wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema hawataki na wamekataa kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaishi nje ya nchi.
na wamewaelekeza wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kuhakikisha kwamba siku ya uchaguzi wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wanamchagua Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa Chadema Taifa,
Na kumkataa katu katu dalali wa ukoloni mambo leo, kibaraka na omba omba wa kimataifa anaelazimisha kula chakula kwa chairman wa Chadema Taifa kila siku π