lakini afadhali hao kuliko banda la kuku la Mwanza airportHivi kwa uelewa wako unadhani ni kanda ipi nyingine ina uwanja wa kimataifa ambao jengo lake ni zuri labda mithili ya JKNIA?
Tafadhali kama hujawahi kufika Songwe usiutaje maana jengo lake ni kama jengo la sekondari, wala usitaje KIA sababu hata haifikii ule uwanja Terminal 2...
Kwa kutumia akili ya kawaida tu, ili kuilaumu serikali kwa haki, tujiulize;Hivi kwa uelewa wako unadhani ni kanda ipi nyingine ina uwanja wa kimataifa ambao jengo lake ni zuri labda mithili ya JKNIA?
Tafadhali kama hujawahi kufika Songwe usiutaje maana jengo lake ni kama jengo la sekondari, wala usitaje KIA sababu hata haifikii ule uwanja Terminal 2...
Na haya ndiyo mawazo tunayotaka, kwamba ule uwanja ingawa ulijengwa na Marehemu Magufuli, siyo mali ya marehemu. Uwanja ni mali ya umma na uendelezwe, ufunguliwe utumike kama ulivyokusudiwa.Maadam baadhi yetu tuliutetea uwanja wa Chato, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! by that time, hakuna aliyejua kuwa rais anaweza kufa madarakani!. Hata kama Magufuli hayupo, tunaweza kuindeleza ile mipango yake na uwanja ukawa busy!.
P
Naunga mkono hoja, ilitakiwa kila Tarehe 12- 17 March iwe ni wiki ya JPM, kufanyike Tamasha kubwa Chato, mikutano, Marsha, semina, makongamano, hata maandamano yafanyike Chato kwa wiki nzima, Tuanzishe Tamasha la Utalii wa Makaburi, ndege zitafurika, Chato itajaa, Itachangamka na Magufuli mwenyewe huko aliko atafurahi!. Ile GS Hotel itakuwa Fully Booked mwezi mzima.Na haya ndiyo mawazo tunayotaka, kwamba ule uwanja ingawa ulijengwa na Marehemu Magufuli, siyo mali ya marehemu. Uwanja ni mali ya umma na uendelezwe, ufunguliwe utumike kama ulivyokusudiwa.
Tatizo ni kuhusisha maendeleo na siasa, hapo ndio tunakwama, anapokuja kiongozi mwingine anaanza kusema au kudhani mtangulizi wake alikuwa na mawazo au nia tofauti ya vitu alivyoviweka. Vision ya Taifa inakosekana, Uwanja wa ndege unajulikana na matumizi yake yanajulikana , sasa tunakwama wapi?
Kwani chattle international airport umekuwaje?Leo nimemsikiliza Musukuma akizungumzia kuchelewesha kuhusu jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza na miundo mbinu yake kuufanya uwe wa kimataifa.
Hali hii kwa sasa inatoa picha kama alivyosema Msukuma dharau kwa kanda ya ziwa haijalishi Makonda ni Mwenezi au Dotto ni Naibu Waziri Mkuu,kisiasa haitatosha kuwashawishi wananchi ambao ni wazi wanaonekana kutengwa kupitia uwanja huu, Songwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma lakini kwenye mpango wa sasa uwanja huu haumo.
Ni nani anayeupiga vita. Rais kwa hili tunaomba uingilie kati kwa jinsi utakavyoona inafaa. Aidha barabara njia nne za kuingia jijini zimetupiliwa mbali hakuna anayezungumzia kwenye Mpango. Nadhani miji kama Mwanza Mbeya ni wakati wa kujenga njia nne kama ilivyo kwa Dar.
Kura ziko nyingi sana kwenye maeneo haya siyo ya kufanyia mzaha. Makonda pata maelezo ya miradi hii uondoe lawama.
Naunga mkono hoja ijumaa nitakuwa tayari chattle.Naunga mkono hoja, ilitakiwa kila Tarehe 12- 17 March iwe ni wiki ya JPM, kufanyike Tamasha kubwa Chato, mikutano, Marsha, semina, makongamano, hata maandamano yafanyike Chato kwa wiki nzima, Tuanzishe Tamasha la Utalii wa Makaburi, ndege zitafurika, Chato itajaa, Itachangamka na Magufuli mwenyewe huko aliko atafurahi!. Ile GS Hotel itakuwa Fully Booked mwezi mzima.
Tamasha hilo litafuatiwa na , Wiki ya Maadhimisho ya Miaka Mitatu ya awamu ya 6 Madarakani.
Hili Mnalionaje?.
P
kipi kinaanza kujenga uwanja kwanza au ndege za kimataifa kutua tuzione ndipo tujenge uwanja,uwanja ndiyo unaoleta ndege. uwanja wa Mwanza ni strategic mno kwa maziwa makuu na Afrika ya Kati na magharibi mama hili usiliache jenga jengo la kisasa pale,ingawa vita ni kubwa kuanzia TAA na Wizara yenyewe.Kwa kutumia akili ya kawaida tu, ili kuilaumu serikali kwa haki, tujiulize;
Ni ndege ngapi za safari za kimataifa zinatua na kuruka kwenye viwanja vya Mwanza na Songwe?
Idadi ya ndege kwa ujumla kwa siku?
Baba wa taifa, pamoja na kuwa Rais kwa miaka zaidi ya ishirini, hakujenga barabara ya lami Butiama kwa sababu ya idadi ya magari ya kuwa ndogo.
Tunahitaji kuwa na fikra za kitaifa zaidi (statesmen) badala ya ubinafsi wa kikinga.
Hawa watu wenye fikra kama hizo wahitaji elimu ya ubinadamu kwanza.
Chato Airport ibakie hivyo hivyo ili kizazi kijacho kitambue kuwa Tanzania iliwahi kutawaliwa na kiongozi mwongo na mbinafsi. Sisi Chato ndiyo kama Gbadolite ya Mobutu see seko.Na haya ndiyo mawazo tunayotaka, kwamba ule uwanja ingawa ulijengwa na Marehemu Magufuli, siyo mali ya marehemu. Uwanja ni mali ya umma na uendelezwe, ufunguliwe utumike kama ulivyokusudiwa.
Tatizo ni kuhusisha maendeleo na siasa, hapo ndio tunakwama, anapokuja kiongozi mwingine anaanza kusema au kudhani mtangulizi wake alikuwa na mawazo au nia tofauti ya vitu alivyoviweka. Vision ya Taifa inakosekana, Uwanja wa ndege unajulikana na matumizi yake yanajulikana , sasa tunakwama wapi?
Tukiiacha inakuwa siyo sawa, Chato ni Tanzania, Na tunahitaji kuuendeleza ili vizazi vijavyo visituone wapuuzi/Wajinga, kwamba uwanja upo badala ya kuuendeleza na tuutumie tukauacha kwa sababu za kisiasa, ambazo hazina tija yoyote.Chato Airport ibakie hivyo hivyo ili kizazi kijacho kitambue kuwa Tanzania iliwahi kutawaliwa na kiongozi mwongo na mbinafsi. Sisi Chato ndiyo kama Gbadolite ya Mobutu see seko.
HAPANA, Matamasha ni uharibifu wa pesa za umma. Nchi yetu inahitaji kila senti iliyoko mfukoni au draw zetu popote zilipo, yani tunamatatizo mengi sana na mengi kama siyo yote yanahitaji pesa. Hii michezo ya Mgeni rasmi, sijui kongamano, mikutano isiyo isha na isiyo na tija huikuti nchi zilizoendelea.Naunga mkono hoja, ilitakiwa kila Tarehe 12- 17 March iwe ni wiki ya JPM, kufanyike Tamasha kubwa Chato, mikutano, Marsha, semina, makongamano, hata maandamano yafanyike Chato kwa wiki nzima, Tuanzishe Tamasha la Utalii wa Makaburi, ndege zitafurika, Chato itajaa, Itachangamka na Magufuli mwenyewe huko aliko atafurahi!. Ile GS Hotel itakuwa Fully Booked mwezi mzima.
Tamasha hilo litafuatiwa na , Wiki ya Maadhimisho ya Miaka Mitatu ya awamu ya 6 Madarakani.
Hili Mnalionaje?.
P
kwani chato ni Mwanza hiyo ni Geita fahamu mipango ya serikali ilivyo.Dont shout.Msijifiche kwenye kichaka cha uwepo wa uwanja wa Chatto.Kiwanja cha Mwanza kinatumika na wote ukiwemo wewe mwenyewe mpinga maendeleo."Songwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma"
Ukiacha Msalato, viwanja vya:
- Tanga
- Tabora
- Kigoma
- Arusha
Sio vizuri na havina facilities nzuri kama uwanja wa Mwanza, and none of them are international.
Sasa sijui argument yako ni nini? Kiwanja pekee ambacho recently kimejengwa international ni Msalato.
Hivi unajua Tanzania kuna viwanja vi 3 tu internafional?
- Dar es salaam
- Kilimanjaro
- Zanzibar
?????????????????
Halafu mlivyo wajinga mnasema kabisa, eti Makonda kupewa cheo na waziri Mkuu msaidizi ambao wanatoka kanda ya ziwa, haitoshi?
Kwani kanda ya ziwa wanapewa vyeo kwa sababu labda wanabembelezwa kitu gani? Wanaombwa nini hao watu wa kanda ya ziwa?
Si muende mkakichomoe cha chato mkllete Mwanza kama. Mna uitaji. Kwa nini mlikipeleka huko chato kikaanikie Mahindi na mbaazi?
Kwani Arusha mbona wamedekezwa kuanzia kipindi cha NyerereWalizoea kudekezwa na mwendazake wakadhani nchi ni mali yao peke yao...