Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni umri gani kwa binti kukoma kuwa mtoto? Ukimchukua mvulana wa miaka 18 na binti wa umri huo watakuwa sawa kimtazamo? Kwa nini haishauriwi kuoa binti mnae lingana umri bali mwanamume awe amezidi umri?Ndoa za utotoni zipo, sehemu kubwa ya dunia imekubaliana binadamu walio chini ya miaka 18 bado ni watoto.
Mwanamke yuko ahead miaka saba tofauti na mwanaumeHivi ni umri gani kwa binti kukoma kuwa mtoto? Ukimchukua mvulana wa miaka 18 na binti wa umri huo watakuwa sawa kimtazamo? Kwa nini haishauriwi kuoa binti mnae lingana umri bali mwanamume awe amezidi umri?
Ok kwa hesabu rahisi, 18 - 7 = 11. Ndio maana siku hizi vitoto vya miaka 12 vinayumbisha ndoa za wamama watu wazima. Sasa iweje umri wa kuolewa kwa binti uwe sawa na mvulana? Kama binti wa miaka 18 ni sawa na mvulana wa miaka 25, kwa nini uwekwe umri sawa wa utu uzima?Mwanamke yuko ahead miaka saba tofauti na mwanaume
Tunakoelekea kunatishaStage one,
Madai Mabinti wanaolewa umri mdogo vikiambatana na campaign kabisa ya kuhimiza hilo ili jamii yote ijue bila ya kuja na utatuzi...refer to ongoing campaigns
After many many campaigns...
Final stage...
Mabadiliko yakisheria kuruhusu mwanamke kuchagua MTU wakumuoa bila kujali JINSIA YAKE, TAMADUNI na IMANI yake..Pia mwanamke anayo haki yakumuacha mwenzi wake( hapa halitatumika neno mume) kadili ya atakavyojisikia.
Kundi flani hivi limefanikiwa...
Mvulana wa miaka 18 bado sana tu hawezi kutunza mke na mtoto atleast miaka 25 ndio anaanza kujitambua.ila binti wa miaka 18 anaweza kuolewq na kutunza mjiOk kwa hesabu rahisi, 18 - 7 = 11. Ndio maana siku hizi vitoto vya miaka 12 vinayumbisha ndoa za wamama watu wazima. Sasa iweje umri wa kuolewa kwa binti uwe sawa na mvulana? Kama binti wa miaka 18 ni sawa na mvulana wa miaka 25, kwa nini uwekwe umri sawa wa utu uzima?
Inategemea na factors mbalimbali. Wakati huku tunagongana kuhusu umri wa kuoa hebu tuone huko Marekani wanaofadhili hizo haki feki za wanawake:Mvulana wa miaka 18 bado sana tu hawezi kutunza mke na mtoto atleast miaka 25 ndio anaanza kujitambua.ila binti wa miaka 18 anaweza kuolewq na kutunza mji
Weeeee ....kumbeInategemea na factors mbalimbali. Wakati huku tunagongana kuhusu umri wa kuoa hebu tuone huko Marekani wanaofadhili hizo haki feki za wanawake:
View attachment 2402286View attachment 2402287View attachment 2402288
Ona umri wa Massachusetts miaka 12 na New Hampshire miaka 13?
Hivi unadhani kimwili na kiupeo tuko sawa na hao wazungu,mbwa wa kizungu tu ana akili kuliko mwafrika,nilienda kigoma robotatu ya mabinti wana chini ya futi tano,wamedumaa mwili na akili,Inategemea na factors mbalimbali. Wakati huku tunagongana kuhusu umri wa kuoa hebu tuone huko Marekani wanaofadhili hizo haki feki za wanawake:
View attachment 2402286View attachment 2402287View attachment 2402288
Ona umri wa Massachusetts miaka 12 na New Hampshire miaka 13?
Inategemea na factors mbalimbali. Wakati huku tunagongana kuhusu umri wa kuoa hebu tuone huko Marekani wanaofadhili hizo haki feki za wanawake:Mvulana wa miaka 18 bado sana tu hawezi kutunza mke na mtoto atleast miaka 25 ndio anaanza kujitambua.ila binti wa miaka 18 anaweza kuolewq na kutunza mji
Sasa niambie, kwa nini tunafuata sheria na taratibu zao huku tukiwa kama kuwa hawana akili na upeo? Kila kitu chetu tumekibadilu kuwafuata wao, hata huu ujinga wa ndoa ni wao chanzo, haki za wanawake ni wao, umri wa mtu mzima ni wao, wanetuwekea ma NGOs kibao na wanafafhiku miradi lukuki ya kijinga lakini tumeipokea na kuitungia sheria. Nyota ya kijani, vidonge vya majira, nk. Tuna kipi sisi cha kutufanya tuna akili na weledi kuliko wao zaidi ya mdomo mwingi? Subiri kidogo, ndoa za jinsia moja ziko mlangoni.Hivi unadhani kimwili na kiupeo tuko sawa na hao wazungu,mbwa wa kizungu tu ana akili kuliko mwafrika,nilienda kigoma robotatu ya mabinti wana chini ya futi tano,wamedumaa mwili na akili,
Haina ukweli...ni miaka 19Hivi hii simulizi huwa ina ukweli?maana inashangaza mno
Mzee mbona unajichanganya. Umesema ktk 100 utakuta wawili ndo wamekula hela ya mahar alaf ukasema wakimaliza la saba tu wanaolewa!.Nimeishi Musoma na sasa niko Geita, nilichokiona huku serikali na wazazi tuamke. Ukienda clinic ya wajawazito utashangaa kwenye foleni kuna vibinti vya muaka 15 vina ujauzito.
Nilishangaa kata ya Mganza jirani kabisa na Chato binti ana miaka 20 anawatoto wawili, alishaolewa na kuachika. Unajua maana ya msimbe? Msimbe ni mwanamke aliyeolewa akaachka.
Sasa huku si ajabu kukuta binti wa miaka 18 ni msimbe akiwa na watoto wawili. Huku swala la kufunga ndoa lilishasahulika.
Katika wazazi 100 wenye mabinti, kukuta aliyekula mahari kabisa ya binti yake hawazidi wawili. Watoto wanaoana kirahisi na wazazi hawana hiana.
Mtoto akifeli la saba tu mwaka unaofuata anaolewa. Utafiti huu ni kwa mkoa wa Mara na Geita, nasikia na mikoa ya kusini huu ujinga upo. Yaani mtoto wa kike hafaidi ile hali ya kuwa binti au dada, yaani anatoka utoto mpaka kuwa mama.
Mimi nina miaka
Itaendelea.....
mwanamke asome kufuta ujinga tu kisha aolewe haya ndio maumbile yaoNimeishi Musoma na sasa niko Geita, nilichokiona huku serikali na wazazi tuamke. Ukienda clinic ya wajawazito utashangaa kwenye foleni kuna vibinti vya muaka 15 vina ujauzito.
Nilishangaa kata ya Mganza jirani kabisa na Chato binti ana miaka 20 anawatoto wawili, alishaolewa na kuachika. Unajua maana ya msimbe? Msimbe ni mwanamke aliyeolewa akaachka.
Sasa huku si ajabu kukuta binti wa miaka 18 ni msimbe akiwa na watoto wawili. Huku swala la kufunga ndoa lilishasahulika.
Katika wazazi 100 wenye mabinti, kukuta aliyekula mahari kabisa ya binti yake hawazidi wawili. Watoto wanaoana kirahisi na wazazi hawana hiana.
Mtoto akifeli la saba tu mwaka unaofuata anaolewa. Utafiti huu ni kwa mkoa wa Mara na Geita, nasikia na mikoa ya kusini huu ujinga upo. Yaani mtoto wa kike hafaidi ile hali ya kuwa binti au dada, yaani anatoka utoto mpaka kuwa mama.
Mimi nina miaka
Itaendelea.....