n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Unabii umetimia. Wakati huo, ndio wakati huu wa leo. Research zimefanyika na kuonyesha kwa sasa wanawake ni wengi zaidi kuliko wanamume. Hivyo mwanaume mmoja, anaweza kuoa hata zaidi ya wake wanne.Nimeambatanisha hapo kusisitiza hoja, lakini pia manguli wengi wa bibliani hawakuwa na mke mmoja, sijui unatushauri vipi Mtakatifu Anne.View attachment 1595626
Mimi nilijua kuna awamu nyingine...walivyokuja kwetu wakaniammbia ndio nilishamaliza kila kitu...Kumbe!
Sasa Wewe chapom be kwanini ulitoa yote.?
Chapombe bwana[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilijua kuna awamu nyingine...walivyokuja kwetu wakaniammbia ndio nilishamaliza kila kitu...
Inapaswa kuwa asante kwa wazazi kumtunza binti "with her virginity", sio asante isiyokuwa na sababu.Ina maana na huwezi kuoa bila mahari mkuu.
Hata Sasa mahari ni Akhsante kwa wazazi
Usisikitike, si unajua kitu unabii! Unabii ni lazima utimie, na ndio mnautimiza ninyi, mnaomba muitwe kwa majina yetu na ndio mnajilipia...Inasikitisha Sana kuona baadhi ya wasichana wanajilipia mahari.
Nimeachaa...nakunywa kahawa tu siku hiziChapombe bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni tamaduni tu, mbona uhindini mwanamke ndio analipa mahari, mbona kwa weupe hakuna habari ya mahari? Sio swala la uanaume au uanamke ni tamaduni za kiafrika tu ambazo kwa sasa hatuoni mantiki yake kama ambavyo yapo mengine tunaona hayana mantiki.Mwanaume atabaki mwanaume na mwanamke atabaki kuwa mwanamke
Ukitaka kutolewa mahari basi badilika uwe wa kike ,,kitu ambacho hakiwezekani.
Asante isiyo na sababu?Inapaswa kuwa asante kwa wazazi kumtunza binti "with her virginity", sio asante isiyokuwa na sababu.
Bado hatujakata tamaa kiasi hichoUsisikitike, si unajua kitu unabii! Unabii ni lazima utimie, na ndio mnautimiza ninyi, mnaomba muitwe kwa majina yetu na ndio mnajilipia...
Kijana ndiye alilazimisha kuoa na wala si wazazi waliomlazimisha.Swala la mtu kuoa akiwa hana chochote inategemea na wazazi wake kuwa walihitaji kuwaona wajukuu wao wasife hawajawaone huwajwahi sikia kitu kama hichi, pia huwa wanawaambia tunachokula tutakula wote. nina wasiwasi hujakulia nyumbani kijijini kabisa nadhani haya ungeyaelewa kwa mapana zaidi na usingepata tabu kuweka hoja, ebu uliza experience ya nyumbani kwenu kwa ma bibi na mababu unakotoka huko. ukiwa mdogo kama umekulia kijijini umesoma hadi darasa la 7 au hadi form 4 haya sio mageni ni ya kawaida sana. Wameru huwa wanawapa mashamba wanao wanaanzia hapo maisha, sasa hayo mengine kama mwanamke alikuwa wa aina gani na alishindwa kusaidiana na huyo mwanaume kutafuta basi hapo ni kitu kingine, mwanamke pia alikuwa dhaifu kwann wasisaidiane kwenda kutafuta. kumbuka misingi ya kuona ni muhimu sana.
Sema ww kama ww huwezi kumpa mwanaume mahari, usiwasemee wengine maana misingi ya kukutana na huyo mwanaume wako ni taofauti kidogo, nazungumzia misingi unielewe hapo, wapo wengi walio pewa mahari na wake zao wameoa na wana watoto wana heshima na maisha yako vizuri hata huwezi jua. familia ina furaha. weka uzi ambao utakao waita waliowahi tolewa mahari na wake zao utaona watajibu wangapi na uwaombe wakupe experience ya maisha, unaweza ukajikuta ww ulikosea sana.
Mimi binafsi nilipewa pesa na mwanamke nikaenda kutoa mahari kwao, maisha yangu yalivyo huwezi amini, mkewangu akinipa maji anapiga magoni na tunaishi maisha mazuri sana tu ana adabu na heshima ni kubwa sana.
Upo likizo?Nimeachaa...nakunywa kahawa tu siku hizi
Kama hamuoni mantiki yake basi nendeni kwa wahindi wakawalipie mahari au nendeni kwa wazungu mkaoe bure.Ni tamaduni tu, mbona uhindini mwanamke ndio analipa mahari, mbona kwa weupe hakuna habari ya mahari? Sio swala la uanaume au uanamke ni tamaduni za kiafrika tu ambazo kwa sasa hatuoni mantiki yake kama ambavyo yapo mengine tunaona hayana mantiki.
Mimi nimetetea tu hoja niliyoamua kuisimamia, tunaandaa kikao cha kukacha kulipa mahari, tena kwa hawa watoto wetu ambao "wameshaolewa" kabla ya kuolewa.[emoji23][emoji23][emoji23]Kama hamuoni mantiki yake basi nendeni kwa wahindi wakawalipie mahari au nendeni kwa wazungu mkaoe bure.
[emoji1666]Sasa mkuu kumbe uliniuliza maswali ukiwa na majibu yako kichwani tayari!?!
Kulikuwa hakuna haja ya kuniuliza.
Hata hivyo,Mimi ni wa kike.
Ujinga zaidi ni wanaume kufungua zipu hovyo na kutegemea kuoa mabinti wasiotumika wakati Wao ndo watumiaji wakuu.
Lazima wavune walichopanda...mahari lazima zitolewe
Keshakusoma huyu povu lote limekata kama bia ilioflotiNimeambatanisha hapo kusisitiza hoja, lakini pia manguli wengi wa bibliani hawakuwa na mke mmoja, sijui unatushauri vipi Mtakatifu Anne.View attachment 1595626
Hehehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimetetea tu hoja niliyoamua kuisimamia, tunaandaa kikao cha kukacha kulipa mahari, tena kwa hawa watoto wetu ambao "wameshaolewa" kabla ya kuolewa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba!?!Inategemea NTU na NTU kwa wahuni URIE TU! Mahari ndefuuuu hawatoi.
Imeishaaaaaa πππππSijawahi kuona kwenye Biblia, mtu aliyelipa mahari ana mke mmoja.
Kwamba!?!