Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

Acha kuwafananisha Waha na huyo mbembe wa Kongo Zitto siyo muha ni mbembe
 
Wewe ni muandishi wa habari kanjanja,Kenge wewe.Njoo Mwanza useme usng@ wako uone.Baki huko huko uliko unendelee kujipendekeza kama mke mdogo.Uzuri kanda ya ziwa haina mazoea kamuulize Diaro mpaka leo analalama,muulize masha atakwambia,muulize kageshike atakwambia,muulize mzee Tysoni atakwambia.Nafuu iliyokuwepo kanda ya ziwa ni kwasababu ya Magufuri.Kanda ya ziwa sio watu wa kujipendekeza kuanzia Tabora,Shunyanga,Mara,Kagera,Geita,Mwanza na Kigoma ikwemo sasa wewe unaejifnya unaijua Mwanza vizuri njoo ugombee baada ya uchaguzi utayamaza milele.
 
Mimi wa Kanda ya ziwa na ninamtaka sana Zzk na ACT . Wewe ndiyo humtaki na kasakosi kenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…