KANAKAMFUMU:UKWELI MCHUNGU KUHUSU YANGA

Tatizo ni kuendekeza ujinga tu usio na maana sasa yanga alikataa badge ya kampuni ambayo brand color yake ni nyekundu na TFF wakaacha huo ujinga ufanyike siku atakuja kufanya mwingine sababu fulani kafanya si tutakuwa tunaoneka wapumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mpira tu Yanga hakuna wanarukaruka tu uwanjani,kifupi hakuna timu pale
 
Umeacha kufuatilia mpira Wa nyumbani halafu hapa unaongelea habari za mpira Wa nyumbani!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewaambia ukweli. Simba lini imewahi kufika mbali? Hii nafasi waliyofika simba leo ya mafundi mbona Yanga wanafika? Simba wana mdomo I see

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa simbaa popote mnapokuwa kama ni mechi huwa sitakagi kukaa na nyie,dakika 2 hamchelewi kuanzisha vurugu. Sijui mnavuta baa..n.gi ya wapi? Sasa simba mnacheza mechi za kimataifa,lakini kutwa mnaiwazia Yanga,jamaniiii...!! Soka la Tanzania halitafika popote ndio maana hata Madagascar tulikuwa mbele yao lakini sasa wanatupita kama mshale. Ona ulivyolia hapo juu,msemaji wenu nae kutwa ni kulia lia kuhusu Yanga tu,mpaka wakawasahau Mashujaaaaaaaaa......!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga hawajawahi kuwa na akili timamu,mbeleko fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…