Tetesi: Kampuni ya Yapi Merkezi kuchunguzwa kwa rushwa na kuingilia mambo ya ndani Tanzania

Tetesi: Kampuni ya Yapi Merkezi kuchunguzwa kwa rushwa na kuingilia mambo ya ndani Tanzania

Haihitaji degree kuliona hilo huyu mwamba wanataka kumnyang'anya tender ili waweke mtu wao ambaye watakula 1O% yao kila mgao ukitoka ku fund ujenzi.

Hilo zengwe ni kubadili timu ya fisi tu 😁😁😁 kama walivyobadili kwenye ishu ya vichwa vya treni kwa kisingizio kuwa alieagizwa alishindwa kuvileta kwa wakati.

R.I.p Magufuli yani sahizi wataelewa kuwa waliokuwa wanamkwamisha ni wapiga madili.
Nenda kazikwe nae huyo mungu wenu,
 
Alafu huyo huyo baada ya mwezi unamkuta samakisamaki Masaki.
mdau hii kitu umeitoa wapi
 
Wabunge waliopewa rushwa watakuwa wa 19 waliotengenezwa na CCM ili kuonesha wabunge wa Chadema si waaminifu.
Anaweza kuwa ni mbunge yeyote kwenye kundi. Bunge lililopo sasa hivi ni hovyo tupu. Waliingia kwa fogery ya Magufuli. Wengi ni watu wa hovyo ambao hawakutakiwa kuwa wabunge.
 
Msijitoe ufahamu hata Sisi tunajua Kila kitu. Nani aliwaleta hawa Waturuki kama siyo JPM na timu yake? Nani mtetezi mkubwa wa kampuni hii baada ya kulambishwa hadi anagombana na kumtishia Mbunge wa Sumbawanga Aeshi Hillary kama siyo Msukuma Kasheku wa Geita?
Washenzi sana hawa watu.
Wameharibu nchi na Ngosha wao halafu wamlaumu Mama
 
Kwenye malipo kwa sub yapi ni wasumbufu wanasavabisha watu kuwa na utitili wa kodi na pernaties za kutosha...
 
Mbali na tuhuma hizo kampuni hiyo pia inatajwa kuendelea kuipa Tanzania hasara ya mabilioni kutokana na ujenzi wa chini ya viwango katika baadhi ya maeneo.Eneo mojawapo ni kipande cha daraja la Nkurumah eneo la Kamata jijini Dar es Salaam ambapo kampuni hiyo iliamuriwa kuvunja na kuanza ujenzi upya baada ya kuonekana liko chini ya kiwango ikiwemo muonekana wa wazi wa nyufa kama inavyoonekana pichani!.[emoji2827]


 
Nilipata kuandika 2018 nikabezwa sana

 
Hii taarifa inakosa maadili yote ya uandishi wa habari. Huyu ni mtu anayetaka kuwasilisha maono yake binafsi, au ya wale waliomtuma. Taarifa haina source ila yeye mwenyewe. 'Vyombo vya Ulinzi' ni vipi hivi, Sungusungu? Halafu hesabu maneno haya: tuhuma, imeelezwa, zinaelezwa, vinatuhumiwa. Jina pekee lililopo ni la Mturuki, mtuhumiwa!
 
Magu ndio aliye wakataa Wachina kujenga SGR kwa bei nafuu na kwa ''ujuzi''wake akawapa hao Waturuki Kama ambavyo aliipa kampuni yake kujenga uwanja wa ndege Chato
Wachina CCECC walilipewa kipande Cha Isaka Mwanza, Ila Hadi Leo hamna kitu.

Na kuhusu unafuu sio kweli, wachina CCECC wamepewa tender pia mwaka huu mwezi wa nne ya kipande cha Tabora kigoma km 514, kaangalie gharama yao kwa hizo km pia ulinganishe na gharama za mradi wa Yapi kutoka dar Moro Dodoma km karibu 600.
 
Wachina CCECC walilipewa kipande Cha Isaka Mwanza, Ila Hadi Leo hamna kitu.
Na kuhusu unafuu sio kweli, wachina CCECC wamepewa tender pia mwaka huu mwezi wa nne ya kipande cha Tabora kigoma km 514, kaangalie gharama yao kwa hizo km pia ulinganishe na gharama za mradi wa Yapi kutoka dar Moro Dodoma km karibu 600.

..mturuki amechelewesha sana huu mradi.

..haiwezekani dar to moro ichukue miaka 5 na bado mradi haujakabidhiwa.

..mchina alijenga reli ya tazara, dsm to kapirimposhi, na akakabidhi mradi ndani ya miaka 5.

cc Proved
 
..mturuki amechelewesha sana huu mradi.

..haiwezekani dar to moro ichukue miaka 5 na bado mradi haujakabidhiwa.

..mchina alijenga reli ya tazara, dsm to kapirimposhi, na akakabidhi mradi ndani ya miaka 5.

cc Proved
Nilikuwa namjibu huyo aliyesema mchina ana Bei nafuu, ikiwa hajui mchina ndio ana Bei kubwa

Kuna sababu za kuchelewa, huu mradi unategemea donors. Sio kwamba pesa ipo tu bank. Hata bwawa linachelewa Kuna sababu zipo.

Aalafu huyo mchina nimekuambia kapewa kipande cha Isaka Mwanza. Kaangalie kinachoendelea.

Na hata hivyo kishapewa tena kipande kingine cha Tabora kigoma. Hivyo Kama unawapenda wachina Subiri watajenga tu wana vipande vingi na vikubwa tu
 
DINONGO Ungesema MAGUFULI wake ssh,Leo kumsaliti mwizi mwenzake ni janga , huyu mama usaliti anaofanya Hana tofauti na Halima Mdee and others
 
Back
Top Bottom