Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Iran wana chawa tu 😂😂
Vita alizopigana Pakistan ni ndogo tuseme ni small border clash with India.
Na ya 2018 alipigwa na India.
Iran kapigana FULL SCALE WAR kwa miaka nane dhidi ya Iraq ya Saddam hussein ilokua ikisaidiwa na USA.
Huwez fananisha na border clash alizopigana Pakistan ni za kitoto sana.
 
India haina shida na kupigana na Pakistan. Mara zote unazoona wameingia vitani ujue Pakistan ndio huwa mchochezi na anapigwa.

India viongozi wake sio wa kijeshi, haijawahi ongozwa kijeshi na jeshi lao halina influence kubwa kisiasa. Pakistan ni oyaoya majenerali wakijidanganya wanaweza basi wakaanzisha vita. Na sijawahi ona vita inayoanzishwa na wanajeshi inaleta ushindi
India haihawahi kuishinda Pakistan maana ugomvi wao ni Kashmir ambapo kila nchi inalimiliki nusu na ndoto ya kila mmoja ni siku moja alimiliki jimbo hilo peke yake, kama India amekuwa akiishinda Pakistan basi angekuwa amesha muondoa kwenye hilo jimbo na kulimiliki yeye.
Kinacho tokeaga ni mapigano ya hapa na pale mipakani na sio vita kamili.

India na Pakistan ni maadui wakubwa hivyo ni razima India achukue advantage hiyo kumdhohofisha japo hataingia moja kwa moja vitani kama ambavyo nchi za magharibi zinafanya kwa Urusi huko Ukraine ,hata Iran akiingia vitani na Pakistan ni razima maadui zake watumie hiyo advantage kumdhohofisha wakiongozwa na Marekani, Israel na Saudia japo hawataishambulia moja kwa moja na hilo Iran analijua.
Dunia ya sasa ni kuviziana hivyo hivyo kwa kwenda mbele.

Kiufupi Iran na Pakistan wote hakuna mwenye hamu na vita dhidi ya mwenzake , Iran ilifanya shambulizi dhidi ya Pakistan baada ya kuishiwa na uvumilivu maana Iran imesha ionya sana na kwa miaka mingi Pakistan iache kulea makundi ambayo yamekuwa changamoto kwa usalama wa Iran lakini Pakistan haijali wala nn.

Na sijawahi kujua Pakistan huwa anapata faida gani kuyalea haya makundi maana hata Afghanistan, Uturuki na India wamekuwa wakiilalamikia Pakistan kulea makundi ambayo yanahatarisha usalama wa nchi zao hali ya kuwa uwezo wa kuya dhibiti wanao.
Hata Marekani ilisha ilalamikia sana Pakistan kwa kuyadhamini makundi yaliyo kuwa yanawauwa wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan licha ya kuwa Marekani anaipa Pakistan msaada wa kijeshi.
 
Pakistan imepigana vita na India kuanzia 1947
1965
1971
1999
Unasemaje haina uzoefu?

Ukiachana na Iran kupigana na Iraq iliwahi pigana na nani tena. Unaipimaje Iran na kudai ina uzoefu?
Bro unafananishaje border clash na Full scale war alopigana Iran dhidi ya Iraq kwa miaka nane???
Huwezi kuwa serious hata kidogo.
 
nashangaa Tanzania sijui huwa inalala kwanini tu! mpk Rwanda anachukua rasilimali sisi Taifa kubwa tupo tu.

Bila kuvamia Taifa jingine na kuiba ni ngumu kusonga mbele angalia US anachofanya.
Sasa mkuu unachekesha sana rasilimali mlizo nazo hapa nchini hamuwezi kuzilinda zinaporwa tena bila bunduki ndo mtaweza kwenda kupora za nchi nyingine?
 
India haihawahi kuishinda Pakistan maana ugomvi wao ni Kashmir ambapo kila nchi inalimiliki nusu na ndoto ya kila mmoja ni siku moja alimiliki jimbo hilo peke yake, kama India amekuwa akiishinda Pakistan basi angekuwa amesha muondoa kwenye hilo jimbo na kulimiliki yeye.
Kinacho tokeaga ni mapigano ya hapa na pale mipakani na sio vita kamili.

India na Pakistan ni maadui wakubwa hivyo ni razima India achukue advantage hiyo kumdhohofisha japo hataingia moja kwa moja vitani kama ambavyo nchi za magharibi zinafanya kwa Urusi huko Ukraine ,hata Iran akiingia vitani na Pakistan ni razima maadui zake watumie hiyo advantage kumdhohofisha wakiongozwa na Marekani, Israel na Saudia japo hawataishambulia moja kwa moja na hilo Iran analijua.
Dunia ya sasa ni kuviziana hivyo hivyo kwa kwenda mbele.

Kiufupi Iran na Pakistan wote hakuna mwenye hamu na vita dhidi ya mwenzake , Iran ilifanya shambulizi dhidi ya Pakistan baada ya kuishiwa na uvumilivu maana Iran imesha ionya sana na kwa miaka mingi Pakistan iache kulea makundi ambayo yamekuwa changamoto kwa usalama wa Iran lakini Pakistan haijali wala nn.

Na sijawahi kujua Pakistan huwa anapata faida gani kuyalea haya makundi maana hata Afghanistan, Uturuki na India wamekuwa wakiilalamikia Pakistan kulea makundi ambayo yanahatarisha usalama wa nchi zao hali ya kuwa uwezo wa kuya dhibiti wanao.
Hata Marekani ilisha ilalamikia sana Pakistan kwa kuyadhamini makundi yaliyo kuwa yanawauwa wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan licha ya kuwa Marekani anaipa Pakistan msaada wa kijeshi.
Kumbe Pakistan inalea makundi ya Kigaidi nchini mwao!!!?????
Basi hawafai hawa watwangwe tu.
 
PKK ni magaidi wa kikurdi.
Hilo liko wazi.
Hamas wanaeleweka wanachopigania ni two state solution kati ya Israel na Palestina.
PKK wanapigania nini??
Kazi yao ni kufanya suicide bombing ndani ya Turkiye ukiwauliza wamachopigania hawana jibu kamili.
Mpaka Iraq wakurdi wapo hao ni watu wa fujo tu.
Wakurdi ndio kabila ambalo lipo mataifa manne ( Turkey , Syria , Iraq na Iran ) , wanataka kujitenga na kutengeneza taifa lao Kurdistan
 
I

Iran hawezi kujibu sababu anawajua vizuri wendawazimu wa Pakistan.
wale Taliban huwa wanalianzisha na kuingia hadi Iran na kushambulia askari wa Iran, wakishayoa dozi wanarudi kwao, lakini kule kwenye mpaka wa Pakistan na Afghanistan , Pakistan ndiye anapachezea atakavyo ma wakati mwingine Taliban ndiyo hulalamika
Kitakachomzuia anajua akilianzisha wakaingia vitani na Pakstan bila shaka itakuwa ndio mwanzo wa serikali yake kuanguka. hatakuwa akipigana na Pakstan tu, atakuwa anapigana na Pakstan iliyobacked na US na washikaji zake maana wanamtamani sana plus Israel anayedai kuwa ni Iran anayewapa nguvu Hamas na Hezbollah.
 
Yes India ina takriban 200 million Muslims, hio ni kwasababu kuna wengine waliamua kubaki India baada ya partition, wapo wengi na wanazidi kuongezeka kwasababu hali ya maisha ya India, hakuna sababu nyingine.

Kama hali ya maisha ya Pakistan ingekuwa ni nzuri kwann India kuna muslims wengi kuliko Pakistan na kwann kuna wengine waliamua kubaki after 1947 partition?

Pia naweza kuongezea swali kwamba, kwann muslims wanapenda kuhamia/kukimbilia nchi sizizo za kiislamu, waislamu wanasema uisamu ndo suluhisho na makafir ndo tatizo, kwann unahamia kwenye tatizo (makafir) na usibaki kweny suluhisho??
Jibu ni moja tuu, ili kuibadilisha hio nchi iwe dola ya kiislamu.
India na Pakistan ni watu walewale,Ila baadhi wakasilimu na wengine wakabaku na uhindu wao,India imetawaliwa na watawala waislam kwa muda mrefu,toka Bangladesh pitia India mpaka Pakistan,ni watu walewale
 
Iran atapigwa achakae, Pakistan sio wanyonge
Hakuna mwenye nia na vita kati yao wakati Iran ikisubiliwa ajichanganye na maadui zake wa kikanda na Marekani ,upande wa pili India nao wanasubili Pakistan wajichanganye.
 
Umesahau jinsi wahindi walivyo na chuki na Pakistani au ?
Umewasahau watalebani ambavyo wanauhasama na wapakistan kwenye mipaka yao ?
Wahindi wana chuki na Pakstan lakini katika hii vita itabidi wakae kimya kama Pakstan atakuwa backed na US na washikaji zake. Hao Taleban wamekuwepo muda anawathibiti tu. Kwanza story za Pakstan na taleban nazo mimi zinanishangaza. Story zinadai mshikaji wa Taleban Osama serikali ilikuwa inajua kuwa yupo hapo kajificha lakini haikuwahi kuwambia US.
 
Bro unafananishaje border clash na Full scale war alopigana Iran dhidi ya Iraq kwa miaka nane???
Huwezi kuwa serious hata kidogo.
Walichokuwa wanapigania Iran vs Iraq ndio walikuwa wanapigania India vs Pakistan.

Vita zilizohusisha submarine operations na aircraft carrier ndio unaita border clashes. Vita ya India na Pakistan ilikuwa na ujazo wote wa kivita tena ilipiganwa kisasa, vita ya Iran na Iraq ilipiganwa kimaangamizi kufyatua makombora mijini na kutumia gesi za sumu, si kwamba hivyo vitu India na Pakistan walikuwa hawawezi ila tu walijizuia.
 
Wakurdi ndio kabila ambalo lipo mataifa manne ( Turkey , Syria , Iraq na Iran ) , wanataka kujitenga na kutengeneza taifa lao Kurdistan
Hawa hawafai kuunda taifa wataleta sana machafuko hawa jamaa.
 
Lengo la shambulio ni nini??
Hao magaidi walolengwa ndio hao waliolengwa Baluchistan.
Na ndio hao walomuua Colonel Hossein Ali.
Tizama lengo usitizame shambulio.
Kwann baada ya shambulio la Iran ndani ya Pakistan serikali ya Pakistan ililaani hilo shambulio na ikamwita balozi wake kurudi Pakistani na pia ikawatimua raia wa Irani waliokuwa njiani kurejea Pakistani?
 
Lakini hao Afghanstan ni maadui wa Iran
Kuna kundi linaitwa Pakistani Taliban , hawa wanafanya ambush za kulipua mabomu na maangamizi ya kujitoa mhanga kila siku Pakistani. ,na wanalelewa na Afghanistan .
Ni uhasama mkubwa upo ,
Huyo Pakistan anafuga kundi lingine ambalo limekuwa likisumbua India Kwa muda mrefu linaitwa Lashkar El Taibar , wanafanya mashambulizi India kaa muda mrefu na ni hatari kwa usalama wa India , so Pakistan ni hotbed ya kufuga trouble makers
 
Back
Top Bottom