Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

yaaan sinachakusema India wamesogeza mzigo wa meliza kivita maeneo ha kati .marekan na UK nao huoo haoth..Pakistan nae kaja na Iran
Russia na Ukraine..Rwanda na Congo
yaan kabaki tz tu hawatafikahuku kamwe n Jesus name
 
yaaan sinachakusema India wamesogeza mzigo wa meliza kivita maeneo ha kati .marekan na UK nao huoo haoth..Pakistan nae kaja na Iran
Russia na Ukraine..Rwanda na Congo
yaan kabaki tz tu hawatafikahuku kamwe n Jesus name
North korea na south korea china na Taiwan
 
Pakistan ina silaha nyingi sana Tena sana ila wanajeshi wake wengi hawana uzoefu na vita si unaona pale Yemen majenerali walio ongoza vita dhidi ya waasi wa houth walikuwa wapakistani lakini bado mbinu zao hazikufua dafu mbele ya waasi wa houth
Pakistan imepigana vita na India kuanzia 1947
1965
1971
1999
Unasemaje haina uzoefu?

Ukiachana na Iran kupigana na Iraq iliwahi pigana na nani tena. Unaipimaje Iran na kudai ina uzoefu?
 
SASA UTAWAWEZA VIPI??KWANI PAPA MJINGA HADI AWAPE RUKSA YA KUOANA WENYEWE KWA WENYEWE??MFANYE SODOMY???

TAFUTA BWANA RUKSA PAPA AMESHAKUPA TAYARI...TEH TEH TEH
Teh teh! Allahu Akbar. Wale ma sheikh wa Arusha wamekata rufaa kwenye ile kesi ya ugaidi?
 
Pakistan nayo ijue ikiingia vitani basi India itachukua nafasi hiyo kuimaliza kabisa.
India haina shida na kupigana na Pakistan. Mara zote unazoona wameingia vitani ujue Pakistan ndio huwa mchochezi na anapigwa.

India viongozi wake sio wa kijeshi, haijawahi ongozwa kijeshi na jeshi lao halina influence kubwa kisiasa. Pakistan ni oyaoya majenerali wakijidanganya wanaweza basi wakaanzisha vita. Na sijawahi ona vita inayoanzishwa na wanajeshi inaleta ushindi
 
Kwa hapa Iran inabidi awe mpole asiendelee kuchokozana na Pakstan! Vinginevyo hapa itajikuta inapigwa na Israel na US kutokea Pakstan.
 
hata weweSaint Anno II unakubali yesu ni mungu?
Yes,naamini Yesu ni Mungu 100%

As for me,nilikuwa nadhani kikubwa kila mtu a-stick kwa kile amefundishwa alimradi kwa kukiamini kinamsaidia au ana manufaa nacho or whatever,sasa tukisema tuanze kufundishana hapa kwanini Yesu siyo Mungu au ni Mungu na umri huu tulio nao itakuwa ni kupoteza muda.

Turudi kwenye mada mezani!
 
Ostadh, hivi ni kwa nini karibu kila gaidi ni mwisilamu?
Embu tufundishe mkuu
HATA MANDELA ONCE UPON A TIME ALIITWA GAIDI NA WAZUNGU,JIULIZE WEWE KWANZA KABLA HUJANIULIZA MIMI.

WAISRAEL WAKILIPUA WATU WASIO NA HATIA WAZEE NA WATOTO HUKO GAZA NI TAIFA LA MUNGU,WAARABU WAKILIPUA MAREKANI NA WENGINE HUWA WANAITWA MAGAIDI...TUMIA AKILI ZAKO TUH
 
Back
Top Bottom