Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Walichokuwa wanapigania Iran vs Iraq ndio walikuwa wanapigania India vs Pakistan.

Vita zilizohusisha submarine operations na aircraft carrier ndio unaita border clashes. Vita ya India na Pakistan ilikuwa na ujazo wote wa kivita tena ilipiganwa kisasa, vita ya Iran na Iraq ilipiganwa kimaangamizi kufyatua makombora mijini na kutumia gesi za sumu, si kwamba hivyo vitu India na Pakistan walikuwa hawawezi ila tu walijizuia.
Vita za India na Pakistan nyingi zilikua za mitutu na Mizinga na mashambulio ya anga kwa kiasi.
Border clash unahusishaje submarine embu usinichote broh.
Na vita zao hawa jamaa zilikua za kupumzika mnaviziana mnapumzika.
Iran Vs Iraq ilikua vita ilohusisha ndege vita,mizinga,makombora ,maroketi na vifaru ilifikia hatua mpaka mmoja wapo aliishiwa silaha na kufadhiliwa na USA
Na vita haikusimama ilipiganwa 8 years consecutively.
Usifananishe hizo vita aisee.
Syria pia IRGC ina operate kumbakisha Assad madarakani IRGC hao hao wafadhili wa washika silaha tata hapo middle east Hizbollah na Houthi .
Huwezi fananisha jeshi la Iran na la Pakistan kuwa serious bro.
 
India haihawahi kuishinda Pakistan maana ugomvi wao ni Kashmir ambapo kila nchi inalimiliki nusu na ndoto ya kila mmoja ni siku moja alimiliki jimbo hilo peke yake, kama India amekuwa akiishinda Pakistan basi angekuwa amesha muondoa kwenye hilo jimbo na kulimiliki yeye.
Kinacho tokeaga ni mapigano ya hapa na pale mipakani na sio vita kamili.

India na Pakistan ni maadui wakubwa hivyo ni razima India achukue advantage hiyo kumdhohofisha japo hataingia moja kwa moja vitani kama ambavyo nchi za magharibi zinafanya kwa Urusi huko Ukraine ,hata Iran akiingia vitani na Pakistan ni razima maadui zake watumie hiyo advantage kumdhohofisha wakiongozwa na Marekani, Israel na Saudia japo hawataishambulia moja kwa moja na hilo Iran analijua.
Dunia ya sasa ni kuviziana hivyo hivyo kwa kwenda mbele.

Kiufupi Iran na Pakistan wote hakuna mwenye hamu na vita dhidi ya mwenzake , Iran ilifanya shambulizi dhidi ya Pakistan baada ya kuishiwa na uvumilivu maana Iran imesha ionya sana na kwa miaka mingi Pakistan iache kulea makundi ambayo yamekuwa changamoto kwa usalama wa Iran lakini Pakistan haijali wala nn.

Na sijawahi kujua Pakistan huwa anapata faida gani kuyalea haya makundi maana hata Afghanistan, Uturuki na India wamekuwa wakiilalamikia Pakistan kulea makundi ambayo yanahatarisha usalama wa nchi zao hali ya kuwa uwezo wa kuya dhibiti wanao.
Hata Marekani ilisha ilalamikia sana Pakistan kwa kuyadhamini makundi yaliyo kuwa yanawauwa wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan licha ya kuwa Marekani anaipa Pakistan msaada wa kijeshi.
Unacholalamika kwa Pakistan kulea magaidi ndicho kilekile Marekani ililalamikia Afghanistan ya Taleban kulea magaidi. Tofauti ni kwamba Marekani iliamua kuingia kuwakalia wakati hizo nchi nyingine haziwezi kuingia kwa Pakistan.

Ni sawasawa pia na Turkey kuishutumu Syria kulea waasi wa Kikurdi. Ni sawa na Israel kuishutumu Lebanon kuwalea Hezbollah na Gaza kuwalea Hamas.

Ukikubali kinachofanywa dhidi ya Pakistan pia kubali kinachofanywa kwingineko.
 
Sasa mkuu unachekesha sana rasilimali mlizo nazo hapa nchini hamuwezi kuzilinda zinaporwa tena bila bunduki ndo mtaweza kwenda kupora za nchi nyingine?
kila mnyonge na mnyoge wake.
 
Kwann baada ya shambulio la Iran ndani ya Pakistan serikali ya Pakistan ililaani hilo shambulio na ikamwita balozi wake kurudi Pakistani na pia ikawatimua raia wa Irani waliokuwa njiani kurejea Pakistani?
Bila shaka huwezi fanya operation ya kijeshi pasi na kuhusisha mamlaka husika.
Lazima hatua za kidiplomasia zichukuliwe.
Hata Turkiye anapoenda kuwawinda PKK huwa anatoa taarifa Damascus.
 
Vita alizopigana Pakistan ni ndogo tuseme ni small border clash with India.
Na ya 2018 alipigwa na India.
Iran kapigana FULL SCALE WAR kwa miaka nane dhidi ya Iraq ya Saddam hussein ilokua ikisaidiwa na USA.
Huwez fananisha na border clash alizopigana Pakistan ni za kitoto sana.
Iran hakupigwa hiyo vita sababu kuu mbili.

1. Serikali ya Iran ilikuwa ina silaha nyingi za Kimarekani na Israel hasa Airforce.
2. Pili hii ni moja ya vita ambayo ilikuwa na alliances za kipekee
Upande wa Iran

Syria
Libya
North Korea
Bulgaria
Poland, Yugoslavia,
East Germany,
China
Switzerland
Argentina
United States ,
Israel

 
Unacholalamika kwa Pakistan kulea magaidi ndicho kilekile Marekani ililalamikia Afghanistan ya Taleban kulea magaidi. Tofauti ni kwamba Marekani iliamua kuingia kuwakalia wakati hizo nchi nyingine haziwezi kuingia kwa Pakistan.

Ni sawasawa pia na Turkey kuishutumu Syria kulea waasi wa Kikurdi. Ni sawa na Israel kuishutumu Lebanon kuwalea Hezbollah na Gaza kuwalea Hamas.

Ukikubali kinachofanywa dhidi ya Pakistan pia kubali kinachofanywa kwingineko.
Lebanon haiilei Hizbollah bali inaitegemea kiulinzi na hizbollah inatambulika nini inafanya toka 2000.
Hamas kilikua chama cha siasa kabla hakijaamua kushika silaha.
Na ndicho kilichopigiwa kura kuiongoza Gaza
Hayo makundi ya Pakistan unayaelewa lengo lake nini na yanatetea nini?
Taliban ilikua ikiiongoza Afghanistan miaka 20+ kabla US hajatia mguu pale.
 
Hawa hawafai kuunda taifa wataleta sana machafuko hawa jamaa.
Ni wabishi sana hao , unajua hata hiyo pkk ya Wakurdi ,miongoni mwa waanzilishi wake
na wapiganaji ni wanawake
Na ni wabishi haswa , kuna vita ya Kati ya ISIS na hawa Wakurdi pale Syria ilisaidia sana kuwatokomeza ISIS , ni wapambanaji na wabishi mno , ndio Maana Saadam na ubabe wake alisumbuka nao sana ,akaamua kuanza kuwaua kama siafu ,aliwashambulia na kuwaua kikatili sana kule Iraq enzi za baath party na wale watoto wake wawili
 
Sema Pakistan wabishi, ngoja tusubiri response ya Iran.
Wametumia ndege, askari au ballistic missiles kufanya mashambulizi?

Hapa wale wenye misimamo mikali hawana pa kusimamia. Maana mambo bulibuli..wanatoana roho wakimsifu Mwenyezi Mungu, kama ilivyomkuwa Iraq na Iran.
Jamani vita ni mali ya shetani. Tusijidanganye kuwa vita ina msaada
 
Vita za India na Pakistan nyingi zilikua za mitutu na Mizinga na mashambulio ya anga kwa kiasi.
Border clash unahusishaje submarine embu usinichote broh.
Na vita zao hawa jamaa zilikua za kupumzika mnaviziana mnapumzika.
Iran Vs Iraq ilikua vita ilohusisha ndege vita,mizinga,makombora ,maroketi na vifaru ilifikia hatua mpaka mmoja wapo aliishiwa silaha na kufadhiliwa na USA
Na vita haikusimama ilipiganwa 8 years consecutively.
Usifananishe hizo vita aisee.
Syria pia IRGC ina operate kumbakisha Assad madarakani IRGC hao hao wafadhili wa washika silaha tata hapo middle east Hizbollah na Houthi .
Huwezi fananisha jeshi la Iran na la Pakistan kuwa serious bro.
Bado unatafuta justification ya kudai Pakistan hawana uzoefu na vita? Kwamba Iran iliyopigana mara ya mwisho mwaka 1985 ina uzoefu mpaka leo ila Pakistan iliyoingia state of war mara kadhaa haina uzoefu.

Iran hawajawahi kutana na aircraft carriers wala submarines kwenye vita, vitu ambavyo Pakistan inakutana navyo kwenye naval blockade za India.

India na Pakistan zinaogopana, ni kama India na China. Iran na Iraq zilidharauliana ndio maana zilikuwa zinapigana kama dunia imeisha, sasa unategemea India na Pakistan wapigane hivyo wakati currently wana nukes.

Pakistan imeshambulia tena Iran jana, waite Iran wajibu ndio utajua kama Pakistan wana uzoefu au hawana.
 
Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.

Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19

Pakistan wapo mfukoni mwa Saudi Arabia na USA, chochote watachokiamuru hao mabwana wakubwa Pakistan haitofikiri mara mbili.

Pakistan hawakupigwa wao, waliopigwa ni kikundi cha ugaidi kisichoitakia mema serikali ya Iran, na ni baada ya diplomasia kubwa sana kupita.

Jana nilikuwa namsikiliza Waziri wa Mambo ya nje wa Iran anahojiwa huko Davos, kasema wazi kuwa hata kabla ya mashambulio waliwasiliana na Pakistan na kuwafahamisha.

Iran ilitumia "precision bombs" kama ilizotumia kutandika kituo cha Mossad huko Erbil, Kurdistan na kuwachapa ISIs huko Syria.

Walichofanya Iran ni kuonesha kuwa wanayo intelijenssia na wameshambulia vikundi vya Kigaidi.

Mengine yote ni propaganda za Wamarekani, Wasaudi na ndugu zao mazayuni.
 
Vita sikuhizi zinaenda kwa mwendo wa proxies , Una lea makundi hasimu wa adui yako kama mtaji wa kujilinda na kukichafua dhidi ya adui yako kwa maslahi yako
Ndio ulimwengu wa vita uko hivi siku hizi
 
Iran hakupigwa hiyo vita sababu kuu mbili.

1. Serikali ya Iran ilikuwa ina silaha nyingi za Kimarekani na Israel hasa Airforce.
2. Pili hii ni moja ya vita ambayo ilikuwa na alliances za kipekee
Upande wa Iran

Syria
Libya
North Korea
Bulgaria
Poland, Yugoslavia,
East Germany,
China
Switzerland
Argentina
United States ,
Israel

Link ulonitumia hapo kumeonesha support ya ammunitions tu.
Tena wengi wakimuuzia Iran sio kumpa.
Wala sio support ya millitary personnel.
Pia ukumbuke jeshi la Iran lilikua bado halijawa stable maana ndio kwanza lilitoka kufanya mapinduzi.
 
Lebanon haiilei Hizbollah bali inaitegemea kiulinzi na hizbollah inatambulika nini inafanya toka 2000.
Hamas kilikua chama cha siasa kabla hakijaamua kushika silaha.
Na ndicho kilichopigiwa kura kuiongoza Gaza
Hayo makundi ya Pakistan unayaelewa lengo lake nini na yanatetea nini?
Taliban ilikua ikiiongoza Afghanistan miaka 20+ kabla US hajatia mguu pale.
Hata IRGC ni jeshi ndani ya Iran, na limefanya mashambulizi kwa Iraq na Pakistan.
Kama lina justification ya kushambulia ardhi ya nchi nyingine na mnakubali, kwanini mnakataa justification ya Israel kushambulia wanaoishambulia waliopo nchi nyinginezo?

Kwanini Iran kushambulia inaoita magaidi iungwe mkono, ila Israel kushambulia inaoita magaidi ilalamikiwe.
 
Lebanon haiilei Hizbollah bali inaitegemea kiulinzi na hizbollah inatambulika nini inafanya toka 2000.
Hamas kilikua chama cha siasa kabla hakijaamua kushika silaha.
Na ndicho kilichopigiwa kura kuiongoza Gaza
Hayo makundi ya Pakistan unayaelewa lengo lake nini na yanatetea nini?
Taliban ilikua ikiiongoza Afghanistan miaka 20+ kabla US hajatia mguu pale.
Hizbollah ni zao la Iran na wameiharibu kabisa Lebanon. Lebanon kwa sasa ni sehemu hatari sana ya kuishi. Ustaarabu wao umepotea mazima sababu ya kukaribisha wapalestina ambao kwao lengo bado ni kupigana na Israel.
Na vita haina macho. Inaharibu vitu vyote, mpaka culture ya watu mahalia
 
huuu mwakaaa tutaona mengi wauza silahaa kazikwenu
Huko USA order zimejaa ukiagiza Himars au Javellin Leo unaipata baada ya miaka 2-3. Imebidi Lockeed Martin waongeze uzalishaji, kupanua na kuongeza plants mpya za kufyatulia silaha.
 
Pakistan ilikuwa lazima ijibu ili kuzuia tukio kama hilo kujirudia siku zijazo kama ambavyo Iran hufanya inavyojisikia kule Syria na Iraq.

Pakistan nae ni regional power maana wana nyuklia alafu ni taifa la kiislamu la Kisuni, hawawezi kukubali kuchezewa na Iran Washia.

T14 Armata
Pakistan na Iran wanafanana tabia. India ina jeshi kubwa kuizidi Iran ila iliposhambulia magaidi waliolipua bomu kuua wanajeshi wa India na kukimbilia kambi yao deep within Pakistan. India iliwashambulia kwa fighter jets.

Pamoja na kwamba India ina nukes na jeshi kubwa, Pakistan walijibu mashambulizi haraka kwa kutumia ndege na kwenye mgogoro huo ndege moja ya India ilidunguliwa. Sasa ndio waiogope Iran kisa ballistic missiles na drones, kwani nani hana. Na wakati wao wana nuclear weapons.
 
Bado unatafuta justification ya kudai Pakistan hawana uzoefu na vita? Kwamba Iran iliyopigana mara ya mwisho mwaka 1985 ina uzoefu mpaka leo ila Pakistan iliyoingia state of war mara kadhaa haina uzoefu.

Iran hawajawahi kutana na aircraft carriers wala submarines kwenye vita, vitu ambavyo Pakistan inakutana navyo kwenye naval blockade za India.

India na Pakistan zinaogopana, ni kama India na China. Iran na Iraq zilidharauliana ndio maana zilikuwa zinapigana kama dunia imeisha, sasa unategemea India na Pakistan wapigane hivyo wakati currently wana nukes.

Pakistan imeshambulia tena Iran jana, waite Iran wajibu ndio utajua kama Pakistan wana uzoefu au hawana.
Correction.
1)Sijasema Pakistan hana uzoefu,anao ila hajafikia wa Iran.
2) China na India haziogopani bali India inaiogopa China.
Hizo confrontation walizokumbana nazo Pakistan na India ni za kuviziana brothee hazina uzito.
Usifananishe na confrontation alizofanya Iran.
Iran ana jeshi la maji lenye nguvu ukumbuke kipindi cha Obama kuna submarine mbili za USS zilikamata 10 kilometres kabla hazijagusa Iran marine borders.
Bado unataka kufananisha Iran na Pakistan.
Miziki alocheza Iran ya kibabe mpaka anapigana proxy war usimfananishe na Pakistan.
Alipolipua Pakistan ni eneo ambao wanachangia wote na Iran hvyo haliwezi leta wider escalation.
Ila kama angegusa maslahi muhimu ya Iran ,Pakistan angetambua kwanini drone za Iran zilikua game changer kwenye vita ya Russia dhidi ya Ukraine.
 
Pakistan kwa sasa haina cha kupoteza na huwa inatafuta vijisababu vya vita endapo uchumi unaielemea. Huwa isipokuwa na hela ndio inaingia vitani kufanya distraction ya public na rally ya raia sababu wakiwa vitani wanaacha hata upinzani wanasitisha tofauti zao wanaunga mkono jeshi hivyo kiongozi anayekuwepo anakuwa na uhakika wa kusalia for the meantime.

Viongozi wakuu wote wa Pakistan ni majenerali, huwa hawana akili ya kung'amua mambo kisiasa na kidiplomasia. Nguvu nyingi, akili kidogo. Pakistan unaweza kuta mkuu wa mamlaka ya madawa na vifaatiba ni Major General mstaafu alafu jeshini alisomea mizinga hajui lolote kuhusu madawa.

Si vigumu Iran na Pakistan kupigana, wote wabishi na hawapendi kuonekana wanyonge. Na vita haiwezi kuwa rahisi pamoja na uchumi mbovu wa Pakistan, ni nchi inayojiandaa siku zote kupigana na India hivyo haiko kizembe kijeshi.
Hii nchi hua inanishangaza Sana, Jeshi Lina ushawishi mkubwa kuliko serikali.
 
Kumbe Pakistan inalea makundi ya Kigaidi nchini mwao!!!?????
Basi hawafai hawa watwangwe tu.
Majirani zake wote wana mlalamikiaga.
Hata Osama ametafutwa sana kumbe alikuwa amejichimbia nchini Pakistan na serikali ya Pakistan ilikuwa inajua lakini wakapiga kimia.

Baada ya Marekani kufanya uvamizi wa siri na kumuuwa Osama serikali ya Pakistan ilimaindi sana.
 
Back
Top Bottom