Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.

Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19

Nilisema Iran wasubiri majibu kutoka Pakistan, maana Pakistan siyo watu wa kusema watatafuta kupooza mambo sababu ya kidiplomasia wakati hawana faida na hiyo nchi na zaidi kisasi chao dhidi ya hiyo mchi kitamhakikishia marafiki na uungwaji mkono kutoka kwa washirika ambao mahusiano yao si ya kiaminiana kivile.
Kama kawaida wale wavaa vilemba wakaoinga huku wakimshangilia Iran wakimtosa Pakistan ambaye huko kwa Wapalestina walikuwa naye.
 
Pakistan nayo ijue ikiingia vitani basi India itachukua nafasi hiyo kuimaliza kabisa.
India hawezi chukua pakistan tena hata kama anauwezo wa kijeshi kitakacho isumbua india basi ni tofauti za kidini zitaitesa india zaidi
 
India hawezi chukua pakistan tena hata kama anauwezo wa kijeshi kitakacho isumbua india basi ni tofauti za kidini zitaitesa india zaidi
Sio kuichukua ni kuisambaratisha.
 
Lakini pia Pakistan aliishinda India na kufanikiwa kujitenga kutoka India.
Haikuwa hivyo broo, Muslims and Hindus walikuwa wakipigana na kuuana sana, British ndo ikaamua kuwe na partition na hata aliyechora line ya kutenganisha pakistan and india alikuwa ni british lawyer, Partition yaan Hindu majority India and Muslim only Pakistan.
But before that hindus ndo walikuwa wakiwaua muslims wengi.
 
Wenyewe hawamtaji yesu wakiuana. Nyie mnauana wenyewe kwa wenyewe lakini Allah Akbar allah akbar, duh unabaki kushangaa wtf!

KUMTAJA YESU WAKATI WANAMWAGANA DAMU HUKO UKRAINE NA RUSSIA INAONDOA JUSTIFICATION KUWA NI MUNGU WAO YESU NDIE ALIEWATUMA??

MAANA WANGEKUWA WAISLAM UNGESEMA ALLAH KAWATUMA,KAFIRI UNALO HILO...
 
Haikuwa hivyo broo, Muslims and Hindus walikuwa wakipigana na kuuana sana, British ndo ikaamua kuwe na partition na hata aliyechora line ya kutenganisha pakistan and india alikuwa ni british lawyer, Partition yaan Hindu majority India and Muslim only Pakistan.
But before that hindus ndo walikuwa wakiwaua muslims wengi.
Mbona sasa hivi hiyo India ina waisilamu wengi kuliko hata Pakistan?
 
Back
Top Bottom