real life skills
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 233
- 238
Naunga mkono mchango huu wa Paskali!
"Maadam wewe sii Zitto , kama anapoteza muda, si no muda wake?. Muda wa Zitto, wewe unakuhusu nini?!. Unless kama ni wewe ndio unamlisha na kumvisha, nakushauri just mind your own business!.
Kwa wasiomfahamu Zitto, kati ya viongozi wote wa upinzani Tanzania, waliopo kwa sasa, Zitto ndie the one and only anayeweza kushika wadhifa wa urais wa JMT na nchi ikatawalika, tatizo lake ni chama chake cha ACT bado kichanga"
"Maadam wewe sii Zitto , kama anapoteza muda, si no muda wake?. Muda wa Zitto, wewe unakuhusu nini?!. Unless kama ni wewe ndio unamlisha na kumvisha, nakushauri just mind your own business!.
Kwa wasiomfahamu Zitto, kati ya viongozi wote wa upinzani Tanzania, waliopo kwa sasa, Zitto ndie the one and only anayeweza kushika wadhifa wa urais wa JMT na nchi ikatawalika, tatizo lake ni chama chake cha ACT bado kichanga"