Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hawana fedha ahadi za nini bora kusema ukweli hili la uwanja wa ndege wa Mwanza nchi nzima wana hasira nalo kwa vile linadharirisha hadhi ya nchi bora waufunge kwanza. Tujipange km nchi ni aibu kubwa hayo mabanda.
Kweli..nadhani Sgr ikitumika kwa abiria na kati ya Dar na Moro haitaendeshwa kibiashara, na itakuwa ikiendeshwa kwa ruzuku.
..kwa mtizamo Sgr isipofika Isaka, Mwanza, na Kigoma, kwa ajili ya mizigo, serikali itabeba mzigo wa hasara.

Hawa wala siyo makamanda, hawa ni nyumbu tu.Achana na hawa makamanda uchwara; watakuchosha bure😎😎
HahahahahahahKanda ya ziwa tutajenga uwanja endapo tu mtaanza kumuunga mkono mama Samia na kuachana na sukuma gang.
Kwa hiyo umehama kutetea machalii umehamia Kanda ya Ziwa ambao Huwa unawaponda Kila siku? 🤣🤣Leo nimemsikiliza Musukuma akizungumzia kuchelewesha kuhusu jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza na miundo mbinu yake kuufanya uwe wa kimataifa.
Hali hii kwa sasa inatoa picha kama alivyosema Msukuma dharau kwa kanda ya ziwa haijalishi Makonda ni Mwenezi au Dotto ni Naibu Waziri Mkuu,kisiasa haitatosha kuwashawishi wananchi ambao ni wazi wanaonekana kutengwa kupitia uwanja huu, Songwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma lakini kwenye mpango wa sasa uwanja huu haumo.
Ni nani anayeupiga vita. Rais kwa hili tunaomba uingilie kati kwa jinsi utakavyoona inafaa. Aidha barabara njia nne za kuingia jijini zimetupiliwa mbali hakuna anayezungumzia kwenye Mpango. Nadhani miji kama Mwanza Mbeya ni wakati wa kujenga njia nne kama ilivyo kwa Dar.
Kura ziko nyingi sana kwenye maeneo haya siyo ya kufanyia mzaha. Makonda pata maelezo ya miradi hii uondoe lawama.
Kati ya viwanja vya ndege vya mikoani, flow kwenye uwanja wa Mwanza ni ya juu sana. ndege zote za ATCL zinazohudumia njia hiyo hazijawahi kutojaza pamoja na kuwa zinapiga ruti tatu hadi nne kwa siku. Jengo lile lilikuwa linajengwa vizuri sana kwa haraka wakati wa Magufuli lakini nadhani alikufa nalo. Ujenzi wa viwanja vya Mwanza na Songwe ulianza pamoja lakini Songwe imekwishaAcheni kuifundisha serikali majukumu yake,wananchi hamtakiwi kuwa watu wa maneno maneno bali vitendo hakuna mabadiriko yanapatikana kwa maneno maneno.. kama mkiamua jambo fulani hamlitaki na mkaandamana kwa umoja na uwingi pasipo kukata tamaa jambo lenu litapita tu
Viongozi wabishi na wasiojitambua mtawatoa kwenye sanduku la kura na hata kama mtahitaji mabadiliko kikatiba,utawala,Sheria ama mtu fulani awajibishwe hamtashindwa nguvu yenu ikiwa Moja kwa uwingi wenu hakuna litashindikana.
Swala la kura litaonekana kama halina nafasi ktk mageuzi mnayoyataka hiyo nikwasababu wananchi husika mmetaka iwe hivyo,lkn mkitaka kura yenu iwe na nguvu hamshindwi ni maarifa kidogo tu yanahutajika ktk Kila kichwa cha mtanzania basi nchi inabadilika nakuwa nchi ya ahadi yenye asali na maziwa.
Mi napingana nawe sio tu kwa sababu nami ni wa huko, ila nadhani kukarabati au kupanua viwanja vya ndege ni sehemu moja tu ya mahitaji yetu kanda ya ziwa. Tuna hitaji kupanua barabara zetu na kuziwekea miundo mbinu kama mitaro na pia tujenge mifereji ya maji machafu kama huko kwa wenzetu.Siungi mkono hoja hii kwasababu uwanja wa ndege sio hitaji la walio wengi Mwanza. Usafiri wa ndege ni hitaji la few matajiri wachache wapanda ndege. Kanda ya Ziwa bado ni Kanda primitive, hivyo wananchi waliowengi bado wanatumia primitive means of transport, usafiri wetu mkuu kutembea kwa miguu vichochoroni, na barabarani, baada ya miguu ni baiskeli, boda boda, bajaji na magari. Kwa sasa Busisi barabara inakwenda kukamilika. Kwa wale wahitaji kuruka, zile ndege zetu za asili za kupaa zipo!.
Msitishie kuhusu kura 2025 ni kura bwelele!. Tayari tumepewa Doto Biteko huyo ndiye Waziri Mkuu ajaye, Makonda huyo anakuja kuingia Bungeni kuwa Waziri. Luhaga Mpina huyo kwa sasa anapiga sana kelele, soon atatupiwa fupa lenye bonge la nyama, atanyamaza!. 2025 kura zote Kanda ya Ziwa ni kule kule kwa siku zote!.
Mnataka tupewe nini tena wakati nchi yote ni yetu!.
P
🆒👍👌👏🤝🙏🔊Acheni kuifundisha serikali majukumu yake,wananchi hamtakiwi kuwa watu wa maneno maneno bali vitendo hakuna mabadiriko yanapatikana kwa maneno maneno.. kama mkiamua jambo fulani hamlitaki na mkaandamana kwa umoja na uwingi pasipo kukata tamaa jambo lenu litapita tu
Viongozi wabishi na wasiojitambua mtawatoa kwenye sanduku la kura na hata kama mtahitaji mabadiliko kikatiba,utawala,Sheria ama mtu fulani awajibishwe hamtashindwa nguvu yenu ikiwa Moja kwa uwingi wenu hakuna litashindikana.
Swala la kura litaonekana kama halina nafasi ktk mageuzi mnayoyataka hiyo nikwasababu wananchi husika mmetaka iwe hivyo,lkn mkitaka kura yenu iwe na nguvu hamshindwi ni maarifa kidogo tu yanahutajika ktk Kila kichwa cha mtanzania basi nchi inabadilika nakuwa nchi ya ahadi yenye asali na maziwa.
Maadam baadhi yetu tuliutetea uwanja wa Chato, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! by that time, hakuna aliyejua kuwa rais anaweza kufa madarakani!. Hata kama Magufuli hayupo, tunaweza kuindeleza ile mipango yake na uwanja ukawa busy!.Tukisema jiwe alikosea kupeleka airport kijijini mnakaza fuvuz. Haya sasa, huo mradi ungepelekwa Mwanza si ingekuwa poa sana?
Kwa dunia ya leo uwanja wa ndege siyo anasa tena ni usafiri wa haraka unaohitajika, hili halibishaniwi,kupanua mabarabara ni muhimu lakini uwanja wa ndege nao ni muhimu. Wananchi wanafuatilia kwa karibu mno ujenzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza kwa vile inaonekana hata waliopewa TAA wanazembea ingawa walilalamika kutoshirikishwa sasa yako wapi? kumbe ilikuwa maneno tu.Mi napingana nawe sio tu kwa sababu nami ni wa huko, ila nadhani kukarabati au kupanua viwanja vya ndege ni sehemu moja tu ya mahitaji yetu kanda ya ziwa. Tuna hitaji kupanua barabara zetu na kuziwekea miundo mbinu kama mitaro na pia tujenge mifereji ya maji machafu kama huko kwa wenzetu.
Tusipofanya leo huko mbele itakuwa shida sana. Tukifanya sasa tutaokoa pesa nyingi sana, Kwasababu kupanua viwanja kuna ambatana na kulipa fidia za makazi ya watu, kubomoa nyumba za watu na kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa. Leo hii gharama sio kubwa,kulipa fidia,na hata kujenga, hivyo tufanye leo badala kusubiria miaka 50 ijayo.
Pia nisingependa suala la ujenzi au uboreshaji miundo mbinu yoyote ikahusishwa na SIASA zetu hizi. Haya mambo tungeyatenganisha tungekuwa mbali sana. Tizama mafuriko yanavyo tuathiri kila mwaka nyakati za mvua, tunapata hasara kubwa sana kukarabati na ukarabati usio isha kwa sababu hatuna mipango endelevu.
Naamini umeenda Dodoma karibuni, Tizama Magufuli City, Ina pendeza lakini miundo mbinu bado inaendelea kujengwa, ili kuujenga mji. Wenzetu huko Marekani,Ulaya,Asia au niseme nchi zilizoendelea, Wanaanza kuweka miundombinu, kama mifereji ya maji machafu, Cable za umeme au mawasiliano ardhini na kujenga barabara kabla hata hawajaanza kujenga majengo. Huku kwetu tunafanya kinyume tunaanza kujenga majengo kisha ndio tunaanza kutafuta namna za kuweka mitaro, au kupitisha cable za mawasiliano.
Wangeweka city planners au Urban development planners waweke pla za miaka 200 ijayo, waangalie population growth rate na wajenge miji yenye kukudhi vigezo vyenye mahitaji yetu kwa muda mrefu kuliko hii kila bajeti tunaweka pesa za kukarabati barabara na ukarabati wenyewe ndio ule unauona kila mara, unakuta kampuni zetu hizi wanapika lami kwenye mapipa kwa kuni za kuokoteza.
Kama hitaji la viwanja litakuwepo miaka 50 ijayo kwanini wasijenge leo kikubwa kukidhi mahitaji ya miaka 50 ijayo? Tuwe na plans za muda mrefu sio, hizi za kupangwa wakati wa uchaguzi zisizotekelezeka.
Hao wana siasa nimewaacha sitaki hata kuwaongelea sioni sababu kwa sasa.
Kama kichwa chako kingekuwa kinafanya kazi sawa saws usingeandika huo utumbo.. Jengo lile lilikuwa linajengwa vizuri sana kwa haraka wakati wa Magufuli lakini nadhani alikufa nalo. Ujenzi wa viwanja vya Mwanza na Songwe ulianza pamoja lakini Songwe imekwisha