Kamanda ameuliwa na kundi la washika silaha la Pakistan hajauliwa na serikali ya Pakistan kwa jeshi lake.Sema Pakistan wabishi, ngoja tusubiri response ya Iran.
Wametumia ndege, askari au ballistic missiles kufanya mashambulizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda ameuliwa na kundi la washika silaha la Pakistan hajauliwa na serikali ya Pakistan kwa jeshi lake.Sema Pakistan wabishi, ngoja tusubiri response ya Iran.
Wametumia ndege, askari au ballistic missiles kufanya mashambulizi?
Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
Yes India ina takriban 200 million Muslims, hio ni kwasababu kuna wengine waliamua kubaki India baada ya partition, wapo wengi na wanazidi kuongezeka kwasababu hali ya maisha ya India, hakuna sababu nyingine.Mbona sasa hivi hiyo India ina waisilamu wengi kuliko hata Pakistan?
Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
Mbona hii habari inasema waliolengwa ni terrorist group mwenzenu anadai Pakistan imeishambulia Iran kulipiza kisasi??Taarifa ya serikali ya pakistan
View attachment 2875107
Ila limefanywa kwenye ardhi ya nchi gani?Embu soma habari hiyo.
Hilo shambulio wala sio la kulipiza kisasi acheni kupotosha habari.
Waliolengwa sio Iran wala jeshi lake.
Na shambulio limefanyika mipakani kama Iran alivyofanya mipakani siku zilizopita.
Pakistan hana uwezo wa kuiangusha Iran.Iran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.
Naona mwaka huu tutashuhudia sana vita
Lengo la shambulio ni nini??Ila limefanywa kwenye ardhi ya nchi gani?
Kila shambulio linalofanywa na nchi fulani lazima waweke na madai yao hasa mambo ya ugaidi nitajie mashambulizi ya Turkey Iran USA n.k yanayofanywa Iraq na syria wanataja sababu ni nini.Mbona hii habari inasema waliolengwa ni terrorist group mwenzenu anadai Pakistan imeishambulia Iran kulipiza kisasi??
Sidhani km india itaingia mazima mazima.Hata india inaisubiri Pakistan ijichanganye achukue nafasi hiyo kuimaliza.
Naongelea support ya US na washirika wake. US atakuwa kapata taifa la kutumia kupigana na Iran kama ikigeuka kuwa total warPakistan hana uwezo wa kuiangusha Iran.
Kashmir tu imemshinda kuikomboa kwa India ataweza shindana na Iran??
Iran ndio taifa lenye great missile power hapo middle east.
Pamelengwa wapi???Kila shambulio linalofanywa na nchi fulani lazima waweke na madai yao hasa mambo ya ugaidi nitajie mashambulizi ya Turkey Iran USA n.k yanayofanywa Iraq na syria wanataja sababu ni nini.
hv Pakistan unawajua ? hv unahis Pakistan ni level za Ukraine ?Hakuna aliyekufa ila huyu jamaa pichani ndo aliyepata majeraha
Iran ikiamua kuichapa Pakistan nawa akikishia ndani ya wiki tu Pakistan itachakazwa vibayae mno
View attachment 2875136
Hapo hapo wataleban wanamtanga mpakistan kwenye mipaka yake kila siku ,,na wahindi nao wanamlia timing Pakistan, Pakistan ataumiaTaarifa ya serikali ya pakistan
View attachment 2875107
Mwaka wa kuwafanya dealers na watengeneza silaha kuwa mabilioneahuuu mwakaaa tutaona mengi wauza silahaa kazikwenu
PKK wao wanajiona kama sio magaidi same to hamas iran inawaona wapigania uhuru USA na Israel wanaona magaidi ko kuitwa gaidi na sio gaidi ni mtazamo wa mtu na mtuPamelengwa wapi???
Tuzungumzie habari ya Iran kwanza.
Haikulengwa kambi ya kijeshi ya Iran.
Palipolengwa ni makazi ya mpakani ya Iran.
Na shambulio limetokea baada ya hao magaidi kumuua huyo Colonel.
Turkiye inafanyaga mashambulizi Syria na huwa hawadanganyi wanawalenga PKK group na ushahidi upo.
Kwa USA hapo ni another case.
Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
Pakistan ubavu anao ila sio wa kutunishiana misuli na Iran.hv Pakistan unawajua ? hv unahis Pakistan ni level za Ukraine ?
Na hao wauza silaha ndio wanao tuangamiza kwakweli, Ukiangalia kule Sudani wana silaha mpya kabisa na nizanguvu sana hapo sasa ndipo utakapoona wakubwa wanajua kutuchanganya na kutukaanga kwa mafuta yetu weneyewe.huuu mwakaaa tutaona mengi wauza silahaa kazikwenu