Hii dini ya Allah ni ngumu sanaTaarifa ya serikali ya pakistan
View attachment 2875107
Iran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya pakistan
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
Iran hawezi jibu sahiziIran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.
Naona mwaka huu tutashuhudia sana vita
Una maana gani?Namba 8 ni infinity
2+0+2+4= 8
Tumeumia
NamaanishaUna maana gani?
Ni kweli, mwaka umeanza vibaya. Kila mahali ni vita na umwagikaji wa damu. Mungu atusaidie.Namaanisha
Kila jambo litakalofanyika mwaka 2024 litakuwa kwa ukamilifu wake.
Kama amani basi itakuwa tele
Kama vita basi kutaumana kinoma noma