Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Duh...!.
Hoja za bandiko hili ni hoja za uongo mkubwa na za kubaini!.
1. Joni sio mtu muoga na asiejiamini kama unavyomuelezea hapa kumuonyeshea ni mtu muoga, hana confidence na anasumbuliwa na tatizo la insecurity ya kuogopa watu kitu ambacho sii kweli!.
2. Hussein hana mtandao wowote, ni mtu simple, humble and down to earth, anasimama mwenyewe with his own merits, hategemei mbeleko ya yeyote!
3. Kitu pekee ulichopatia kwenye bandiko hili ni Makame kwa sababu ni presidential material kama nilivyo muelezea hapa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
P
Makame yuko vizuri sana,jamaa anafaa sana kuongoza kizazi cha kidigitali
 
Hongera kwa kueleza hilo
Naunga mkono

Nilisikia kuwa hussein kagomea uwazir tangu march hivyo vikao vyote na wizaran haendi sikuhizi, nadhan zitakuwa na ukweli

Mpaka sasa joni anaoption nyingine ya act

Sina uhakika kama atapitishwa na Chama kwa sababu mbalimbali zikiwemo hizi zingine ambazo nawe pia umeziweka hadharani hapa Kwetu sasa.
 
Jifunze Kuheshimu Mawazo na hata Uwasilishaji wa Members wengine hapa Mtandaoni JamiiForums na acha Kujifanya kuwa Wewe ndiye Einstein au Brainiac wa Jamvi hili zima wakati Kiuhalisia Ukweli siyo huo na hauko hivyo na huenda pia hutobahatika kuwa hivyo. Unaposema Bandiko hili limejaa Hoja za Uwongo Wewe zako ziko wapi na Wewe ni nani mpaka uwe na uwezo wa Kuzithibitsha?

Acha kutaka Kuaminisha na Kuwaaminisha Watu ( Members ) hapa kuwa kile ambacho Wewe huwa unakiwakilisha hapa basi ndiyo Genuine katika katika Facts zake na kwamba Watu wengine wote hawana uwezo wa ama Kukuzidi au kwenda an extra mile na Mtazamo wako. Sijaanza Kukusoma leo japo huwa sishawishiki Kuchangia katika Mada zako kwakuwa huwa sioni kipya zaidi ya blah blah zako na Kujikweza Kwako Kwingi.

Mwisho kabisa hukuwa na haja ya Kuchangia halafu kuniwekea Mada zako na sijui ni kwanini umekuwa na hii tabia ambayo sioni haya ( aibu ) kuiita ya Kishamba. Kama unapenda Mada zako ziwe zinasomwa na uwe unasomwa sana ili Umaarufu wako unaoutaka hapa JamiiForums uzidi nakushauri omba kwa Uongozi wa JamiiForums uwe na Jukwaa lako liitwalo JF Pascal Mayalla Threads Only ili uridhike kwani Unaboa mno tu.

Nimemaliza.
Msingi Mkuu wa majadiliano humu jf ni kubishana kwa hoja, kwa hoja kujibiwa kwa hoja na au kupanguliwa kwa hoja na sio kwa viroja.

Umeleta hoja dhaifu kwa kuzijenga kwenye dhana ya uongo. Joni sote tunamfahamu jinsi alivyo jasiri na asiyeogopa mtu, leo unamsingizia uongo wa mchana kweupe kuwa Joni anamuogopa mtu!.

Nikija kwa Huseni, usikute wewe umemfahamia Hussein hapo ulipomfahamu, its very unfortunately unamtungia uongo wa kubebwa!. Kwa taarifa tuu, Hussein namfahamu kitambo, nimesoma nae Tambaza, wakati Hassan ni rais wa JMT!, hivyo nimesoma na mtoto wa rais and always was simple, humble and down to earth!. Hadi leo hadi kesho kuanzia baba yake Hassan hajawahi kuwa na mtandao wowote na hajawahi kumbeba mwanae Hussein. Hussein amefikia hapo alipofika on his own merits na sio kwasababu baba yake alikuwa rais, hivyo huo pia ni uongo na nimepangua hoja yako ya uongo with facts. Ukiitetea tetea with facts.

Mwisho huwa nitatumia references kwenye hoja zangu, kwa vile Watanzania walio wengi ni vilaza tuu kama ilivyo, japo sijui kiwango cha elimu yako hivyo sorry kukuita kilaza kwasababu tuna hadi watu wenye Ph.D lakini ni vilaza tuu!, mtu huwezi kuandika literacy level au kutoa hoja bila references, ukiona mtu hapendi kusoma reference kwenye hoja yoyote, huyo ni kilaza tuu!.
Hivyo ninapoweka zile references zangu, naziweka kwa ajili ya learned brothers and sisters wanaopenda kusoma hoja with reference facts na sio kwa ajili ya vilaza wasoma heading.

JF was meant for GT, lakini in reality ma GT wapo, ordinary people wapo, simple minds na vilaza pia wapo, JF ni ya wote,enjoy!
Good day.
P
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Kwa mbali naanza kupata mwanga. Lisemwalo lipo, Kama halipo laja. Wenyewe wanasema hawataki usultani.
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Kwa mbali naanza kupata mwanga. Lisemwalo lipo, Kama halipo laja. Wenyewe wanasema hawataki usultani.
 
Msingi Mkuu wa majadiliano humu jf ni kubishana kwa hoja, kwa hoja kujibiwa kwa hoja na au kupanguliwa kwa hoja na sio kwa viroja.

Umeleta hoja dhaifu kwa kuzijenga kwenye dhana ya uongo. Joni sote tunamfahamu jinsi alivyo jasiri na asiyeogopa mtu, leo unamsingizia uongo wa mchana kweupe kuwa Joni anamuogopa mtu!.

Nikija kwa Huseni, usikute wewe umemfahamia Hussein hapo ulipomfahamu, its very unfortunately unamtungia uongo wa kubebwa!. Kwa taarifa tuu, Hussein namfahamu kitambo, nimesoma nae Tambaza, wakati Hassan ni rais wa JMT!, hivyo nimesoma na mtoto wa rais and always was simple, humble and down to earth!. Hadi leo hadi kesho kuanzia baba yake Hassan hajawahi kuwa na mtandao wowote na hajawahi kumbeba mwanae Hussein. Hussein amefikia hapo alipofika on his own merits na sio kwasababu baba yake alikuwa rais, hivyo huo pia ni uongo na nimepangua hoja yako ya uongo with facts. Ukiitetea tetea with facts.

Mwisho huwa nitatumia references kwenye hoja zangu, kwa vile Watanzania walio wengi ni vilaza tuu kama ilivyo, japo sijui kiwango cha elimu yako hivyo sorry kukuita kilaza kwasababu tuna hadi watu wenye Ph.D lakini ni vilaza tuu!, mtu huwezi kuandika literacy level au kutoa hoja bila references, ukiona mtu hapendi kusoma reference kwenye hoja yoyote, huyo ni kilaza tuu!.
Hivyo ninapoweka zile references zangu, naziweka kwa ajili ya learned brothers and sisters wanaopenda kusoma literacy works na sio kwa ajili ya vilaza wasoma heading.

JF was ment was meant for GT, lakini in reality ma GT wapo, ordinary people wapo, simple minds na vilaza pia wapo, JF ni ya wote
Good day.
P
Unajua imemjibu Jo? Natania tu mjomba
 
John kaingia mjengoni 1995 wakati Husein kaingia mjengoni 2000.

2000 John alikuwa waziri kamili wakati Husein akiwa N/W Afya.

2005 ndipo Hussein akawa waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano huku John akiendelea kuwa Waziri wa Nyumba na maendeleo ya makazi.

Ni kumkosea heshima mtu ambae kaingia kwenye cabinet 2000 vs mtu aliengia kwenye cabinet 2005.

So far John kasha attain kuwa CIC kitu ambacho Hussein hana kwa sasa. Huwezi kusema John anamwogopa mwajiriwa wake na mtu ambae anategemea discretion ya CC na NEC ili kupeperusha bendera ya visiwani.

Tujipe muda; this time in July tutajua moshi wa kijani utamruzukia nani.

Kama Hussein atafanikiwa based on his merit itakuwa nzuri maana baadhi wanadai Prof. Makame hajawahi kushinda nafasi ya kuchaguliwa; japo sioni kama hiyo hoja ina mashiko sana.

Muda ni mwl mzuri na tuwatakie kila la kheri watakaochukua form; na tunawatakia kheri walio na mamlaka ya kuchekecha nani apenye na nani abaki.

Wasalaam
 
John kaingia mjengoni 1995 wakati Husein kaingia mjengoni 2000.

2000 John alikuwa waziri kamili wakati Husein akiwa N/W Afya.

2005 ndipo Hussein akawa waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano huku John akiendelea kuwa Waziri wa Nyumba na maendeleo ya makazi.

Ni kumkosea heshima mtu ambae kaingia kwenye cabinet 2000 vs mtu aliengia kwenye cabinet 2005.

So far John kasha attain kuwa CIC kitu ambacho Hussein hana kwa sasa. Huwezi kusema John anamwogopa mwajiriwa wake na mtu ambae anategemea discretion ya CC na NEC ili kupeperusha bendera ya visiwani.

Tujipe muda; this time in July tutajua moshi wa kijani utamruzukia nani.

Kama Hussein atafanikiwa based on his merit itakuwa nzuri maana baadhi wanadai Prof. Makame hajawahi kushinda nafasi ya kuchaguliwa; japo sioni kama hiyo hoja ina mashiko sana.

Muda ni mwl mzuri na tuwatakie kila la kheri watakaochukua form; na tunawatakia kheri walio na mamlaka ya kuchekecha nani apenye na nani abaki.

Wasalaam
Mkuu Freddie, huyu kilaza aliyeleta bandiko hili with no facts, hawezi kuupenda mchango wako huu full of facts!.
Anajenga hoja kwa uongo na uzushi, eti Joni ni muoga na anawaogopa watu?, hadi amuogope mtu fulani ambaye yeye ndie amemteua na kumtegemea kumpitisha kwenye vikao vya maamuzi!. Tangu lini Joni ni muoga labda awe ameanza leo!.

P
 
Msingi Mkuu wa majadiliano humu jf ni kubishana kwa hoja, kwa hoja kujibiwa kwa hoja na au kupanguliwa kwa hoja na sio kwa viroja.

Umeleta hoja dhaifu kwa kuzijenga kwenye dhana ya uongo. Joni sote tunamfahamu jinsi alivyo jasiri na asiyeogopa mtu, leo unamsingizia uongo wa mchana kweupe kuwa Joni anamuogopa mtu!.

Nikija kwa Huseni, usikute wewe umemfahamia Hussein hapo ulipomfahamu, its very unfortunately unamtungia uongo wa kubebwa!. Kwa taarifa tuu, Hussein namfahamu kitambo, nimesoma nae Tambaza, wakati Hassan ni rais wa JMT!, hivyo nimesoma na mtoto wa rais and always was simple, humble and down to earth!. Hadi leo hadi kesho kuanzia baba yake Hassan hajawahi kuwa na mtandao wowote na hajawahi kumbeba mwanae Hussein. Hussein amefikia hapo alipofika on his own merits na sio kwasababu baba yake alikuwa rais, hivyo huo pia ni uongo na nimepangua hoja yako ya uongo with facts. Ukiitetea tetea with facts.

Mwisho huwa nitatumia references kwenye hoja zangu, kwa vile Watanzania walio wengi ni vilaza tuu kama ilivyo, japo sijui kiwango cha elimu yako hivyo sorry kukuita kilaza kwasababu tuna hadi watu wenye Ph.D lakini ni vilaza tuu!, mtu huwezi kuandika literacy level au kutoa hoja bila references, ukiona mtu hapendi kusoma reference kwenye hoja yoyote, huyo ni kilaza tuu!.
Hivyo ninapoweka zile references zangu, naziweka kwa ajili ya learned brothers and sisters wanaopenda kusoma hoja with reference facts na sio kwa ajili ya vilaza wasoma heading.

JF was meant for GT, lakini in reality ma GT wapo, ordinary people wapo, simple minds na vilaza pia wapo, JF ni ya wote,enjoy!
Good day.
P

Sina Kiwango cha Elimu na sikubahatika Kusoma kama Wewe ila mbona Wewe Mwenzetu pamoja na Kujipendekeza kwa JPM hata Huteuliwi nae?
 
Mkuu Freddie, huyu kilaza aliyeleta bandiko hili with no facts, hawezi kuupenda mchango wako huu full of facts!.
Anajenga hoja kwa uongo na uzushi, eti Joni ni muoga na anawaogopa watu?, hadi amuogope mtu fulani ambaye yeye ndie amemteua na kumtegemea kumpitisha kwenye vikao vya maamuzi!. Tangu lini Joni ni muoga labda awe ameanza leo!.

P

Pamoja na Ukilaza wangu huu ila sihami hami Majengo ya Ofisi kwa Kushindwa Kulipa Kodi ya Kampuni yangu na Kujikomba hovyo tu kwa Wakuu.
 
Duh...!.
Hoja za bandiko hili ni hoja za uongo mkubwa na za kubaini!.
1. Joni sio mtu muoga na asiejiamini kama unavyomuelezea hapa kumuonyeshea ni mtu muoga, hana confidence na anasumbuliwa na tatizo la insecurity ya kuogopa watu kitu ambacho sii kweli!.
2. Hussein hana mtandao wowote, ni mtu simple, humble and down to earth, anasimama mwenyewe with his own merits, hategemei mbeleko ya yeyote!
3. Kitu pekee ulichopatia kwenye bandiko hili ni Makame kwa sababu ni presidential material kama nilivyo muelezea hapa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
P
Umezidi unafki na kujikomba Sana unavizia nafasi ya Abbas nn
 
Back
Top Bottom