Umesahau jinsi wahindi walivyo na chuki na Pakistani au ?Iran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.
Naona mwaka huu tutashuhudia sana vita
Umewasahau watalebani ambavyo wanauhasama na wapakistan kwenye mipaka yao ?