siungi mkono maana haipo kisheria.
Sheria inataka mtu apelekwe mahakamani, akikutwa na hatia chuo cha mafunzo mvua (mwaka) moja.
 
Kupiga watu hiyo sio sawa, siungi mkono maana haipo kisheria.
Sheria inataka mtu apelekwe mahakamani, akikutwa na hatia chuo cha mafunzo mvua (mwaka) moja.
Apelekwe mahakamani kwa kula...
Umetumia kitu gani kwani kwenye kula daku mnakunywa na pombe???
 
Wanatafuta kihalali kwenye biashara zao bakhresaa akuibie nini weweckapuku? huku hao wengine ndio wanasubiri hela za umma wapeww kila mwezi na serikali ndio wajenge hizo shule na hospitali
Unajivunia utajiri wa mtu binafsi we kweli mavi
 
Kamisheni ya Utalii Zanzibar imethibitisha kuipiga faini ya dola 500 kampuni ya utalii ya Organisateur Francophone Tours and Travel kwa kuruhusu watalii kula hadharani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan.

Katika taarifa Afisa wa Uhusiano wa Tume ya Utalii Zanzibar Mohamed Nassor Bajuni alisema kampuni hiyo ilikiuka miongozo na maagizo yaliyotolewa kwa wafanyabiashara wa utalii wakati huu wa mfungo wa Ramadhani.

''Toka kuanzishwa kwa kamisheni huo tunatoa notisi maalumu kwa kipindi cha mwezi wa Ramadhani kuhusiana na suala hili'' alisema Bw.

Muongoza watalii wa kampuni hiyo, Khamis M. Kahogo pia amezuiliwa kufanya shughuli zozote za utalii kwa muda wa miezi mitatu," aliongeza kusema.

Kamisheni hiyo imesisitiza umuhimu wa kufuata desturi na mila za visiwa vya Zanziba hasa wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.
Naona shehe ubwabwa ume furahia kweli kweli hii taaarifa
 
Wakiristo
Naona shehe ubwabwa ume furahia kweli kweli hii taaarifa
Wewe kafiri ugali naona umekasirika. Mikwaju tu ukila mchana mbele ya watu. Ushindani fanyeni ktk siasa. Ukija swala la dini upuuzi unauacha pembeni. Mbona waislam hawakuungilini j2 au Jumamosi siku ya ibada kwenu na wao hawaendi kazini serekalini?
 
Kamisheni ya Utalii Zanzibar imethibitisha kuipiga faini ya dola 500 kampuni ya utalii ya Organisateur Francophone Tours and Travel kwa kuruhusu watalii kula hadharani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan.

Katika taarifa Afisa wa Uhusiano wa Tume ya Utalii Zanzibar Mohamed Nassor Bajuni alisema kampuni hiyo ilikiuka miongozo na maagizo yaliyotolewa kwa wafanyabiashara wa utalii wakati huu wa mfungo wa Ramadhani.

''Toka kuanzishwa kwa kamisheni huo tunatoa notisi maalumu kwa kipindi cha mwezi wa Ramadhani kuhusiana na suala hili'' alisema Bw.

Muongoza watalii wa kampuni hiyo, Khamis M. Kahogo pia amezuiliwa kufanya shughuli zozote za utalii kwa muda wa miezi mitatu," aliongeza kusema.

Kamisheni hiyo imesisitiza umuhimu wa kufuata desturi na mila za visiwa vya Zanziba hasa wakati huu wa mfungo wa Ramadhan.
Aisee hapo Unguja pameharibika.
 
Wakiristo
Wewe kafiri ugali naona umekasirika. Mikwaju tu ukila mchana mbele ya watu. Ushindani fanyeni ktk siasa. Ukija swala la dini upuuzi unauacha pembeni. Mbona waislam hawakuungilini j2 au Jumamosi siku ya ibada kwenu na wao hawaendi kazini serekalini?
Kweli we ndiyo kafiri sugu,hao wavaa kobaz ujinga wanaofanya unasapoti badala ya kuwakemea.
 

👆Na hawa Wazanzibari walioko Uarabuni wanaozuiwa kula Futari mpaka wenye Dini yao wafuturu Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaongeleaje?
 
zanzibar itoe angalizo kwa makampuni ya utalii kuwa wakati wa mwezi wa ramadhan watalii hawaruhusiwi kutembelea zanzibar
 
Wanajifanya wacha Mungu wakati zanzibar ndiyo inaongoza kwa ushoga hapa Africa Mashariki.
 
Ila ndio wanaowakimbiza nchi hii, nyie makafir unafki na chuki ndio unswasumbua hao unaowaita wajinga ndio wameshikilia uchumi wa nchi yako top 15 ya matajiri nchi hii kuna mkristo mmoja tu mzee mengi ambae naye baada ya kufa mali zote zimeanza kupotea sasa hapo nani mwenye akili?
Bila kuathiri mjadala wenu naomba kupinga hoja yako. Kuna waarabu ambao ndo matajiri unaowazungumzia. Utajiri wao hautokani na Imani yao. Na pia sio kipimo cha akili. Top ten za form four na form six zimejaa watu gani? Tuseme pia dini zao zinachangia? Form four Zanzibar matokeo hufananaje ikiwa dini zinachangia akili ya mtu?
Mwisho dini haina uhusiano unaotaka kutuaminisha.
 
Hivi kwa nini hawa watu hawataki kufuata sheria za wenzao?

Wewe umeenda nyumbani kwa mtu, kwa nini ugome kufuata sheria zake?

Mimi nashauri wanaokula mwezi wa ramadhani wanyongwe mpaka kufa.
Na wanaofunga London, Stockholm, St. Petersburg, China, India na Brazil wanyongwe pia?
 
Back
Top Bottom