Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaka Angu,nakusihi kwa Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo! Naomba utulie na Familia YAKO.
Unapoona Haukamatwi kwa Yale unayoyafanya,ujue Mungu anakupa muda wa Kuacha na kujirekebisha. Naomba ubadilike,usiichezee Neema aliyokupa Mungu.
Yale unayoyafanya c sahihi kabisa!! Unawachanganya mtu na dada ake,halafu haujisikii Hatia??
Wakati Mwingine unaona Sifa unavyosimulia na wengine wanakusapoti,lakini jua unacreate Laana na mikosi juu Ya Uzao wako pasipo kujua! Athari zinaweza zisikutokee wewe,lakini zikatokea Ndani ya Kizazi chako kilichopo au kijacho. Nakusihi Ubadilike Mkuu,Roho Mtakatifu aachilie nguvu ya Mabadiliko Ndani yako
 
Ha ha ha ...ndo alivyo Sasa mamaJ.
Yeye akifoka foka hivo, baada ya MDA anatulia TU mwnyw.

Nikimfata tukafanya kimoja, ndo anasahau kabisa tunaanza upya[emoji4]
Hahahaha kwa namna hiyo hamuwezi kuchokana hata iwaje… ila ndio usiwe unamuudhi sasa kheee
 
Kaka Angu,nakusihi kwa Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo! Naomba utulie na Familia YAKO.
Unapoona Haukamatwi kwa Yale unayoyafanya,ujue Mungu anakupa muda wa Kuacha na kujirekebisha. Naomba ubadilike,usiichezee Neema aliyokupa Mungu.
Yale unayoyafanya c sahihi kabisa!! Unawachanganya mtu na dada ake,halafu haujisikii Hatia??
Wakati Mwingine unaona Sifa unavyosimulia na wengine wanakusapoti,lakini jua unacreate Laana na mikosi juu Ya Uzao wako pasipo kujua! Athari zinaweza zisikutokee wewe,lakini zikatokea Ndani ya Kizazi chako kilichopo au kijacho. Nakusihi Ubadilike Mkuu,Roho Mtakatifu aachilie nguvu ya Mabadiliko Ndani yako
DeepPond unaitwa huku😆
 
Back
Top Bottom