Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

Acha kuwasingizia watu wa kanda ya ziwa mambo yako ya hovyo! Alichokisema Zitto kuhusu uovu wa Magufuli ni kweli tupu. Tunataka wapatikane akina Zitto wengi ili kuweka wazi uovu wa Utawala wa hayati Magufuli ili nchi yetu isije ikapata kiongozi muovu wa aina hiyo tena!
Yeye zitto aliongea kwa ubinafsi wake wa kutopata fursa alizozizoea enzi za JK.

Nakumbuka wakati JK anampisha Magu siku ya hafla ikulu Zitto alikuwepo na JK akamsogeza kwa Magu. Hata upinzani walipotoka bungeni Zitto alikuwepo. Ila Magu hakutaka ushirikiano na Zitto sababu alimjua
1. Mbinafsi.
2. Hayupo kwa maslahi ya wengi au taifa
3. Mnafiki
4. Haaminiki
5. Mbaguzi.
6. Muongo
images%20(1).jpg
 
Huo ujinga maliza huko na wavuta bangi wenzio wa vijiwe vya Mwanza Hotel na Pizzeria. Sana sana kawadanganye wanao kama unao.

Yaani wewe punguani umathubutu mpaka kumponda Pascal Mayalla ambaye siyo kwamba ni mwandishi mbobezi bali pia ni platinum member na yuko verified humu.

Acha bangi za kuvutia chooni Nyankurungu2020, toa heshima kwa wakongwe. Mara nyingine usome tu ili uelewe
Sasa wewe kama hujui nguvu ya vijiwe subiri. Kama hupajui Pizzeria na Mwanza hotel basi muulize Lawrence Masha.

Sijamponda nampa ukweli halisi.

Mimi sivuti bhangi. Wala sivuti sigara.

I do tell the truth.

2025 sio mbali
 
Kifo cha Magufuli kimeiumiza kanda ya ziwa sasa yeyeto anaye mdhihaki au kumponda Magufuli lazima achukiwe

Sio Zito na chama chake pekee, hata Samia, Mbowe wanachukiwa balaa

Kikipatikana chama na kiongozi anayejua uchungu wa kufiwa kwa kuwafariji kanda ya ziwa na kutowadhihaki atabeba kura zote
Mnajisumbua mburukenge ninyi!
 
Kwa asili watu wa kanda ya ziwa si wakabila (kwa maana ya ubaguzi) ila dhihaka iliyofanywa na inayoendelea kufanywa juu yao ndio inaowafikirisha zaidi

Upinzani uliungwa mkono miaka hiyo, leo nao hawakubiliki kama CCM tuu; haiitaji PhD kuelewa jambo hili, hivi watu wanadhihakiwa kutokana na asili zao (mfano wanaitwa wachunga ng'ombe, wakuja, washamba), wanatukaniwa mtu waliemheshimu, mpenda na kumwamini (JPM) then watawapendaje wanaofanya hivyo?

Usifikiri ni Geita tuu, ni pamoja na Mwanza, Kagera, Mara, Simiyu na Shinyanga

Tabora baadhi ya sehemu

Kwa Dar kuna Vingunguti, Tabata, Kinyerezi, Ulongoni, Ukonga, Kitunda, Gongo la Mboto, Chanika, nk.

Na usifikiri ni wasukuma tuu, ni pamoja na watu kutoka Mara (wakurya), wakerewe, wahaya, nk.
Nyie ni mangosha, washamba, walugaluga ushamba wenu unawaponza unakuta jitu limesoma ila bado linabeba begi la nguo za kubadili kwenda kupiga picha na lile sanamu la samaki pale round about
 
Wasukuma hawana Hilo hata kidogo. Wanhekuwa na ukabila kama Wachagga au Wahaya basi mwaka 2000 alipogombea John Momose Cheyo urais kupitia UDP, basi àngkuwa Rais.
Kama humuewi Zitto Kabwe ni wewe na familia yako
Zitto hakuwa na sababu za kutoa kauli kama ile. Yeye ni kiongozi asiligawe taifa kwa mkate wa siku moja.....mambo mengine yataibuka na kumharibia hata miaka kadhaa mbele. Hakupaswa kuwaza unbali wa pua lake. Alipaswa kuficha hisia maana jina LA magufuli ni baya mitandaoni lakini mitaani ni turufu ya kura.
 
Nashangaa kwa mwandishi wa habari kama wewe kutokubali nguvu ya vijiwe. Hujui kuwa hata mikakati ya kupata viongozi huanzia vijiweni?
Watu wa vijiweni ni wapiga domo tuu na sio wapiga kura!.
Unakijua kijiwe cha Mwanza hotel? Pizzeria na vingine maarufu hapa Mza? Au unabip tu.
Wewe ndio waulize hao wanakijiwe wa Mwanza Hotel, Pizzeria, Isamilo,Kirumba, Pascal Mayalla ni nani, watakueleza, tena tafuta Wazee wa Mwanza, uwaulize Mzee Andrew Mayalla ni nani kwa jiji la Mwanza na alilifanyia nini, watakueleza!.
Hivi kauli aliyoitoa huyo jamaa yako ina afya kwake kisiasa huku Kanda ya ziwa?.
Ina maana kubwa sana, kwake. Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa managing political diversity, kuvumilia mawazo usiokubaliana nayo, mtu akifa ndio mwisho wa habari yake, hata na wewe, kama unampenda sana, mfuate, ukalale nae pale alipolala.
Acha Zitto tu hata mkuu wa kaya atakiona 2025 kama hujui
2025 utashangaa sana!.
P
 
Sasa wewe kama hujui nguvu ya vijiwe subiri. Kama hupajui Pizzeria na Mwanza hotel basi muulize Lawrence Masha.

Sijamponda nampa ukweli halisi.

Mimi sivuti bhangi. Wala sivuti sigara.

I do tell the truth.

2025 sio mbali

Vijiwe vina nguvu, lakini hivyo vijiwe sio vya watetezi wa yule dhalimu.
 
Watu wa vijiweni ni wapiga domo tuu na sio wapiga kura!.

Wewe ndio waulize hao wanakijiwe wa Mwanza Hotel, Pizzeria, Isamilo,Kirumba, Pascal Mayalla ni nani, watakueleza, tena tafuta Wazee wa Mwanza, uwaulize Mzee Andrew Mayalla ni nani kwa jiji la Mwanza na alilifanyia nini, watakueleza!.

Ina maana kubwa sana, kwake. Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa managing political diversity, kuvumilia mawazo usiokubaliana nayo, mtu akifa ndio mwisho wa habari yake, hata na wewe, kama unampenda sana, mfuate, ukalale nae pale alipolala.

2025 utashangaa sana!.
P
Haya naona unakariri na kuishi maisha kusadikika.

Nitauliza hayo maswali yangu kwa muda wangu.

Lakini nataka nikuambie kweli kabisa Zitto amewachafua watu wa ziwa.

Kama mtu akifa ndio mwisho wa habari yake basi hata Julius Nyerere tusingeyaenzi mazuri aliyofanya.

Acha kudanganya watu.
 
Nakupa assignment moja tuu utaifanya November 2025, utaangalia % ya kura sa 💯, Kanda ya Ziwa.
P
Assignment ya nini? Mwaka 2010 jakaya alikula kichapo mpaka akasingizia waraka wa kanisa katoriki.

Bila maujanja ya wakurugenzi CCM ilipoteana.

Diallo ana siri nyingi sana.
 
Kwa asili watu wa kanda ya ziwa si wakabila (kwa maana ya ubaguzi) ila dhihaka iliyofanywa na inayoendelea kufanywa juu yao ndio inaowafikirisha zaidi

Upinzani uliungwa mkono miaka hiyo, leo nao hawakubiliki kama CCM tuu; haiitaji PhD kuelewa jambo hili, hivi watu wanadhihakiwa kutokana na asili zao (mfano wanaitwa wachunga ng'ombe, wakuja, washamba), wanatukaniwa mtu waliemheshimu, mpenda na kumwamini (JPM) then watawapendaje wanaofanya hivyo?

Usifikiri ni Geita tuu, ni pamoja na Mwanza, Kagera, Mara, Simiyu na Shinyanga

Tabora baadhi ya sehemu

Kwa Dar kuna Vingunguti, Tabata, Kinyerezi, Ulongoni, Ukonga, Kitunda, Gongo la Mboto, Chanika, nk.

Na usifikiri ni wasukuma tuu, ni pamoja na watu kutoka Mara (wakurya), wakerewe, wahaya, nk.
Mnajidanganya mno kudhani uovu wa Magufuli aliofanya wa kutawala nchi gizani kwa hadaa na uongo uongo unaweza kuwapa faida. Hapana. Mtavuna mbegu ya uovu aliyopqnda Magufuli.

Mimi niko kanda ya ziwa. Hizo siasa zenu watu wa kanda ya ziwa wala hawana habari nazo. Wanamuunga mkono raisi Samia asilimia 90. Wanatambua jitihada zake za kuirudisha nchi kwenye utawala wa sheria kutoa mikononi mwa watekaji na wauwaji. Viongozi laghai wanaopika data kudanganya wanyonge wasiojitambua.
 
Mnajidanganya mno kudhani uovu wa Magufuli aliofanya wa kutawala nchi gizani kwa hadaa na uongo uongo unaweza kuwapa faida. Hapana. Mtavuna mbegu ya uovu aliyopqnda Magufuli.

Mimi niko kanda ya ziwa. Hizo siasa zenu watu wa kanda ya ziwa wala hawana habari nazo. Wanamuunga mkono raisi Samia asilimia 90. Wanatambua jitihada zake za kuirudisha nchi kwenye utawala wa sheria kutoa mikononi mwa watekaji na wauwaji. Viongozi laghai wanaopika data kudanganya wanyonge wasiojitambua.
Labda kanda ya Ziwa Makunduchi
 
Back
Top Bottom