Kwa ubishi na hasira mimi naja...Kunitafuta ukorofi huko… aya njoo mwnywe baba piemu tafadhali kabla hapajawa padogo hapa
Aahh okay sweetheartSikiliza nyimbo ya Shaggy yakitambo kidogo inasema 'It wasn't me"
🫂
Hahahaha kwa namna hiyo hamuwezi kuchokana hata iwaje… ila ndio usiwe unamuudhi sasa kheeeHa ha ha ...ndo alivyo Sasa mamaJ.
Yeye akifoka foka hivo, baada ya MDA anatulia TU mwnyw.
Nikimfata tukafanya kimoja, ndo anasahau kabisa tunaanza upya[emoji4]
Nishamjua 🤐Ha ha ha ....uko smart Sana, Basi kamchimbe vizr atakwambia mamaJ yukoje Maana hata picha alipiga nae[emoji4]
DeepPond unaitwa huku😆Kaka Angu,nakusihi kwa Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo! Naomba utulie na Familia YAKO.
Unapoona Haukamatwi kwa Yale unayoyafanya,ujue Mungu anakupa muda wa Kuacha na kujirekebisha. Naomba ubadilike,usiichezee Neema aliyokupa Mungu.
Yale unayoyafanya c sahihi kabisa!! Unawachanganya mtu na dada ake,halafu haujisikii Hatia??
Wakati Mwingine unaona Sifa unavyosimulia na wengine wanakusapoti,lakini jua unacreate Laana na mikosi juu Ya Uzao wako pasipo kujua! Athari zinaweza zisikutokee wewe,lakini zikatokea Ndani ya Kizazi chako kilichopo au kijacho. Nakusihi Ubadilike Mkuu,Roho Mtakatifu aachilie nguvu ya Mabadiliko Ndani yako
Na wew ni mpanaNishamjua 🤐
Ongea polepole basi, usipaze sauti... hehehehe...Hakika, nammudu vyema kabisa leo atanikoma
Hahahh na mimi nakukaribisha…Kwa ubishi na hasira mimi naja...
Hahahahh najaribu lakini nashindwa…Ongea polepole basi, usipaze sauti... hehehehe...
Akifura anajua navyommalizaga ugomvi unaisha kwa amani...Ha ha ha.....mwepesi Maana are ananyumbulika vizur au ilo nalo Ni swali mkuu[emoji4]
Yaishe...Na wew ni mpana
Umechimbua weee
Hata kama ni kweli unanimudu unakausha tu... HahahahaHahahahh najaribu lakini nashindwa…
Ila si kweli jaman au nakosea
Acha kuomba picha sasa…Yaishe...
Hahhahaha Sawa sweetheart ngoja nikaushe… hahahahHata kama ni kweli unanimudu unakausha tu... Hahahaha