Kanda ya Ziwa tusikilizwe kuhusu uwanja wa ndege. Haivumiliki tena

Kanda ya Ziwa tusikilizwe kuhusu uwanja wa ndege. Haivumiliki tena

..Sgr ndio ulaji wake mkubwa wa Jpm na ndio maana haijakamilika mpaka leo.

..reli ya Tazara ilijengwa kwa miaka 5 ikaaanza kutumika.

..Kwanini Sgr haijakamilika hata Dar kwenda Morogoro pametushinda?
Your hate to the late Magufuli is very big. In fact through your comments it's showing that you had/or have never seen or appreciated anything good that Magufuli did when he was alive. You'll always find a way to connect him with the topic at the table. Very stupid.
 
Your hate to the late Magufuli is very big. In fact through your comments it's showing that you had/or have never seen or appreciated anything good that Magufuli did when he was alive. You'll always find a way to connect him with the topic at the table. Very stupid.

..alikuwa katili na hakujificha.

..kuanza kumsifia na kumtukuza kama mnavyofanya ni kuwa-abandon wale aliowadhulumu.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=0xqYui4qPus&pp=ygURSlBNIGF0ZW1iZWxlYSBTR1I%3D

It’s in your head not factual wakandarasi wenyewe wanakili walikuwa wanalipwa on time, if anything alikuwa analazimisha kama wanaweza waongeze kasi, hela ipo.

Hiyo kujenga wapi kabla ya wapi, wewe sio project manager kujua ‘critical path analysis’ kuelewa task zipi muhimu kwenye mradi kwanza. Hayo mambo designer wa mradi ndio anaweza yaongelea na project manager.


..huhitaji kuwa project Mgr kujua kwamba Isaka Mwanza ni useless kama Makutopora-Tabora-Isaka haijakamilika.

..pia let's compare our Sgr to Tazara. Kwanini Dar to Kapirimposhi ikamilike ndani ya miaka 5 halafu Dar to Moro isikamilke huu ni mwaka wa 6? Pamoja na kwamba complexity ya hizi project inatofautiana.
 
..huhitaji kuwa project Mgr kujua kwamba Isaka Mwanza ni useless kama Makutopora-Tabora-Isaka haijakamilika.

..pia let's compare our Sgr to Tazara. Kwanini Dar to Kapirimposhi ikamilike ndani ya miaka 5 halafu Dar to Moro isikamilke huu ni mwaka wa 6? Pamoja na kwamba complexity ya hizi project inatofautiana.
Phase zote hizo zina wakandarasi wapo kazini.

But then issue kama nilivyokwambia ni critical path ya mradi wewe unatumia logic kuona task fulani make sense kuanza, designer/project manager anaangalia which tasks if completed first enhance potential early completion of the entire project.

Kwanini Dar-Moro ichelewe, halafu Dar-Kapirimposhi iishe mapema.
Factors
COVID 19

Safety precaution in high traffic and high speed railway (inahitaji muda mrefu wa ku test system), test time standard pia zimeongezeka zama za leo.

Hatujui manufacture wa Train alikuwa na tender ngapi za kutengeneza train kabla atujapeleka yetu (ukioda Boeing Dreamliner waiting time ni three years).

Increased budget baada ya COVID kulikuwa na high inflation ya material, hatujui serikali imepata shida kiasi gani kupata hizo hela to cover budget shortfall.

Hatujui demand ya matarima ya reli huko tunako agiza.

Hatujui work force ya mkandarasi na uwezo wa serikali kulipa certificate on time.

Hatujui muda wa kuchimba mahandaki ya reli, kutandaza nyaya za umeme, uwepo wa umeme wa uhakika kuendeshea hizo train.

Kuna factors nyingi sana ambazo hatujui japo miradi inafanana, ila standards ni tofauti in almost all aspects.

Halafu jumlisha na uzembe wa watendaji chini ya serikali iliyopo.

Lakini mpaka JPM anaondoka kila kitu kilikuwa kwenye mstari, kuboronga kumekuja kuanzia April 2021.
 
..Sgr ilikuwa behind schedule toka wakati Jpm akiwa hai.

..Na kwenda kujenga Isaka to Mwanza kabla ya vipande vya Makutopora-Tabora-Isaka likuwa ni wendawazimu unaochangiwa na ulaji rushwa.

..jitu lenu lilikuwa jizi na katili.
Hii ilifikirisha sana inakuwaje unaanzia mwisho kabla ya katikati ?
Kwa mfano kwa hali ya sasa lot 3 ingekuwa imefika 60% au 70% .
 
Phase zote hizo zina wakandarasi wapo kazini.

But then issue kama nilivyokwambia ni critical path ya mradi wewe unatumia logic kuona task fulani make sense kuanza, designer/project manager anaangalia which tasks if completed first enhance potential early completion of the entire project.

Kwanini Dar-Moro ichelewe, halafu Dar-Kapirimposhi iishe mapema.
Factors
COVID 19

Safety precaution in high traffic and high speed railway (inahitaji muda mrefu wa ku test system), test time standard pia zimeongezeka zama za leo.

Hatujui manufacture wa Train alikuwa na tender ngapi za kutengeneza train kabla atujapeleka yetu (ukioda Boeing Dreamliner waiting time ni three years).

Increased budget baada ya COVID kulikuwa na high inflation ya material, hatujui serikali imepata shida kiasi gani kupata hizo hela to cover budget shortfall.

Hatujui demand ya matarima ya reli huko tunako agiza.

Hatujui work force ya mkandarasi na uwezo wa serikali kulipa certificate on time.

Hatujui muda wa kuchimba mahandaki ya reli, kutandaza nyaya za umeme, uwepo wa umeme wa uhakika kuendeshea hizo train.

Kuna factors nyingi sana ambazo hatujui japo miradi inafanana, ila standards ni tofauti in almost all aspects.

Halafu jumlisha na uzembe wa watendaji chini ya serikali iliyopo.

Lakini mpaka JPM anaondoka kila kitu kilikuwa kwenye mstari, kuboronga kumekuja kuanzia April 2021.

..Dar to Kapirimposhi vs Dar to Morogoro?

..Sgr ilikuwa imechelewa hata wakati Jpm yuko hai.

..Jpm aliboronga wakati wake. Ssh naye ameboronga wakati wake.
 
..Dar to Kapirimposhi vs Dar to Morogoro?

..Sgr ilikuwa imechelewa hata wakati Jpm yuko hai.

..Jpm aliboronga wakati wake. Ssh naye ameboronga wakati wake.

View: https://m.youtube.com/watch?v=PPE9TpxqC-0&pp=ygUVTWFoaXRhamkgeWEgdW1lbWUgU0dS

Msikilize huyo mhandisi kichwa kimoja cha train majaribio yake lazima kitembee 10,000 km. Umbali wa Dar Morogoro ni kama 193 km (we unadhani unahitaji miezi mingapi to cover those kilometres).

Mabehewa tasting ni 5000 km, mpaka sasa hayo majaribio hayajaanza kuvuta mabehewa ina maana testing ya vichwa aijafikia hata kilometer 5000.

Bado mziki wa umeme wa uhakika ili train iwe ya uhakika inabidi utenge si chini ya MW 150 za train Dar to Morogoro (huo umeme huko wapo) mind you average house hold usage Tanzania 100kwh per day.

Upeleke MW 150 kwenye train za uhakika huo mgao utakuwa mara dufu hasa Dar ambao ni mkoa wa kibiashara na uchumi.

Usifananishe line ya train ya umeme na train zingine kuna mambo luluki ya usalama kwenye train ya umeme.

Mpaka Magufuli anafariki umeme ulikuwa uhakika nchi nzima, line ya train ilikuwa ishatandazwa mpaka Morogoro, vituo vyote vilikuwa vimeisha isipokuwa cha Morogoro mjini ambacho kilishafika 60% percent.

Sasa hivi hata huo umeme wenyewe hakuna wa kuendesha hizo train, bila ya kuleta madhara makubwa ya uchumi 150MW inavuna kodi kubwa kwenye uzalishaji kuliko kuipeleka kwenye umeme.

Kila kitu kimearibika chini ya serikali ya ‘bi tozo’ baada ya kuleta ubunifu wake na kuacha barabara aliyoachiwa na the JPM.

Hiyo airport huko Mwanza wasahau kama barabara ya njia nne Dar-Kibaha imewashinda kumaliza wakati mpaka JPM anaondoka kaacha ujenzi 70% ya mradi umekamilika.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=PPE9TpxqC-0&pp=ygUVTWFoaXRhamkgeWEgdW1lbWUgU0dS

Msikilize huyo mhandisi kichwa kimoja cha train majaribio yake lazima kitembee 10,000 km. Umbali wa Dar Morogoro ni kama 193 km (we unadhani unahitaji miezi mingapi to cover those kilometres).

Mabehewa tasting ni 5000 km, mpaka sasa hayo majaribio hayajaanza kuvuta mabehewa ina maana testing ya vichwa aijafikia hata kilometer 5000.

Bado mziki wa umeme wa uhakika ili train iwe ya uhakika inabidi utenge si chini ya MW 150 za train Dar to Morogoro (huo umeme huko wapo) mind you average house hold usage Tanzania 100kwh per day.

Upeleke MW 150 kwenye train za uhakika huo mgao utakuwa mara dufu hasa Dar ambao ni mkoa wa kibiashara na uchumi.

Usifananishe line ya train ya umeme na train zingine kuna mambo luluki ya usalama kwenye train ya umeme.

Mpaka Magufuli anafariki umeme ulikuwa uhakika nchi nzima, line ya train ilikuwa ishatandazwa mpaka Morogoro, vituo vyote vilikuwa vimeisha isipokuwa cha Morogoro mjini ambacho kilishafika 60% percent.

Sasa hivi hata huo umeme wenyewe hakuna wa kuendesha hizo train, bila ya kuleta madhara makubwa ya uchumi 150MW inavuna kodi kubwa kwenye uzalishaji kuliko kuipeleka kwenye umeme.

Kila kitu kimearibika chini ya serikali ya ‘bi tozo’ baada ya kuleta ubunifu wake na kuacha barabara aliyoachiwa na the JPM.

Hiyo airport huko Mwanza wasahau kama barabara ya njia nne Dar-Kibaha imewashinda kumaliza wakati mpaka JPM anaondoka kaacha ujenzi 70% ya mradi umekamilika.


..haichukui muda mrefu hivyo ku-test hizo km 10,000.

..treni inaweza kutembea 160 km / hr.


..kwa hiyo unahitaji masaa 62.5 kufanya hayo majaribio. Ni kazi ya wiki moja na nusu hivi.
 
..haichukui muda mrefu hivyo ku-test hizo km 10,000.

..treni inaweza kutembea 160 km / hr.


..kwa hiyo unahitaji masaa 62.5 kufanya hayo majaribio. Ni kazi ya wiki moja na nusu hivi.
Umesikiliza clip yote kwamba testing ya train inaenda sambamba na mifumo ya reli na umeme.

Isitoshe hiyo train tu unaweza ku test kwa week moja kweli? Wakati na yenyewe ina mifumo yake, umeshaona wale ma supervisor/engineers na computer ambazo zina analyse train zile info zinarudi kwa manufacture na wao wana evaluate mifumo yao.

Kwetu sisi watanzania kila kitu rahisi.

Halafu huo umeme wa 150 MW kwa sasa unautoa wapi bila ya kuleta madhara ya kiuchumi zaidi ya yaliyopo kwa sasa.
 
L
Phase zote hizo zina wakandarasi wapo kazini.

But then issue kama nilivyokwambia ni critical path ya mradi wewe unatumia logic kuona task fulani make sense kuanza, designer/project manager anaangalia which tasks if completed first enhance potential early completion of the entire project.

Kwanini Dar-Moro ichelewe, halafu Dar-Kapirimposhi iishe mapema.
Factors
COVID 19

Safety precaution in high traffic and high speed railway (inahitaji muda mrefu wa ku test system), test time standard pia zimeongezeka zama za leo.

Hatujui manufacture wa Train alikuwa na tender ngapi za kutengeneza train kabla atujapeleka yetu (ukioda Boeing Dreamliner waiting time ni three years).

Increased budget baada ya COVID kulikuwa na high inflation ya material, hatujui serikali imepata shida kiasi gani kupata hizo hela to cover budget shortfall.

Hatujui demand ya matarima ya reli huko tunako agiza.

Hatujui work force ya mkandarasi na uwezo wa serikali kulipa certificate on time.

Hatujui muda wa kuchimba mahandaki ya reli, kutandaza nyaya za umeme, uwepo wa umeme wa uhakika kuendeshea hizo train.

Kuna factors nyingi sana ambazo hatujui japo miradi inafanana, ila standards ni tofauti in almost all aspects.

Halafu jumlisha na uzembe wa watendaji chini ya serikali iliyopo.

Lakini mpaka JPM anaondoka kila kitu kilikuwa kwenye mstari, kuboronga kumekuja kuanzia April 2021.
Likija tena na makomenti yake acahan nalo mkuu kichwa kitakuwa kimejaa makamasi umelipiga haswa na point tupu!!
 
Umesikiliza clip yote kwamba testing ya train inaenda sambamba na mifumo ya reli na umeme.

Isitoshe hiyo train tu unaweza ku test kwa week moja kweli? Wakati na yenyewe ina mifumo yake, umeshaona wale ma supervisor/engineers na computer ambazo zina analyse train zile info zinarudi kwa manufacture na wao wana evaluate mifumo yao.

Kwetu sisi watanzania kila kitu rahisi.

Halafu huo umeme wa 150 MW kwa sasa unautoa wapi bila ya kuleta madhara ya kiuchumi zaidi ya yaliyopo kwa sasa.

..kuna mada moja hapa JF inasema Sgr itachukua MIAKA 15 kukamilika. Je, ni kweli?

Cc bagamoyo
 
Mimi naona hali ya uchumi wa Tanzania na utekelezaji wa miradi ya kimkakati haviendani. Sasa hivi kuna mfumuko wa bei wa hatari sana. Hii ina maana huenda deni la taifa la ndani linakua na serikali kulipia miradi yake inabidi kuchapisha fedha. Pia kukopa huko nje kwa sababu ya kukomilisha hii miradi bila kujua tutalipaje. Mimi nafikiri tujikute kwenye maisha yetu ya kila siku kwa mwana nchi wa kawaida Badala ya kutekeleza miradi kwa pupa ambayo hatuna uhakika "return" yake itakuwaje!
 
Mradi wa Bwawa la umeme JNHPP

16 September 2023
KAZI YA KUIMARISHA TUTA KUZUIA MAJI KUTOROKA CHINI YA UKUTA WA BWAWA LA JNHPP RUFIJI

Engineer mwezi September 2023 amueleza kitaaluma bila kupepesa macho, naibu waziri mkuu mheshimiwa Dr. Doto Biteko jinsi wanavyopambana kukabiliana na tishio la usalama ambalo ni changamoto ya maji kuweza kupenya chini ya bwawa la Julius Nyerere ambalo ujenzi wake unaendelea na umefikia asilimia 91.72

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y8CkZ4Za7Gw

Naibu waziri mkuu ameelezwa kwa kina kitaalamu kazi mkakati ya kuziba mianya inayoweza kuruhusu maji kupenya chini ya ukuta wa bwawa na kuharibu bwawa hilo la JNHPP Rufiji Stiegler's Gorge ambalo maji yamesha anza kujazwa toka mwaka 2022.

Mhandisi wa bwawa amesema kuwa bwawa hilo ambalo tayari maji yamejaa, chini ya ukuta na tuta la bwawa kuna mwamba ambao ndiyo msingi unaobeba ujazo huo mkubwa wa maji pamoja na ukuta na tuta .
1704509837239.png

Changamoto ni kuwa mwamba huo una nyufa na vipenyo vinaoweza kupitisha maji na kutishia stability ya ukuta wa bwawa pia tuta. Hivyo wameanza kutumia mbinu ya kawaida ya kiuhandisi inayoitwa grout curtain kuimarisha mwamba ambao ndiyo msingi wa bwawa hili kubwa.

Zoezi hili ya kutengeneza pazia la cement linatakiwa kurudia katika sehemu nyingi, kwa lugha rahisi mfano kama unavyo drill kutafuta maji ya kisima kirefu lakini katika mradi huu wa JNHPP ni ili kujaza cement maalumu ktk vipenyo na nyufa za mwamba kuhakikisha stability ya msingi wa ukuta wa bwawa unakamilika kuondoa tishio la bwawa kubomoka .

Changamoto iliyopo inafanana na ile ya Bwawa la Aswan lililojengwa Egypt ambalo wahandisi waliamua kuweka pazi la cement yaani grout curtain kutengeneza msingi mgumu kuzuia bwawa kubomoka. Video hii chini inaeleza jinsi pazia la cement yaani grout curtain linavyofanyika
 
naibu waziri mkuu mheshimiwa Dr. Doto Biteko jinsi wanavyopambana kukabiliana na tishio la usalama ambalo ni changamoto

Naibu waziri mkuu tarehe
28 December 2023 afika tena Rufiji katika mradi wa JNHPP na kuwaambia wataalamu wa uhandisi wanaosimamia mradi wasiogope bwawa kubomoka ("if it is not broken let's continue ..." end of quote) na kwa uwezo wa mwenyezi Mungu tutakamilisha kama tulivyotoa ahadi kwa wananchi , hivyo ma engineer waendelee kujaza maji na kujaribu mitambo miwili ya mashine namba 8 na 9 iwashwe ili umeme upatikane....

28 December 2023
MAAGIZO MAZITO ya NAIBU WAZIRI MKUU, MGAO wa UMEME BAADA ya KUTEMBELEA MRADI wa BWAWA la RUFIJI


View: https://m.youtube.com/watch?v=fMhERoWCmTo
 
Naibu waziri mkuu tarehe
28 December 2023 afika tena Rufiji katika mradi wa JNHPP na kuwaambia wataalamu wa uhandisi wasiogope bwawa kubomoka, waendelee kujaza maji na kujaribu mitambo miwili ..

28 December 2023
MAAGIZO MAZITO ya NAIBU WAZIRI MKUU, MGAO wa UMEME BAADA ya KUTEMBELEA MRADI wa BWAWA la RUFIJI


View: https://m.youtube.com/watch?v=fMhERoWCmTo

.......kama lina dalili kupasuka waendelee tuu ? Siasa hizi wanajitoa akili sana .........ukiwa ccm
 
.......kama lina dalili kupasuka waendelee tuu ? Siasa hizi wanajitoa akili sana .........ukiwa ccm

Mheshimiwa ametumia lugha ya kimombo kuwa kazi iendelee wasiogope bwawa kubomoka (nanukuu - "if it is not broken let's continue ..." end of quote) ingawa wasilisho la wataalamu mainjinia wa mradi wanaonesha kuna changamoto ... na akaendelea kuwa wao viongozi wa kisiasa serikalini, Christmas hawakula wala kulala vizuri wakiwaza changamoto na deadline waliyojipa....
 
Back
Top Bottom