Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Hakuna aliyekufa ila huyu jamaa pichani ndo aliyepata majeraha


Iran ikiamua kuichapa Pakistan nawa akikishia ndani ya wiki tu Pakistan itachakazwa vibayae mno
View attachment 2875136
Mchambuzi kutoka moro kaskazini unachukulia vita kama kula chapati pakistani ipi inachukuliwa wiki moja?
 
Sema Pakistan wabishi, ngoja tusubiri response ya Iran.
Wametumia ndege, askari au ballistic missiles kufanya mashambulizi?
iran hana uwezo kumpiga pakistan, pakistan anaogopwa hadi na India ambayo ina nguvu nyingi. na pakistan ana nukes pia. iran pia anajua akiingia vitani na pakistani tu uingereza ambao wapo karibu sana na pakistan itashawishi magharibi kuingia kutoa msaada na iran itateketea.
 
Pakistan kwa sasa haina cha kupoteza na huwa inatafuta vijisababu vya vita endapo uchumi unaielemea. Huwa isipokuwa na hela ndio inaingia vitani kufanya distraction ya public na rally ya raia sababu wakiwa vitani wanaacha hata upinzani wanasitisha tofauti zao wanaunga mkono jeshi hivyo kiongozi anayekuwepo anakuwa na uhakika wa kusalia for the meantime.

Viongozi wakuu wote wa Pakistan ni majenerali, huwa hawana akili ya kung'amua mambo kisiasa na kidiplomasia. Nguvu nyingi, akili kidogo. Pakistan unaweza kuta mkuu wa mamlaka ya madawa na vifaatiba ni Major General mstaafu alafu jeshini alisomea mizinga hajui lolote kuhusu madawa.

Si vigumu Iran na Pakistan kupigana, wote wabishi na hawapendi kuonekana wanyonge. Na vita haiwezi kuwa rahisi pamoja na uchumi mbovu wa Pakistan, ni nchi inayojiandaa siku zote kupigana na India hivyo haiko kizembe kijeshi.
 
iran hana uwezo kumpiga pakistan, pakistan anaogopwa hadi na India ambayo ina nguvu nyingi. na pakistan ana nukes pia. iran pia anajua akiingia vitani na pakistani tu uingereza ambao wapo karibu sana na pakistan itashawishi magharibi kuingia kutoa msaada na iran itateketea.
Kama marekani inaiogopa Iran Pakistan anaweza kufanya nini?

Hivi ukitoa hayo mabomu ya nuclear Pakistan ana silaha gani ya kumtisha Iran?
 
India imewapiga Pakistan mara mbili, na India imefanya Bangladesh ijitenge kutoka Pakistan

Pakistan hawajawahi kufurukuta mbele ya India.
Lakini pia Pakistan aliishinda India na kufanikiwa kujitenga kutoka India.
 
Iran atapigwa na kitu kizito na hatojua shambulio kimetoka wapi.

Pakistan na Afghanistan ni ndugu na majirani. Kwa Sasa Afghanistan ni Taifa linaloongozwa na marekani. Looooding.,............
 
Pakistan kwa sasa haina cha kupoteza na huwa inatafuta vijisababu vya vita endapo uchumi unaielemea. Huwa isipokuwa na hela ndio inaingia vitani kufanya distraction ya public na rally ya raia sababu wakiwa vitani wanaacha hata upinzani wanasitisha tofauti zao wanaunga mkono jeshi hivyo kiongozi anayekuwepo anakuwa na uhakika wa kusalia for the meantime.

Viongozi wakuu wote wa Pakistan ni majenerali, huwa hawana akili ya kung'amua mambo kisiasa na kidiplomasia. Nguvu nyingi, akili kidogo. Pakistan unaweza kuta mkuu wa mamlaka ya madawa na vifaatiba ni Major General mstaafu alafu jeshini alisomea mizinga hajui lolote kuhusu madawa.

Si vigumu Iran na Pakistan kupigana, wote wabishi na hawapendi kuonekana wanyonge. Na vita haiwezi kuwa rahisi pamoja na uchumi mbovu wa Pakistan, ni nchi inayojiandaa siku zote kupigana na India hivyo haiko kizembe kijeshi.
Pakistan nayo ijue ikiingia vitani basi India itachukua nafasi hiyo kuimaliza kabisa.
 
Pakistan kwa sasa haina cha kupoteza na huwa inatafuta vijisababu vya vita endapo uchumi unaielemea. Huwa isipokuwa na hela ndio inaingia vitani kufanya distraction ya public na rally ya raia sababu wakiwa vitani wanaacha hata upinzani wanasitisha tofauti zao wanaunga mkono jeshi hivyo kiongozi anayekuwepo anakuwa na uhakika wa kusalia for the meantime.

Viongozi wakuu wote wa Pakistan ni majenerali, huwa hawana akili ya kung'amua mambo kisiasa na kidiplomasia. Nguvu nyingi, akili kidogo. Pakistan unaweza kuta mkuu wa mamlaka ya madawa na vifaatiba ni Major General mstaafu alafu jeshini alisomea mizinga hajui lolote kuhusu madawa.

Si vigumu Iran na Pakistan kupigana, wote wabishi na hawapendi kuonekana wanyonge. Na vita haiwezi kuwa rahisi pamoja na uchumi mbovu wa Pakistan, ni nchi inayojiandaa siku zote kupigana na India hivyo haiko kizembe kijeshi.
Pakistan ina silaha nyingi sana Tena sana ila wanajeshi wake wengi hawana uzoefu na vita si unaona pale Yemen majenerali walio ongoza vita dhidi ya waasi wa houth walikuwa wapakistani lakini bado mbinu zao hazikufua dafu mbele ya waasi wa houth
 
Iran awe mpole tu, hapo marekani hayupo mbali ni anamvizia muda mrefu sana.
Ila huu mwaka huu na mingine inayokuja, nadhani wemgi uvumilivu utawashinda, zitapigwa tu.
Hata india inaisubiri Pakistan ijichanganye achukue nafasi hiyo kuimaliza.
 
Back
Top Bottom