Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Naona tabasamu la NATO kwa mbaaali huku wakianza kukumuta vumbi zana zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
North korea na south korea china na Taiwanyaaan sinachakusema India wamesogeza mzigo wa meliza kivita maeneo ha kati .marekan na UK nao huoo haoth..Pakistan nae kaja na Iran
Russia na Ukraine..Rwanda na Congo
yaan kabaki tz tu hawatafikahuku kamwe n Jesus name
Daaah! Nihakikishie kama nitapata bikira mzuri kama RihanaSalim.. ukibaki ktk ukiristo ukifa utapata tabu huko kaburini
Pakistan imepigana vita na India kuanzia 1947Pakistan ina silaha nyingi sana Tena sana ila wanajeshi wake wengi hawana uzoefu na vita si unaona pale Yemen majenerali walio ongoza vita dhidi ya waasi wa houth walikuwa wapakistani lakini bado mbinu zao hazikufua dafu mbele ya waasi wa houth
Teh teh! Allahu Akbar. Wale ma sheikh wa Arusha wamekata rufaa kwenye ile kesi ya ugaidi?SASA UTAWAWEZA VIPI??KWANI PAPA MJINGA HADI AWAPE RUKSA YA KUOANA WENYEWE KWA WENYEWE??MFANYE SODOMY???
TAFUTA BWANA RUKSA PAPA AMESHAKUPA TAYARI...TEH TEH TEH
India haina shida na kupigana na Pakistan. Mara zote unazoona wameingia vitani ujue Pakistan ndio huwa mchochezi na anapigwa.Pakistan nayo ijue ikiingia vitani basi India itachukua nafasi hiyo kuimaliza kabisa.
Hawajawahi kuwa nchi moja, lilikuwa koloni moja chini ya Uingereza na lililopata uhuru nchi mbili kwa pamoja. Na hawajawahi kupigana kujitenga.Lakini pia Pakistan aliishinda India na kufanikiwa kujitenga kutoka India.
Yes,naamini Yesu ni Mungu 100%hata weweSaint Anno II unakubali yesu ni mungu?
Nchi zisizojielewa kama congo au malawi tunapora tu. Isijeikawa na sisi tupo kwenye kundi la zisizojielewa.nashangaa Tanzania sijui huwa inalala kwanini tu! mpk Rwanda anachukua rasilimali sisi Taifa kubwa tupo tu.
Bila kuvamia Taifa jingine na kuiba ni ngumu kusonga mbele angalia US anachofanya.
Achatu ndugu sikuzamwisho hizi israel na gaza....mmhNorth korea na south korea china na Taiwan
Iran atapigwa achakae, Pakistan sio wanyongeIran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.
Naona mwaka huu tutashuhudia sana vita
HATA MANDELA ONCE UPON A TIME ALIITWA GAIDI NA WAZUNGU,JIULIZE WEWE KWANZA KABLA HUJANIULIZA MIMI.Ostadh, hivi ni kwa nini karibu kila gaidi ni mwisilamu?
Embu tufundishe mkuu
Kwani hukuona jinsi Joshua alivyo uwawa kikatili?Nimeuliza kwa upole Tu, huu ukali wote WA nini? Mimi sio mdini na wala dini haijawahi kuwa kipaumbele changu
Mayatollah hawajali, wakiendelea na ujinga wao watapigana na kuishia kuwa majuvu wote.Niliposema Iran Kuna kitu anatafuta Kuna baadhi ya watu walimtetea, Pakistan so tu ana uwezo mkubwa Bali pia anamiliki nyuklia atawafanya Iran abaki kwenye historian ya dunia kuwa ilikuwepi.