Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Hata IRGC ni jeshi ndani ya Iran, na limefanya mashambulizi kwa Iraq na Pakistan.
Kama lina justification ya kushambulia ardhi ya nchi nyingine na mnakubali, kwanini mnakataa justification ya Israel kushambulia wanaoishambulia waliopo nchi nyinginezo?

Kwanini Iran kushambulia inaoita magaidi iungwe mkono, ila Israel kushambulia inaoita magaidi ilalamikiwe.
Ukiingia mgogoro wa Israel unaleta mjadala mwingine mgumu.
Hapo tutaanza kuchambua mengi kuanzia 1947 mpaka sasa na motives za hayo makundi yanayoishambulia Israel.
 
Vita sikuhizi zinaenda kwa mwendo wa proxies , Una lea makundi hasimu wa adui yako kama mtaji wa kujilinda na kukichafua dhidi ya adui yako kwa maslahi yako
Ndio ulimwengu wa vita uko hivi siku hizi
Mbaya sana hii kwasababu siku hayo makundi yakishapata walichokuwa wanakihitaji wanakugeukia ww uliyewaunda (Karma)
 
Hii nchi hua inanishangaza Sana, Jeshi Lina ushawishi mkubwa kuliko serikali.
Na ikitokea vita wote wapo pamoja hapo hadi akina irmah khan upinzani wanauweka pembeni kama ilivyo israel
 
Pakistan na Iran wanafanana tabia. India ina jeshi kubwa kuizidi Iran ila iliposhambulia magaidi waliolipua bomu kuua wanajeshi wa India na kukimbilia kambi yao deep within Pakistan. India iliwashambulia kwa fighter jets.

Pamoja na kwamba India ina nukes na jeshi kubwa, Pakistan walijibu mashambulizi haraka kwa kutumia ndege na kwenye mgogoro huo ndege moja ya India ilidunguliwa. Sasa ndio waiogope Iran kisa ballistic missiles na drones, kwani nani hana. Na wakati wao wana nuclear weapons.
Nuke hazitumiwi tu hovyo kaka.
Ingelikua hivyo Russia angeshatumia dhidi ya Ukraine.
Ukweli ambao haupingiki Iran ana Missile power kubwa kushinda hata hao India na Pakistan.
Pia Iran wanasemekana kuwa na air defense system nzuri kuliko hata hayo mataifa mawili.
India pamoja na jeshi lake kubwa ila jeshi halina weledi.
Katika border clash zote alizopigana na Pakistan ni moja tu ndio kamshinda Pakistani sikosei kama sio ya 2014 bas 2018.
Na Nuclear watch dog washatoa alert kuwa urutubishaji wa Iran wa Uranium umepitiliza kiwango cha kutengeneza silaha .
 
Hizbollah ni zao la Iran na wameiharibu kabisa Lebanon. Lebanon kwa sasa ni sehemu hatari sana ya kuishi. Ustaarabu wao umepotea mazima sababu ya kukaribisha wapalestina ambao kwao lengo bado ni kupigana na Israel.
Na vita haina macho. Inaharibu vitu vyote, mpaka culture ya watu mahalia
Lebanon sio sehem hatari kuishi.
Watu wanaishi vizuri tu ila kuna matatizo tu ya kiuchumi yaliyotokana na vita na kutokua na serikali imara.
Sina uhakika kama zao la Iran ila wafadhili wao ni Iran pasi hiyo Hizbollah Israel ingekua inaimiliki Bint Jubeir mpaka sasa.
 
India na Pakistan ni watu walewale,Ila baadhi wakasilimu na wengine wakabaku na uhindu wao,India imetawaliwa na watawala waislam kwa muda mrefu,toka Bangladesh pitia India mpaka Pakistan,ni watu walewale
Sijasema ni watu tofauti, hio umeitoa wapi?
Na hii ndo maana waislamu wengi they hate Hindus, because of their might.
Pamoja na kunyanyaswa na kuonewa na kuchomwa temples zao na wavamizi wa kiislamu kutoka Afghanistan wakina Muhammad Ghuri na Ghazni waliokuwa wanalazimisha wasilimu wakikataa wanawaua na kuwachomea nyumba zao za ibada, lakini bado majority waliwapinga.
IMG_20240118_122240_983.jpg
 
Ila hakuna mapigano yaliyotokea.
Hiyo Baluchistan kumbe wana share kama India na Pakistan wanavyo share kashmir.
Hakuna interests za Iran zilizoguswa.
Kama kungepigwa eneo la ndani zaidi hapo yangetokea mengine.
Hata Iran alishambulia hapohapo Balochistan. Angepiga eneo la ndani zaidi angekiona cha mtema kuni.
 
Hata Iran alishambulia hapohapo Balochistan. Angepiga eneo la ndani zaidi angekiona cha mtema kuni.
Iran sio India kijana.
Iran ni giant hapo middle east USA mwenyewe kila siku anapiga nae kelele.
Maana ashakutana nae Syria,Lebanon,Red sea na Gaza.
Hata Ukraine silaha za Iran ndio zilikua game changer katika hiyo vita.
 
Nuke hazitumiwi tu hovyo kaka.
Ingelikua hivyo Russia angeshatumia dhidi ya Ukraine.
Ukweli ambao haupingiki Iran ana Missile power kubwa kushinda hata hao India na Pakistan.
Pia Iran wanasemekana kuwa na air defense system nzuri kuliko hata hayo mataifa mawili.
India pamoja na jeshi lake kubwa ila jeshi halina weledi.
Katika border clash zote alizopigana na Pakistan ni moja tu ndio kamshinda Pakistani sikosei kama sio ya 2014 bas 2018.
Na Nuclear watch dog washatoa alert kuwa urutubishaji wa Iran wa Uranium umepitiliza kiwango cha kutengeneza silaha .
Iran ina air defense systems nzuri na missiles arsenal nzuri. Pakistan ina Airforce nzuri na wala sio chovu kwenye ballistic & cruise missiles.

Kwenda moja kwa moja kudai Iran inaizidi mbali Pakistan ni kujidanganya
1000208746.jpg
 
Unacholalamika kwa Pakistan kulea magaidi ndicho kilekile Marekani ililalamikia Afghanistan ya Taleban kulea magaidi. Tofauti ni kwamba Marekani iliamua kuingia kuwakalia wakati hizo nchi nyingine haziwezi kuingia kwa Pakistan.

Ni sawasawa pia na Turkey kuishutumu Syria kulea waasi wa Kikurdi. Ni sawa na Israel kuishutumu Lebanon kuwalea Hezbollah na Gaza kuwalea Hamas.

Ukikubali kinachofanywa dhidi ya Pakistan pia kubali kinachofanywa kwingineko.
Ni wapi lilipo lalamika mbona unanilisha maneno.
 
Iran sio India kijana.
Iran ni giant hapo middle east USA mwenyewe kila siku anapiga nae kelele.
Maana ashakutana nae Syria,Lebanon,Red sea na Gaza.
Hata Ukraine silaha za Iran ndio zilikua game changer katika hiyo vita.
Pakistan haiiogopi Iran, haitishiwi nyau. Leo Pakistan imewaua Wairan 7 inawaita magaidi ndani ya ardhi ya Iran, Pakistan sio kama Iran inayotoaga onyo zito kwa Israel kwa kutumia barua na maandamano. Kila tukio utasikia this is the last warning, na lingine likitokea utasikia this is the last warning ⚠️
 
Iran ina air defense systems nzuri na missiles arsenal nzuri. Pakistan ina Airforce nzuri na wala sio chovu kwenye ballistic & cruise missiles.

Kwenda moja kwa moja kudai Iran inaizidi mbali Pakistan ni kujidanganyaView attachment 2875404
Kwa matukio ya kijeshi alofanya Iran tokea 1979 Iran inaonekana kuwa na nguvu kuliko Pakistan.
Na silaha za Iran zime prove kuwa na ubora maeneo mbali mbali duniani kuliko za Pakistan.
Leo hii ukimwambia mtu umpe made in Iran au made in Pakistan lazima akwambie nipe Khordak made in Iran.
Pakistan makundi tu ya kigaidi yanayofanya mashambulizi kwake anashindwa kuyathibiti.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Pakistan haiiogopi Iran, haitishiwi nyau. Leo Pakistan imewaua Wairan 7 inawaita magaidi ndani ya ardhi ya Iran, Pakistan sio kama Iran inayotoaga onyo zito kwa Israel kwa kutumia barua na maandamano. Kila tukio utasikia this is the last warning, na lingine likitokea utasikia this is the last warning ⚠️
Marekani na washirika wake watamuunga mkono Pakistani ili kuitandika Iran..naona Iran amejitanguliza chooni mwenyewe
 
Pakistan haiiogopi Iran, haitishiwi nyau. Leo Pakistan imewaua Wairan 7 inawaita magaidi ndani ya ardhi ya Iran, Pakistan sio kama Iran inayotoaga onyo zito kwa Israel kwa kutumia barua na maandamano. Kila tukio utasikia this is the last warning, na lingine likitokea utasikia this is the last warning ⚠️
Israel ni mfupa mgumu kaka.
Kama Pakistan angekua anajihusisha na Israel angepata wakati mgumu sana.
Israel kuna mafaza wakubwa nyuma yake hivyo Iran hawezi ku respond kama unavyotaka wewe.
Ukijihusisha na Israel jua umejihusisha na Imperialists.
 
Iran sio India kijana.
Iran ni giant hapo middle east USA mwenyewe kila siku anapiga nae kelele.
Maana ashakutana nae Syria,Lebanon,Red sea na Gaza.
Hata Ukraine silaha za Iran ndio zilikua game changer katika hiyo vita.
Kama ni giant ashambulie tena Pakistan tuone ugiant wake.
Giant kila siku watu wake muhimu wauawa ndani na nje ya nchi yake yupo tu anatoa macho.!!!!!
 
Pakistan haiiogopi Iran, haitishiwi nyau. Leo Pakistan imewaua Wairan 7 inawaita magaidi ndani ya ardhi ya Iran, Pakistan sio kama Iran inayotoaga onyo zito kwa Israel kwa kutumia barua na maandamano. Kila tukio utasikia this is the last warning, na lingine likitokea utasikia this is the last warning ⚠️
Hawa Iran walishawahi kulalamika eti Israel inawaibia mawingu ili mvua isinyeshe kwao😂😂😂.
Taifa LA hovyo Sana.
 
Back
Top Bottom