EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #81
wote chaliBinCleb Bus Service almaarufu BBS Songea to Dar ikishindana na Kiswele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote chaliBinCleb Bus Service almaarufu BBS Songea to Dar ikishindana na Kiswele
Bila shaka ushalewa mkuu 😀 😀Mkifika kwenye midege,mwewe mniambiee niseme nenoo
Wewe kama si wa Lizaboni, au Mateka basi wa Matalawe wewe...!!! ahahaha huwezi kutaja hivyo banaa...!!! Kwacha stendi ilikuwa kwa mama Sabena au sisi kwa sisi pale... Siku hizi soko la manzeseKISWELE NI SONGEA SIYO MBEYA,... alikuwa songea ligi na special sleeping coach. kabla ya Ruvuma tours line, Likungu, Tawaqal na hood, then Zainab na scand Chiku ...kilimanjaro...shabiby .. kabla ya Ufalme uliotukuka wa Mkinga Superfeo na selous
KWACHA TRANSPORT-IRScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Hii basi kuna jamaaa yangu alikuwa dereva alipata ajali maeneo ya Kabuku akapoteza maisha baada ya wiki kama mbiliBuffalo
Air Msae ilichinja pale chalinze MzeeMatema Beach
Kiswele
AirMsae.......hii nadhani mtaelewa
Igesa LineKWACHA TRANSPORT-IR
ZAINABU-IR
NAVALONGE-IR
FAT-DAR
IGESA -IR
COMFORT-IR
KamweneKWACHA TRANSPORT-IR
ZAINABU-IR
NAVALONGE-IR
FAT-DAR
IGESA -IR
COMFORT-IR
UDA nayo umeisahau Route za Tegeta to K/kooScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Ahahahahaha... Hivi Tanganyika Bus bado yupo?Bunda bus tunazeeka nae
Mohammed trans ni shinyanga Tena alikua na parking kubwa pale MaganzoYawezekana mkuu sina uhakika saana
Ahahaha umeona full list ya mabasi ya Iring... Mnoge yuve..!!??Kamwene
Ikarusi - kumbakumbaUDA nayo umeisahau Route za Tegeta to K/koo
Saratoga kama naiona ofisi yao pale Ilala Dar kwa ruti ya Dar KigomaKuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:
SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.
Bado yapo sana kwenye route ya Dar - KigomaKuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:
SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.