Haihitaji degree kuliona hilo huyu mwamba wanataka kumnyang'anya tender ili waweke mtu wao ambaye watakula 1O% yao kila mgao ukitoka ku fund ujenzi.Kuna zengwe linapikwa hapo sio bure
MaCCM ni mbwa mwitu mwenzao akichafuka na damu wanamtafuna.
Huu mradi unahujumiwa makusudi au ni mwendelezo wa Siasa tu ?Raia huyo wa Uturuki pia anatuhumiwa kuingilia siasa za ndani za Tanzania kwa kutoa rushwa kwa Wabunge mbalimbali kukwamisha miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia michango yao Bungeni.Bunge la Tanzania linatarajiwa kutoa taarifa baada ya uchunguzi huku baadhi ya Wabunge wakitaka raia huyo wa Uturuki kuondolewa nchini mara moja.
Huyo ananyang'anywa halafu analetwa mwengine wa tim ya akina Marope. Ndio lengo lao haswaaHuu mradi unahujumiwa makusudi au ni mwendelezo wa Siasa tu ?
Pascal Mayalla JokaKuu zitto junior Tindo
Yapi Merkezi wamejenga miradi kibao nchini Saudi Arabia, wamejenga metro mjini Dubai, wamejenga miundombinu mingi nchini Algeria, ni wajenzi wa miundombinu mingi sana kwao Uturuki.Msijitoe ufahamu hata Sisi tunajua Kila kitu. Nani aliwaleta hawa Waturuki kama siyo JPM na timu yake? Nani mtetezi mkubwa wa kampuni hii baada ya kulambishwa hadi anagombana na kumtishia Mbunge wa Sumbawanga Aeshi Hillary kama siyo Msukuma Kasheku wa Geita?
Miradi mikubwa na ya muhimu kwa uchumi, lakini viongozi wanaihujumu bila kujali kodi za watanzani zinapotea bure,Habari nzito hii kama taifa. Miradi mikubwa kama hii inatakiwa nchi ijitayarishe ktk kila nyanja.
Kuanzisha mradi kwa kustukiza kufuatia tamko, badala ya tamko hilo kujadiliwa kwa kina kuona vipi litatekelezwa, athari zake kiuchumi, athari yake kwa bajeti ya nchi, kimazingira, uwezo wa nchi kufanya usimamizi wa karibu wa utekelezeji n.k
Ndege zinaanguka zituapo uwanjani hapo ama zinateleza na kupitiliza kwenye mashamba ya watu!?Unajua Chato international airport ilijengwa na MAYANGA?
ππ Kwamba haujui favouritsm Ni one form of corruption sio?Ndege zinaanguka zituapo uwanjani hapo ama zinateleza na kupitiliza kwenye mashamba ya watu!?
Au sasa hivi wanaanikia mahindi kama uwaja wa mpira wa kikapu wa kule Lindi kiasi cha kusababisha mashindano ya ligi ya mpira wa kikapu kuharishwa (rejea kipindi cha michezo kilichorushwa jana usiku kupitia redio Tumaini inayotangaza kutoka Tabata -Dar es Salaam) ?
Hiyo kampuni aliileta magufuli wenuHuyu SSH ni janga na chawa wake TAKUKURU
Hii misukule ya jpm haina akili kweli,sijui hailishwi pumba sasaiviHuyo JPM wenu ndo alimleta huyo hebu ondoeni utaahira hapa nyie takataka zake.