Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

KISWELE NI SONGEA SIYO MBEYA,... alikuwa songea ligi na special sleeping coach. kabla ya Ruvuma tours line, Likungu, Tawaqal na hood, then Zainab na scand Chiku ...kilimanjaro...shabiby .. kabla ya Ufalme uliotukuka wa Mkinga Superfeo na selous
Wewe kama si wa Lizaboni, au Mateka basi wa Matalawe wewe...!!! ahahaha huwezi kutaja hivyo banaa...!!! Kwacha stendi ilikuwa kwa mama Sabena au sisi kwa sisi pale... Siku hizi soko la manzese
 
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua
UDA nayo umeisahau Route za Tegeta to K/koo
 
Kuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:

SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.
 
UDA nayo umeisahau Route za Tegeta to K/koo
Ikarusi - kumbakumba

2Q==.jpg
 
Kuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:

SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.
Saratoga kama naiona ofisi yao pale Ilala Dar kwa ruti ya Dar Kigoma
 
Back
Top Bottom