Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Haihitaji degree kuliona hilo huyu mwamba wanataka kumnyang'anya tender ili waweke mtu wao ambaye watakula 1O% yao kila mgao ukitoka ku fund ujenzi.Kuna zengwe linapikwa hapo sio bure
MaCCM ni mbwa mwitu mwenzao akichafuka na damu wanamtafuna.
Hilo zengwe ni kubadili timu ya fisi tu 😁😁😁 kama walivyobadili kwenye ishu ya vichwa vya treni kwa kisingizio kuwa alieagizwa alishindwa kuvileta kwa wakati.
R.I.p Magufuli yani sahizi wataelewa kuwa waliokuwa wanamkwamisha ni wapiga madili.